Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda walikuloga ukaiona ukerewe ya ndotoni, kule kuna Muha alitaka kuniuzia nyumba kwa laki tisa nikamwambia akawauzie ndugu zake, ilikua 2020. Bado nilihitaji kuishi 🤣🤣🙌.Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia
Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20
Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k
Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha
Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata
Starehe zote zipo,
Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,
Kule ni amani na bata tu
Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata
Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka
Beer zinanywewa full time
Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu
Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara
Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu
Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo
Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu
Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida
Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Siyo beze mkuu kinaitwa BeziKuna kisiwa kimoja ukitoka Ukerewe kupitia Igombe kinaitwa Beze 😃 kupata mwanamke wa buku jero ni kitu rahisi! Usiku ni full Sodoma na Gomora
Kwa nini starehe isiwe hiyo hiyo samaki?Bata=starehe
UKerewe ndio kisiwa hatari sana kuishi ktk visiwa vyote vya Tanzania na Afrika.Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia
Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20
Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k
Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha
Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata
Starehe zote zipo,
Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,
Kule ni amani na bata tu
Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata
Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka
Beer zinanywewa full time
Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu
Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara
Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu
Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo
Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu
Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida
Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Nilisema Mimi wanasema nadanganyaU
UKerewe ndio kisiwa hatari sana kuishi ktk visiwa vyote vya Tanzania na Afrika.
Ujambazi, mauwaji, ushirikina, Ujatiri dhidi ya binadamu.
Nakusihi tembelea Confession( Ushuhuda) kwenye Youtube Chanel ya Davista Mata uone kijana aitwaye WAMAYO akisimulia mikasà, misuko suko na harakati za Visiwa vyote vya Victoria.
Kiufupi Serikali imevitenga visiqa hivi hakuna Hyduma za ulinzi wala usalama
Kipo hapa JF. Tafuta Rosa Mistika utakipata. Ni MB 23 🙏🏿Mkuu unayo pdf ya kitabu cha Rosa Mistika?
Nitumie kama unacho.
Tangu lini wajita na wakerewe wakawa wazuri,au uzuri kwako ni matako makubwa?Wapo Wajita na Wakerewe ni wazuri mno
Ata sijuiHili liparody la nani ?
Lipo active saba lately
uyo kiongozi wa dini nae imani yake ndogo sanaNdugu yangu huyu mleta mada kati ya vitu kasahau kusema kuwa vipi huko ukerewe ni UCHAWI !
Kule kurogwa ni wakati wowote tena ukifika kule lazima ujaribiwe!.
Wewe ogopa mahala ambapo kiongozi wa dini akiambiwa aende huko huko anaona kapewa mtihani mkubwa sana kwasababu kuna baadhi wamefika huko kutangaza neno la mungu usiku we akalala vizuri vyumbani mwao na asubuhi wakajikuta wamelala ufukweni mwa ziwa Victoria.
Ikiwa mahala wanawaroga hadi viongozi wa dini jua hapo mahala wachawi wameshindikana!.
Babu,jina la yesu sijui yesu kuushinda uchawi ni uwongo tuuyo kiongozi wa dini nae imani yake ndogo sana
Misspelling Mkuu! Nilipita hapo 2017 aisee ni hatariSiyo beze mkuu kinaitwa Bezi
Ukerewe hakufai hata kidogo. Huyo Jamaa alienda na UNDP akiwa na fedha zake za Trump.Wale pisi au wafanya biashara. Hafu ulivyosema full amani hapo hapana. Kule kuuwana kisa pesa au demu nje nje.
Siza ninapasikia tu kwa wadau! Kuna wakuu wapo Igombe wao wanatoka night wanaenda kuponda raha na mtumbwi waoHapo Bezi cha mtoto ukifika Ghana, Siza au Gozba ndo utajua utamu wa kisiwa
Sawa ngoja nitafuteKipo hapa JF. Tafuta Rosa Mistika utakipata. Ni MB 23 🙏🏿