Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #241
Hi Ume nichekesha 😆😆😂, hi nzuri sana.- Sema zikiwa nyingi Zina kera.Mi starehe yangu ni;
Kuhesabu hela cjui nielezeeje🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi Ume nichekesha 😆😆😂, hi nzuri sana.- Sema zikiwa nyingi Zina kera.Mi starehe yangu ni;
Kuhesabu hela cjui nielezeeje🤔
Sema niko mbali, Ninge kupa FIFA jipya🤒😆😆Mimi mnisaidia fifa 2016 baby mama kafuta Hilo Game na karibia movie zote [emoji120]
Najua tukikutana utabadilisha maamuzi 😁Hapana aisee, uzinzi ni dhambi mbaya Sana🙄😆😆😆
Najua we ni 🔥 🔥🔥🔥, ila Mali ya ntu ni sumu😂😆😆Najua tukikutana utabadilisha maamuzi 😁
Yaani baba Nai angekuwa anajua vile najichetua Jf angeniuwa Msomali yule😁😁Najua we ni 🔥 🔥🔥🔥, ila Mali ya ntu ni sumu😂😆😆
Sija wahi kuku kataa🤒🤗We si umenikataa jukwaani 🐒🐒
Sema ana faidi, maana I know u are truly royal🤗🤗Yaani baba Nai angekuwa anajua vile najichetua Jf angeniuwa Msomali yule😁😁
Lazima afaidi anajituma kwa ajili ya familia😍Sema ana faidi, maana I know u are truly royal🤗🤗
Hauna mdogo ako🤗, Mana Nilikuwa na friend wa kike kaolewa😆😆.Lazima afaidi anajituma kwa ajili ya familia😍
Dah kwetu ni wa mwisho labla ndugu na jamaa nikutafutie 😁😁Hauna mdogo ako🤗, Mana Nilikuwa na friend wa kike kaolewa😆😆.
👉Ana kaa tanga🤒
Itakuwa fresh tu, mchumba😍😍Dah kwetu ni wa mwisho labla ndugu na jamaa nikutafutie 😁😁
Vle unamuomba msaada unaetakiwa kumsaidiaYoyote tu, waganga njaa tupate mlo🤒
Yaan jioni unakaa zako unahesabu afu nazitenga tenga narecord vzr Aisee naenjoy sanaHi Ume nichekesha 😆😆😂, hi nzuri sana.- Sema zikiwa nyingi Zina kera.
Aliniulizia wap kumbe Ile maskan yenu mlizinguana mpaka imefungiwa 😆😆umepotea mwanangu dahan alikuulizia juzi tu hapa
mshamba_hachekwi ndo sababu ya wanna kutaka kulipuana😆😂Aliniulizia wap kumbe Ile maskan yenu mlizinguana mpaka imefungiwa 😆😆
Kaka, IAM Totally serious 🤒.Vle unamuomba msaada unaetakiwa kumsaidia