Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KawaidaIla mshamba_hachekwi una mabiti😃🙄😁😂
Kama kawa lakini!Kawaida
kama kawaKama kawa lakini!
Vipi una onaje tuanzishe meth lab 🤒🤒kama kawa
anzisha wewe, mimi sitaki kua mhalifuVipi una onaje tuanzishe meth lab 🤒🤒
Kaka acha uoga in Walter white voice🤒anzisha wewe, mimi sitaki kua mhalifu
Thomas shelbyPeak blinders
Kaka yaliyotokea acha tuu...Selikavu zile series za kichina uli angalia??
Kakuweza aisee🤣😃😃, pole sana.Kaka yaliyotokea acha tuu...
Nilishusha mzigo kama GB 70 wote nikaweka kwenye pc mdogo wangu akaja akafuta folder zima la movie akijua ni flash yake ndo anafuta...
Hapa nangojea nipate muda niunge bundle nishushe tena...
Nitakupa mrejesho Mkuu shukan kwa Kujali🙏
Kwanini mnatumia flash zinazofanana bila hata kuziwekea holder?Kaka yaliyotokea acha tuu...
Nilishusha mzigo kama GB 70 wote nikaweka kwenye pc mdogo wangu akaja akafuta folder zima la movie akijua ni flash yake ndo anafuta...
Hapa nangojea nipate muda niunge bundle nishushe tena...
Nitakupa mrejesho Mkuu shukan kwa Kujali🙏
Kasema PC bhana, ko dogo alivyo week flash kufuta folder fulani.Kwanini mnatumia flash zinazofanana bila hata kuziwekea holder?
Kasema PC bhana, ko dogo alivyo week flash kufuta folder fulani.
👉Ndo mzigo ukawa erased hivyo🤣😃
Haiend uko kama mzigo ni mkubwaKafuta likiwa kwa Pc/ flash?
Folder likifutwa lenyewe uwa haliendi recycle bin?
Kaka kime kukuta kipi 🙄😃🤣🤣Mwanaume na gheto lake lenye godoro na Tv pekee ataishi maisha ya amani sana hadi pale atakapoanza kuyafuata matatizo ndo utaona room yake ina makorokoro kibao.