Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwani huko kula, kucheza game na kuangalia serires, HIVYO VINA JIPYA?Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
👉Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije🤒
View attachment 2783816
Sija ishindwa, Afu huyo mwanamke una mfanyaje hizo siku Nyingine??Tafuta mwanamke kama umeshindwa hio formation
Jiulize the same question huko kwenye kula, game na kuangalia series...!!Sija ishindwa, Afu huyo mwanamke una mfanyaje hizo siku Nyingine??
👉Let's say you do 3/7 in a week, - 4/24 hrs 😂😂😂😂
Have fun bro, ila siku unialike nije nikupige fifa!Oya bro Introsagvert hizo Sasa sifa[emoji23][emoji23][emoji23], like 100 [emoji23][emoji855]
Paka wako mnene kweli...do you look like that my man?Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
👉Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije🤒
View attachment 2783816
Ukikua utaelewa.We mkubwa ume pata kipi [emoji848]
IAM not fat at all, mi ni tall na slimPaka wako mnene kweli...do you look like that my man?
Tuje tupange tuka kiwashe sehemu, wote kina kelphin, Franky Samuel, na kina mshamba_hachekwiHave fun bro, ila siku unialike nije nikupige fifa!
sijui mpira kabisa, sijawahi kuangalia mechi nzima full time😂Tuje tupange tuka kiwashe sehemu, wote kina kelphin, Franky Samuel, na kina mshamba_hachekwi
👉Niwa funue 3-0 Kwenye FIFA😂🤒
Basi tuangalie movie na season 😂😂🤒.sijui mpira kabisa, sijawahi kuangalia mechi nzima full time😂
sijui magemu kabisa
IAM preserving it for the choosen one🤒😂😂😂😘naomba hiyo mbegu tafadhali,kwa style ya popo kanyea anga
mimi mshamba wa magemu kabisa, hata nikipewa nakaa nayo kidogo nafuta😂👉Dah ko hujui game hata la nyoka😂😂
Sawa Kaka, kuoa ni barakabinafsi starehe yangu, ni sex (na mke wangu), hakuna kitu kitamu kama kile, hasa pale mnapokuwa mpo kwenye good terms, akili zimetuliaaa
Basi tubaki upande wa movie na series tu😂😂😂🤒mimi mshamba wa magemu kabisa, hata nikipewa nakaa nayo kidogo nafuta😂
😔unangaika😠IAM preserving it for the choosen one🤒😂😂😂
Madam sio kila shimo tuna Ingia😂😂🤒😔unangaika😠
Bora kama una hata huo uwezo jaman😎Madam sio kila shimo tuna Ingia😂😂🤒