Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia

Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20

Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k

Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha

Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata

Starehe zote zipo,

Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,

Kule ni amani na bata tu

Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata

Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka

Beer zinanywewa full time

Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu

Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara

Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu

Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo

Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu

Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida

Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Point of corrections; samaki hali nyamafu!
 
Nilienda huko mwaka 2013...tulikua na project pia...yani nilikua nasikia habar za huko kwamba wachawi sijui nini...nilikua nasali aiseee...ila kumbe walaa labda wanalogana wenyewe...wana vijiji vzr sanaa...greenish yani...nadhani kwa sbb ya kuwa juu ya maji...sema ndo nimeshasahau kabisa vijiji vyote majina yake...labda mtu ataje ndo nitakumbuka
 
Ukerewe hakufai hata kidogo. Huyo Jamaa alienda na UNDP akiwa na fedha zake za Trump.
Ni rahisi unapojiandaa kwenda sehemu ukiwa na pesa ukaamini sehemu fulani Maisha ni rahisi. Sasa kaa hiyo seheku miezi sita mpaka mwaka zile fumba ulizokwenda nazo ziishe ndio utajua kumbe wenyeji wanapambana sana
Embu tupe sababu kwanini ukerewe hakufai mkuu
 
Story zako Zina kahawa nyingi.


Hiki ni kisiwa cha Goziba kipo mkoa wa Kagera. Hao watafiti wako wa UNDP nina mashaka nao, askari wa hapo wanatoka Kagera sio mwanza kwa maana ya ukerewe. Nina mashaka na taarifs yako kuwa hakuna doria kama askari wapo.

View attachment 3270920

View attachment 3270921

Punguza uongo ktk maandiko yako mengi unayoandika. Yana uongo mwingi usio na maana
Kumbe jamaa mzaramo wa bara 🤣🤣
 
Goziba ni balaa mkuu niliwahi kufika huko mwaka fulani watu wanakula bata na wanapesa sio mchezo yani kule ni starehe tu.

Kuna kisiwa kingine kinaitwa gana/ghana wenyewe wanapaita mkoani aise starehe za huko sio mchezo watu kule wanapesa bhana.
Sijawahi kuona sehemu watu wanakula bia kama visiwani yani kila siku meli zinashusha shehena Na kreti za pombe aisee, tena ndio dagaa na samaki ziwe zinapatikana ni balaa.
 
Aisee vipi bei ya mbususu? Huku dar tunapigwa sana, mbushsu imeshafika 100k bao moja. Hatari hii
Bora dar bei za dodoma ni hatari na nusu wanadhani kila mwanaume aliyeko dodoma yuko serikalini 😁🤣
 
Nilienda huko mwaka 2013...tulikua na project pia...yani nilikua nasikia habar za huko kwamba wachawi sijui nini...nilikua nasali aiseee...ila kumbe walaa labda wanalogana wenyewe...wana vijiji vzr sanaa...greenish yani...nadhani kwa sbb ya kuwa juu ya maji...sema ndo nimeshasahau kabisa vijiji vyote majina yake...labda mtu ataje ndo nitakumbuka
Nansio
Kerege
Namagondo
Namasabo
Ngoma
Siza
Mriti
Mlezi
Bugondo
Soko Mjinga
Libya msitinu
Kakukuru
Ukara
 
Basi ni pazuri kuwekeza guest house utapiga Hela huko.
Acha kabisa mkuu, huko Goziba kuna jamaa anaguest zaidi ya tano zinaitwa Jangwani aisee Yule mwamba anapiga hela chumba buku 5 tuu Na ni full mabati tuu watu wanakodi kuanzia mwanzo wa Giza mpaka mwisho wa Giza mda wote zimejaa.
 
Gest visiwani ni za mabanzi tu
Gesti Kulala buku 2
Vitanda vya zege
Ukipeleka ustaarabu wa gest utalala mwenyewe
Kuna kisiwa kimoja nilifika huko kinaitwa IRUGWA kimepaka na kisiwa kingine kinaitwa LYEGOBA ukanda wa ukerewe na mara aise huko kuna guest kama za mjini ni balaa yan balaa. Kuna kiwanja kimoja wanakiita NYEGEZI aise starehe za huko sio mchezo...Kuna raha za ajabu ukienda huko unaweza tamani ubaki huko.
 
Back
Top Bottom