Starehe zote za hii dunia ni ubatili na hasara tu

Starehe zote za hii dunia ni ubatili na hasara tu

Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.

Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing tu.

Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.

Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Sugua kyuma mzee acha woga, sugua vyuma hivyo
 
Umenikumbusha jamaa mmoja yeye alikuwa anatembea na wanawake tofauti wa kila rika ila wake za watu ndo walikuwa wengi na alikuwa anahakikisha anapiga nao selfie.

Kwenye simu alikuwa na picha zaidi ya 200 na zote kapigia akiwa guest house tofauti.

Majuto aliyokuwa nayo ni mengi kuliko furaha. Naungana na wewe Mke mmoja anatosha sana.
Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.

Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing tu.

Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.

Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
 
Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.

Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing tu.

Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.

Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Huo siyo uovu kwanini unihikumu? Mfalme Suleimani alikuwa na wake700 na vimada 300na Mungu alimpenda sana hadi akampa hekima atawale kwa haki. Wewe unanini cha kujutia?
 
Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.

Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing na miguno tu.

Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.

Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Mweee....wee sema pombe sigara cocaine ndio ubatili. Huwezi fananisha ngono na starehe nyingine yoyote hapa duniani.
Hela tunatafuta ili tuweze kukojolea pazuri basi. Maana kama kula vyakula vipo bwelele
 
Umenikumbusha jamaa mmoja yeye alikuwa anatembea na wanawake tofauti wa kila rika ila wake za watu ndo walikuwa wengi na alikuwa anahakikisha anapiga nao selfie.

Kwenye simu alikuwa na picha zaidi ya 200 na zote kabigia akiwa guest house tofauti.

Majuto aliyokuwa nayo ni mengi kuliko furaha. Naungana na wewe Mke mmoja anatosha sana.

Umenikumbusha jamaa mmoja yeye alikuwa anatembea na wanawake tofauti wa kila rika ila wake za watu ndo walikuwa wengi na alikuwa anahakikisha anapiga nao selfie.

Kwenye simu alikuwa na picha zaidi ya 200 na zote kapiga akiwa guest house tofauti.

Majuto aliyokuwa nayo ni mengi kuliko furaha. Naungana na wewe Mke mmoja anatosha sana.
Duh!....
 
Tangu January 2011 mpaka june 2024 nimetembea na wanawake 574 toka ndani na nje ya nchi yetu. Nimetumia zaidi ya milioni 28.3 kutekeleza uovu huu kwa kuhonga na kulipia gharama mbalimbali ili kujionea raha ya ngono.

Nilichobaini ni kuwa tofauti ya wanawake ni ma housing na miguno tu.

Ushauri: Ngono inaweza kukupotezea fedha, furaha, uhuru na ubinadamu.

Ukitaka ngono, oa mke 1 tu, anatosha, mengine ni ubatili na kujilisha upepo.
Mengineyo yote ni kweli tupu Ila hapo kwenye kutumia 28.3m jamaa watakuja kupopoa eti ni TATEPA (TANZANIA TEA PACKERS)

😊😊😊😊
 
Back
Top Bottom