Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Ukerewe ni kisiwa ila Kuna visiwa karibia 30 vipo ndani ya humo Ukerewe
Nafahamu Kuna zaidi ya visiwa 30 UK, ila umenipa challenge nifatilie undani wa taarifa yako hasa kuhusu hao wanaofariki kutupwa ndani ya Ziwa.

Ninavyofahamu, hakuna Nchi ina maeneo makubwa na mapori kama Tanzania

Ni ajabu kusikia watu wanakosa maeneo ya kuzika hadi watupwe ziwani.

Ninavyofahamu, baadhi ya miili iliyokuwa imeonekana ziwani miaka michache iliyopita, ilikuwa ni ya wale wavuvi waliokutwa wanavua kwenye eneo la hifadhi.

Ambapo taarifa fiche, zilibainisha kwamba walikuwa wameuwa na Mamlaka za Uhifadhi
 
Huwa natamani kufika Namagondo na sehemu zingine zilizorejelewa katika kazi nyingi za Euphrase Kezilahabi. Dhana ya uduara, ukatikati na ukitovu pamoja na maji zinabeba mhimili mkuu wa falsafa ya Kezilahabi kuhusu maisha; na zote zinatokana na mazingira ya kisiwani Ukerewe alikokulia.

Siku moja nitafanya utalii wa ndani huko!

View attachment 3270970
Mkuu naomba unikonektie pdf ya roza mistika
 
Nafahamu Kuna zaidi ya visiwa 30 UK, ila umenipa challenge nifatilie undani wa taarifa yako hasa kuhusu hao wanaofariki kutupwa ndani ya Ziwa.

Ninavyofahamu, hakuna Nchi ina maeneo makubwa na mapori kama Tanzania

Ni ajabu kusikia watu wanakosa maeneo ya kuzika hadi watupwe ziwani.

Ninavyofahamu, baadhi ya miili iliyokuwa imeonekana ziwani miaka michache iliyopita, ilikuwa ni ya wale wavuvi waliokutwa wanavua kwenye eneo la hifadhi.

Ambapo taarifa fiche, zilibainisha kwamba walikuwa wameuwa na Mamlaka za Uhifadhi
Mkuu ww ni mkerewe?
 
Asante Kwa marekebisho.


Vipi mbususu nasikia bei Rahisi saana na zina quality kuliko hizi za tabata
Hiyo Sina Uhakika Mkuu, ila kwakuwa umeuliza swali, nitakuwa na majukumu ya kubeba Salio na kwenda kuonja hizo pisi

Ukiona sijaja kuleta ushahidi hapa, basi ujue mdudu yule aliyetokea Uganda Mwaka 1989 atakuwa ameniua 😜
 
U

UKerewe ndio kisiwa hatari sana kuishi ktk visiwa vyote vya Tanzania na Afrika.

Ujambazi, mauwaji, ushirikina, Ujatiri dhidi ya binadamu.

Nakusihi tembelea Confession( Ushuhuda) kwenye Youtube Chanel ya Davista Mata uone kijana aitwaye WAMAYO akisimulia mikasà, misuko suko na harakati za Visiwa vyote vya Victoria.

Kiufupi Serikali imevitenga visiqa hivi hakuna Hyduma za ulinzi wala usalama
Nakubaliana na wewe mia kwa mia.
Kuna stori iliandikwa kwa gazeti Fulani la liuchunguzi likkielezea jinsi serikali ilivyojitenga na visiwa hivyo.huko Kuna watu Wana serikali zao.umafia wote uko huko,umalaya,mauaji na kila aina ya uzandiki.
Inawezekana mwandishi huyu wa makala hii ya jf tunayoijadili Yuko sahihi lakini ninkaa vile hajaingia kwenye mofumo ya Kihalifu.
Kumbuka Kila penye Uhalifu Kuna starehe sana.
 
Hiyo Sina Uhakika Mkuu, ila kwakuwa umeuliza swali, nitakuwa na majukumu ya kubeba Salio na kwenda kuonja hizo pisi

Ukiona sijaja kuleta ushahidi hapa, basi ujue mdudu yule aliyetokea Uganda Mwaka 1989 atakuwa ameniua 😜
😂😂😂
 
Goziba ni balaa mkuu niliwahi kufika huko mwaka fulani watu wanakula bata na wanapesa sio mchezo yani kule ni starehe tu.

Kuna kisiwa kingine kinaitwa gana/ghana wenyewe wanapaita mkoani aise starehe za huko sio mchezo watu kule wanapesa bhana.
Gozba iko Muleba,kule wana Serikali yao
 
Nakubaliana na wewe mia kwa mia.
Kuna stori iliandikwa kwa gazeti Fulani la liuchunguzi likkielezea jinsi serikali ilivyojitenga na visiwa hivyo.huko Kuna watu Wana serikali zao.umafia wote uko huko,umalaya,mauaji na kila aina ya uzandiki.
Inawezekana mwandishi huyu wa makala hii ya jf tunayoijadili Yuko sahihi lakini ninkaa vile hajaingia kwenye mofumo ya Kihalifu.
Kumbuka Kila penye Uhalifu Kuna starehe sana.
Kupitia Confession ya Wamayo nilioma Ukerewe haina Tofauti na Somalia.
 
Nilimwambia watu hapa wanasema naongopa
Siku nyingine fika Ghana na Siza
Ila Sasa naweza kukubaliana na wewe , ni kweli mengi uliyoonq ni sahihi.
Kwa sababu wewe umeongea zaidi upande wa starehe TU,maana hujaenda kupeleleza maisha ya watu.
Kama ungeenda kupeleleza nadhani ungekutqna na upande wa pili wa shilingi,ambao ni upande wa uhalifu.na uhalifu ni sehemu ya starehe kama umalaya,uvutaji bangi,ulevi kupindukia,biashara haramun.kna pia ushenzi kama ulanguzi,kidhulumiana,kuuana,kurohana,wizi,ubakaji,kukwepa Sheria n.k.
Ingawa haya yote yapo Kila sehemu.
Na ukerewe ni sehemu ya Tanzania,Wana mazuri mengi TU.
Na hata watu wanaposema serikali ni kama imejitenga na maeneo hayo haimaanishi kwamba hawawezekani Bali ni rushwa TU kwa watendaji ili kufanya mambo ya wafanyabiashara yaende bila mapingamizi.
Pia baadhi ya watendaji wana maslahi Yao huko.
 
Back
Top Bottom