Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Weee si mchele... lainiMjini sipa wezi🤣😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee si mchele... lainiMjini sipa wezi🤣😂😂
Kila unapopata nafasi tembelea na mbuga mbalimbali za wanyama utakuja nishukuru.Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
[emoji117]Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
[emoji117]Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
[emoji117]Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije[emoji855]
View attachment 2783816
Dharau Hizi Kijana, aliye kuja kulia Lia kuhusu Voda ni nani 🤣😂😂Weee si mchele... laini
Pamoja mkuu, ngoja tutafute maokoto kwanza🤒Kila unapopata nafasi tembelea na mbuga mbalimbali za wanyama utakuja nishukuru.
Kwel tuzisake kwanzaPamoja mkuu, ngoja tutafute maokoto kwanza🤒
Na utafanyaje sasa .. nishakuzarau mshamba mmoja wewe...Dharau Hizi Kijana, aliye kuja kulia Lia kuhusu Voda ni nani 🤣😂😂
Look at this maza fantastic how I treat him.Na utafanyaje sasa .. nishakuzarau mshamba mmoja wewe...
Stupid... utafika ila haunikutiiii...
Tatizo unaweka kingereza chako uchwara cheza magemu kwanza mii naingia mzigoni now ...Look at this maza fantastic how I treat him.
👉So what the hell, should I join him, when I can beat him🤔🤒
you are a snake without a tail😆😆Tatizo unaweka kingereza chako uchwara cheza magemu kwanza mii naingia mzigoni now ...
Nisha vaa buti lenye sorri ngumu
Yes my lovely crush🤗🤗Crush wa mimi❤️
Love u more🤒🤒🙃
Jana uli lala map3ma ehh🤗🤒