nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,673
- 5,402
Ni hizo tu kwa list unayoniambia?Mouse
Tell me what you saw
Heartless city.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hizo tu kwa list unayoniambia?Mouse
Tell me what you saw
Heartless city.
Nope Nipo nakula now, ndo Mana nika kupa hizo in advanceNi hizo tu kwa list unayoniambia?
Wewe kama unaandika andika zote nijue niahamalizana na hilo, mambo ya kukaa kuanza kupekua kurasa natafuta uliporeply muda huo kwangu ni mgumu mno.Nope Nipo nakula now, ndo Mana nika kupa hizo in advance
Mzee niache kufanya yangu, kisa fantasy zako 🤔🤔🤔Wewe kama unaandika andika zote nijue niahamalizana na hilo, mambo ya kukaa kuanza kupekua kurasa natafuta uliporeply muda huo kwangu ni mgumu mno.
Call me crazy but I have this visionUmenikumbusha lil wayne anaposemaga POOP PEE POOP PEE POOP PEE..kwa starehe zako hizo na upo ndani shughuri nyingne hiyo poop pee
Unapenda kupigana miti nishakuona[emoji2539][emoji817][emoji736]
Uki taka za porini na Historia Kali, UTA semaNimeiona, shukran
Sawa shivoDah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
👉Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
👉Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
👉Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije🤒
View attachment 2783816
AmitabhaSawa shivo
Komaa na hiyo style
.Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
[emoji117]Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
[emoji117]Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
[emoji117]Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije[emoji855]
View attachment 2783816
Hivi FIFA na PES lipi ni gemu Kali la mpira? Japo Mimi huwa napenda sana PESMimi mnisaidia fifa 2016 baby mama kafuta Hilo Game na karibia movie zote [emoji120]
Toa hiyo doing nothing 😂😂