Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia

Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20

Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k

Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha

Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata

Starehe zote zipo,

Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,

Kule ni amani na bata tu

Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata

Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka

Beer zinanywewa full time

Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu

Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara

Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu

Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo

Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu

Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida

Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Labda walikuloga ukaiona ukerewe ya ndotoni, kule kuna Muha alitaka kuniuzia nyumba kwa laki tisa nikamwambia akawauzie ndugu zake, ilikua 2020. Bado nilihitaji kuishi 🤣🤣🙌.
 
U
Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia

Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20

Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k

Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha

Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata

Starehe zote zipo,

Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,

Kule ni amani na bata tu

Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata

Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka

Beer zinanywewa full time

Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu

Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara

Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu

Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo

Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu

Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida

Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
UKerewe ndio kisiwa hatari sana kuishi ktk visiwa vyote vya Tanzania na Afrika.

Ujambazi, mauwaji, ushirikina, Ujatiri dhidi ya binadamu.

Nakusihi tembelea Confession( Ushuhuda) kwenye Youtube Chanel ya Davista Mata uone kijana aitwaye WAMAYO akisimulia mikasà, misuko suko na harakati za Visiwa vyote vya Victoria.

Kiufupi Serikali imevitenga visiqa hivi hakuna Hyduma za ulinzi wala usalama
 
U

UKerewe ndio kisiwa hatari sana kuishi ktk visiwa vyote vya Tanzania na Afrika.

Ujambazi, mauwaji, ushirikina, Ujatiri dhidi ya binadamu.

Nakusihi tembelea Confession( Ushuhuda) kwenye Youtube Chanel ya Davista Mata uone kijana aitwaye WAMAYO akisimulia mikasà, misuko suko na harakati za Visiwa vyote vya Victoria.

Kiufupi Serikali imevitenga visiqa hivi hakuna Hyduma za ulinzi wala usalama
Nilisema Mimi wanasema nadanganya
 
Ndugu yangu huyu mleta mada kati ya vitu kasahau kusema kuwa vipi huko ukerewe ni UCHAWI !
Kule kurogwa ni wakati wowote tena ukifika kule lazima ujaribiwe!.
Wewe ogopa mahala ambapo kiongozi wa dini akiambiwa aende huko huko anaona kapewa mtihani mkubwa sana kwasababu kuna baadhi wamefika huko kutangaza neno la mungu usiku we akalala vizuri vyumbani mwao na asubuhi wakajikuta wamelala ufukweni mwa ziwa Victoria.
Ikiwa mahala wanawaroga hadi viongozi wa dini jua hapo mahala wachawi wameshindikana!.
uyo kiongozi wa dini nae imani yake ndogo sana
 
Wale pisi au wafanya biashara. Hafu ulivyosema full amani hapo hapana. Kule kuuwana kisa pesa au demu nje nje.
Ukerewe hakufai hata kidogo. Huyo Jamaa alienda na UNDP akiwa na fedha zake za Trump.
Ni rahisi unapojiandaa kwenda sehemu ukiwa na pesa ukaamini sehemu fulani Maisha ni rahisi. Sasa kaa hiyo seheku miezi sita mpaka mwaka zile fumba ulizokwenda nazo ziishe ndio utajua kumbe wenyeji wanapambana sana
 
Back
Top Bottom