Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Kuna kisiwa kimoja nilifika huko kinaitwa IRUGWA kimepaka na kisiwa kingine kinaitwa LYEGOBA ukanda wa ukerewe na mara aise huko kuna guest kama za mjini ni balaa yan balaa. Kuna kiwanja kimoja wanakiita NYEGEZI aise starehe za huko sio mchezo...Kuna raha za ajabu ukienda huko unaweza tamani ubaki huko.
Nilimwambia watu hapa wanasema naongopa
Siku nyingine fika Ghana na Siza
 
Nilimwambia watu hapa wanasema naongopa
Siku nyingine fika Ghana na Siza
Ghana na Siza pia nimefika mkuu sio mchezo nilitoka huko nimenenepa balaa maana ilikua ukiamka asubuhi ni supu ya sato/sangara za kutosha supu mchuzi mzito rangi ya maziwa plus viazi vya kuchemsha....yan ilikua ni mwendo wa kula michemsho tu.
 
Hi
Ndugu yangu huyu mleta mada kati ya vitu kasahau kusema kuwa vipi huko ukerewe ni UCHAWI !
Kule kurogwa ni wakati wowote tena ukifika kule lazima ujaribiwe!.
Wewe ogopa mahala ambapo kiongozi wa dini akiambiwa aende huko huko anaona kapewa mtihani mkubwa sana kwasababu kuna baadhi wamefika huko kutangaza neno la mungu usiku we akalala vizuri vyumbani mwao na asubuhi wakajikuta wamelala ufukweni mwa ziwa Victoria.
Ikiwa mahala wanawaroga hadi viongozi wa dini jua hapo mahala wachawi wameshindikana!.
Hii nakubali Kwa asilimia kubwa kuna mtu ana chale zaidi ya mia
 
Ghana na Siza pia nimefika mkuu sio mchezo nilitoka huko nimenenepa balaa maana ilikua ukiamka asubuhi ni supu ya sato/sangara za kutosha supu mchuzi mzito rangi ya maziwa plus viazi vya kuchemsha....yan ilikua ni mwendo wa kula michemsho tu.
Nakumbuka nilirudi mkoani nikiwa nimeimarika sana upande wa mambo ya sita kwa sita nilikua na energy ya kufa mtu mpaka wife akawa anashangaa.....
 
Nakumbuka nilirudi mkoani nikiwa nimeimarika sana upande wa mambo ya sita kwa sita nilikua na energy ya kufa mtu mpaka wife akawa anashangaa.....
🤣😅😃Supu ya sato tena ambaye hajapita kwenye fridge Huwa ndo mambo yote
Ukienda kipindi cha kiangazi Kuna samaki anaitwa ngere huyo ukimla basi ni mwendo wa kutochoka
Nilikutana na demu pale nansio alinipa mauno sijawahi ona hata kwenye video za porn🤣
 
Taarifa zako sio zote za kweli

Kuna nyingine hapo ni za uongo

Mfano umesema kwenye hiyo taarifa yako, kwamba kule mtu akifa anatupwa ziwani

Hii taarifa sio sahihi.

Nina ndugu zangu Ukerewe

Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.

Makaburi yapo, na watu wanazikwa
 
🤣😅😃Supu ya sato tena ambaye hajapita kwenye fridge Huwa ndo mambo yote
Ukienda kipindi cha kiangazi Kuna samaki anaitwa ngere huyo ukimla basi ni mwendo wa kutochoka
Nilikutana na demu pale nansio alinipa mauno sijawahi ona hata kwenye video za porn🤣
😂😂😂 ngere niliwahi kuwala aise huko Irugwa aise niwatamu balaa sio mchezo hasa wakiwa kama wanakaribia kuharibika hivi yan supu yake ni balaa mkuu...kuna samaki mwingine anaitwa Hogwe duuh huku mjini hatuenjoy bhana.
 
😂😂😂 ngere niliwahi kuwala aise huko Irugwa aise niwatamu balaa sio mchezo hasa wakiwa kama wanakaribia kuharibika hivi yan supu yake ni balaa mkuu...kuna samaki mwingine anaitwa Hogwe duuh huku mjini hatuenjoy bhana.
Hongwe, kamongo, sato, Sangara
Au upate furu na ugali
We maisha ya visiwani ni matamu
 
Taarifa zako sio zote za kweli

Kuna nyingine hapo ni za uongo

Mfano umesema hiyo taarifa kwamba watu kule mtu akifa anatupwa ziwani

Hii taarifa sio sahihi.

Nina ndugu zangu Ukerewe

Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.

Makaburi yapo, na watu
Kama babu na bibi zako walizikwa huko na kama walikua ni upande wa baba yako basi bila shaka na ww ni mkerewe?

Kama ni mkerewe sishangai kujiona kuwa sio mkerewe maana ndio asili ya wakerewe kujifanya sio wakerewe.
 
Taarifa zako sio zote za kweli

Kuna nyingine hapo ni za uongo

Mfano umesema hiyo taarifa kwamba watu kule mtu akifa anatupwa ziwani

Hii taarifa sio sahihi.

Nina ndugu zangu Ukerewe

Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.

Makaburi yapo, na watu wanazikwa
Nimekwambia visiwani
Sio kila Ukerewe ni visiwani
 
Story zako Zina kahawa nyingi.


Hiki ni kisiwa cha Goziba kipo mkoa wa Kagera. Hao watafiti wako wa UNDP nina mashaka nao, askari wa hapo wanatoka Kagera sio mwanza kwa maana ya ukerewe. Nina mashaka na taarifs yako kuwa hakuna doria kama askari wapo.

View attachment 3270920

View attachment 3270921

Punguza uongo ktk maandiko yako mengi unayoandika. Yana uongo mwingi usio na maana
Hasa hilo la kutupa maiti ziwani nahisi katudanganya.
Ila sijui lkn
 
Hongwe, kamongo, sato, Sangara
Au upate furu na ugali
We maisha ya visiwani ni matamu
Ww kweli ulikaa aise...mimi visiwa vya huko karibia vyote nimefika na kukaa huko almost mwezi mzima....kuna kisiwa kimoja kinaitwa BWIRO nacho ni balaa moto wa kuotea mbali.
 
Nimekwambia visiwani
Sio kila Ukerewe ni visiwani
Kuna kisiwa kinaitwa LYEGOBA nakumbuka kipindi hicho nimeishi huko ilikua haipiti wiki kusikia kuna mtu kauliwa kwa kuchomwa kisu yan ilikua ni jambo la kawaida mkuu
 
Taarifa zako sio zote za kweli

Kuna nyingine hapo ni za uongo

Mfano umesema hiyo taarifa kwamba watu kule mtu akifa anatupwa ziwani

Hii taarifa sio sahihi.

Nina ndugu zangu Ukerewe

Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.

Makaburi yapo, na watu wanazikwa
Asante Kwa marekebisho.


Vipi mbususu nasikia bei Rahisi saana na zina quality kuliko hizi za tabata
 
Back
Top Bottom