Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Hicho ndiyo Kijiwe Kikubwa na Makao Makuu ya Kupumzika ( Kula Bata ) na Kupanga Mikakati zaidi kwa Wauza Dawa za Kulevya wengi nchini Tanzania , Matapeli wakubwa nchini na Mafisadi pamoja na Wala Rusha wakubwa pia. Kama ulikuwa hulijui hilo pole mno Mkuu na natumai kwamba kuanzia leo utakuwa umeshapata Jibu lako. Fanya Utafiti wako juu ya haya niliyokuambia na najua ipo Siku utakuja Kukubaliana nami hapa hapa.
kwahiyo sisi ambao hatufanyi hizo kazi tukienda pale tunaonekana ni hao hao?
 
Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Waliniuzia wali samaki elfu 18 pale samaki samaki sitasahau
 
Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
Kuna sehemu moja nilikuwa, ni hadhi za juu. sasa demu moja akaja na mwenzake, moja akaenda kuliwa mwingine akabaki

Baadae akaniomba simu eti ampigie dereva tax. sikuwa na hiyana nikampa.
Kesho yake akanitumia msg nikamuuliza "we nani"? akatuma picha, nikamwambia mbona sikukumbuki akanikumbusha, nikamwambia sikumbuki kukupa namba yangu ya simu?

Basi baada ya maongezi akaniambia anatafuta wateja, nikamuuliza wateja wa nini, akasema K

Kufupisha stori nikamuuliza nikitaka huduma shilingi ngapi? akasema kuanzia dola 200.

Jibu nililompa yeye mwenyewe anajua 😂 😂
 
Mkuu ngoja nikuchane kuhusu pale mcity, wengi wanafanya vikao vya siri pale kama hujui hlo jinsi palivyokaa pili wengi wanapretend sana maisha pale kuna watu huwa wanaenda kuzurura tu mle kupiga selfie kushangaa nk. Na pia kuna wenye pesa zao wengi tu ambao utawakuta pale wakitanua pizza hut mle, kfc, samaki samaki nk. Mcity sio safe place kuna utapeli mwing sana mle ukiwa zobaa utapigwaa sanaa na huu utapel unafanywa sana na wanawake warembo becareful unavokuwa mle. Madem wa chuo wengi wanapenda kwenda pale hasa kunatua kujiuza nk ukitaka wanawake hawa na jins ya kuwatambua ntakuchana

Kuhusu piza hadi ya 15k unapata, pale kfc kuanzia buku6 unapata vichips afu nakupa trick kama unataka soda, maji nk nenda choppers au game pale unapata take away yako kwa 900 tu
 
Sehemu zingine vitu hua ghali ili kuepusha vurugu,sio kila mtu na wa aina yeyote ile awe na uwezo wakuenda sehemu ile,nadhani hata kodi ya pango wanayolipa wafanyabiashara ni kubwa pia,Mkuu tembelea sehemu ambazo unazimudu huku ukiendelea kutafuta.
Yeye anataka chakula kiuzwe buku jero..mbagala yote si itaamia pale??
 
Sehemu zingine vitu hua ghali ili kuepusha vurugu,sio kila mtu na wa aina yeyote ile awe na uwezo wakuenda sehemu ile,nadhani hata kodi ya pango wanayolipa wafanyabiashara ni kubwa pia,Mkuu tembelea sehemu ambazo unazimudu huku ukiendelea kutafuta.
bei ya pale inachangiwa na hadhi ya eneo ambayo inafanya kutembelewa na watu wenye hadhi ya juu wakiwemo raia wengi wa kigeni na wauza sura pia wapo wengi tu na wenye mfuko [emoji383] mizuri, pia kodi ya pango pale ni kubwa so ndio maana wafanyabiashara wanakomaa na bei ya juu ili kufidia
 
Bila picha itakuwa ni umbea
kinachonishangaza ni namna jinsi watu wanavyo vaa pande za pale huwanajiuliza kama wametokea home kama jinsi walivyo au wanabadilisha nguo wakifika pale.
 
Mkuu ebu nichane... Hao wa kujiuza nawatambuaje??
Mkuu ngoja nikuchane kuhusu pale mcity, wengi wanafanya vikao vya siri pale kama hujui hlo jinsi palivyokaa pili wengi wanapretend sana maisha pale kuna watu huwa wanaenda kuzurura tu mle kupiga selfie kushangaa nk. Na pia kuna wenye pesa zao wengi tu ambao utawakuta pale wakitanua pizza hut mle, kfc, samaki samaki nk. Mcity sio safe place kuna utapeli mwing sana mle ukiwa zobaa utapigwaa sanaa na huu utapel unafanywa sana na wanawake warembo becareful unavokuwa mle. Madem wa chuo wengi wanapenda kwenda pale hasa kunatua kujiuza nk ukitaka wanawake hawa na jins ya kuwatambua ntakuchana

Kuhusu piza hadi ya 15k unapata, pale kfc kuanzia buku6 unapata vichips afu nakupa trick kama unataka soda, maji nk nenda choppers au game pale unapata take away yako kwa 900 tu
 
Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?m
Njoo kwa mpemba juisi 500.
 
Back
Top Bottom