copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Sugua kyuma mzee acha woga, sugua vyuma hivyoTangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.
Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing tu.
Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.
Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.
Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing tu.
Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.
Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Kula nayo overrated tu. Tunatumia gharama sana kula.Hata kula ni ubatili tu, unaweza piga hesabu ya pesa ulizotumia kununua chakula tangu january 2011?? ungeshi kwa kunywa maji tu wala hata usingekuwa umekufa
Huo siyo uovu kwanini unihikumu? Mfalme Suleimani alikuwa na wake700 na vimada 300na Mungu alimpenda sana hadi akampa hekima atawale kwa haki. Wewe unanini cha kujutia?Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.
Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing tu.
Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.
Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Washenzi watasema eti uzinzj,uzinzi vipi yani?Ulipata wapi muda wa kurekodi idadi ya hao wanawake na kiasi cha pesa ulichotumia.
Sex haiepukiki ni hitaji la laxima kwa binadamu,tafuta mmoja tulia nae
Mweee....wee sema pombe sigara cocaine ndio ubatili. Huwezi fananisha ngono na starehe nyingine yoyote hapa duniani.Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.
Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing na miguno tu.
Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.
Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Tuzisasambue hizi mbususu kama yule jamaa wa pale eswatiniWashenzi watasema eti uzinzj,uzinzi vipi yani?
Duh!....Umenikumbusha jamaa mmoja yeye alikuwa anatembea na wanawake tofauti wa kila rika ila wake za watu ndo walikuwa wengi na alikuwa anahakikisha anapiga nao selfie.
Kwenye simu alikuwa na picha zaidi ya 200 na zote kabigia akiwa guest house tofauti.
Majuto aliyokuwa nayo ni mengi kuliko furaha. Naungana na wewe Mke mmoja anatosha sana.
Umenikumbusha jamaa mmoja yeye alikuwa anatembea na wanawake tofauti wa kila rika ila wake za watu ndo walikuwa wengi na alikuwa anahakikisha anapiga nao selfie.
Kwenye simu alikuwa na picha zaidi ya 200 na zote kapiga akiwa guest house tofauti.
Majuto aliyokuwa nayo ni mengi kuliko furaha. Naungana na wewe Mke mmoja anatosha sana.
Thibitisha hiki kipengele mkuuNimetumia zaidi ya milioni 28.3
Mengineyo yote ni kweli tupu Ila hapo kwenye kutumia 28.3m jamaa watakuja kupopoa eti ni TATEPA (TANZANIA TEA PACKERS)Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.
Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing na miguno tu.
Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.
Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Kwa miaka 13 Hapo sawaa mkuu naunga mkono hiyo pesa ni SAHIHI mkuu π28.3 ni kitu gani mkuu kwa miaka 13