Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series

Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series

Kama una majukumu tayari basi badilisha mfumo wako wa kupumzika. Badala ya kutazama movie fanya kitu kingine mfano kumtoa binti wa jirani aliye 18+ dinner mkaongea mawili matatu, kumtembelea rafiki yako kwake, kujifunza kitu kipya mfano lugha.

Mambo ni mengi mda wa kuishi mchache huwezi yamaliza.
[emoji123]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.

[emoji117]Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.

Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.

[emoji117]Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.

Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
[emoji117]Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije[emoji855]
View attachment 2783816
Mkuu unacheza game gani?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta mchuchu awe anakupa sapoti, sisi tusikua na marafiki wengi tunaishi kwa shida sana , unakaa mtaani watu hata hawakujui
Kuna time majiran wananiulizaga umerudi line, unajiuliza Sasa nilisafiri Kwenda wap?upo nao hapo hapo ila wanakuona kwa kuotea sana[emoji2]
 
Kuna time majiran wananiulizaga umerudi line, unajiuliza Sasa nilisafiri Kwenda wap?upo nao hapo hapo ila wanakuona kwa kuotea sana[emoji2]
Kabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.
 
Back
Top Bottom