Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nadhani ni wakati sahihi kwa watanzania wote waliowahi kumlaumu Nape kuhusu kampuni ya Starlink kumuomba msamaha na kuungama makosa yao. Hawakufanya vyema. Pamoja na mapungufu yake ni kuwa Mheshimiwa Nape aliona mbali katika hili.

Ndani ya muda mfupi sana wananchi wa Zambia wameshaanza kulalamika na kuitupia lawama kampuni ya Starlink kuhusu huduma zao za internet. Mheshimiwa Nape alivyosema Starlink wawe na ofisi ndani ya Tanzania alikuwa sahihi 100%. Leo hii wazambia wanalalamikia kupigwa na watu wa kati wanapotaka huduma ya internet za Starlink kutokana na wao kutokuwa na ofisi. Dish & Router ambazo ukiagiza ni $500 kuna wahuni wanauza $1000 huku kifurushi cha mwezi kikiwa $110.. ni maumivu makali. Pia wananchi wamelalamikia usumbufu wa kuagiza Starlink kit moja kwa moja kutoka USA ambapo huchukua hadi wiki 4 kuwafikia huku vikiwa bei ghali sana kuliko matarajio ya wengi.

Baadhi ya wananchi wameenda mbali kwa kudai Starlink sio ya mwananchi wa kawaida. Itawanufaisha wafanyabiashara tu. Kitu pekee ambacho kwa pamoja tunakubali ni kasi ya internet ya Starlink. Haina mpinzani. 120 Mbps ni kubwa sana. Nchi ya Rwanda inayosifika kwa kasi ya internet ina 50 Mbps tu. Kimsingi biashara na beberu haimjali mwananchi wa kipato cha chini. Kuna mwananchi mmoja kauziwa Stalink Kit kwa kwacha 21500.

USHAURI KWA NAPE; Ninamsihi akae chini na timu yake na kushusha bei za vifurushi. Sioni sababu yoyote kwa nchi yetu yenye watumiaji wengi wa internet kuuza vifurushi kwa bei ya kupaa. Hadi leo hii hakuna utetezi wowote wenye maana uliowahi kutolewa na Nape zaidi ya kusema internet kwa Tanzania ni bei rahisi kulinganisha na nchi zingine. Ni UTETEZI WA KITOTO SANA. Kuhusu ni kuwa Starlink hawana namna ya kuikwepa Tanzania. Hii nchi ina biashara kubwa ya internet kuliko majirani zetu. Starlink lazima atarudi tena au kimyakimya anaendelea na mazungumzo ili afanye biashara hapa.

FB_IMG_1697099617862.jpg

FB_IMG_1697099614949.jpg
 
Nadhani ni wakati sahihi kwa watanzania wote waliowahi kumlaumu Nape kuhusu kampuni ya Starlink kumuomba msamaha na kuungama makosa yao. Hawakufanya vyema. Pamoja na mapungufu yake ni kuwa Mheshimiwa Nape aliona mbali katika hili.

Ndani ya muda mfupi sana wananchi wa Zambia wameshaanza kulalamika na kuitupia lawama kampuni ya Starlink kuhusu huduma zao za internet. Mheshimiwa Nape alivyosema Starlink wawe na ofisi ndani ya Tanzania alikuwa sahihi 100%. Leo hii wazambia wanalalamikia kupigwa na watu wa kati wanapotaka huduma ya internet za Starlink kutokana na wao kutokuwa na ofisi. Dish & Router ambazo ukiagiza ni $500 kuna wahuni wanauza $1000 huku kifurushi cha mwezi kikiwa $110.. ni maumivu makali. Pia wananchi wamelalamikia usumbufu wa kuagiza Starlink kit moja kwa moja kutoka USA ambapo huchukua hadi wiki 4 kuwafikia huku vikiwa bei ghali sana kuliko matarajio ya wengi.

Baadhi ya wananchi wameenda mbali kwa kudai Starlink sio ya mwananchi wa kawaida. Itawanufaisha wafanyabiashara tu. Kitu pekee ambacho kwa pamoja tunakubali ni kasi ya internet ya Starlink. Haina mpinzani. 120 Mbps ni kubwa sana. Nchi ya Rwanda inayosifika kwa kasi ya internet ina 50 Mbps tu. Kimsingi biashara na beberu haimjali mwananchi wa kipato cha chini. Kuna mwananchi mmoja kauziwa Stalink Kit kwa kwacha 21500.
View attachment 2780121
View attachment 2780124
Starlink hata tz isingelita unafuh kwa mwananchi wa kawaida maana kama mtu anashindwa funga superkasi, ndipp ataweza starlink.
By the way hawawezi fungua ofisi hapa maana hata mapato ya tz pekee yatakuwa madogo
 
Nadhani ni wakati sahihi kwa watanzania wote waliowahi kumlaumu Nape kuhusu kampuni ya Starlink kumuomba msamaha na kuungama makosa yao. Hawakufanya vyema. Pamoja na mapungufu yake ni kuwa Mheshimiwa Nape aliona mbali katika hili.

Ndani ya muda mfupi sana wananchi wa Zambia wameshaanza kulalamika na kuitupia lawama kampuni ya Starlink kuhusu huduma zao za internet. Mheshimiwa Nape alivyosema Starlink wawe na ofisi ndani ya Tanzania alikuwa sahihi 100%. Leo hii wazambia wanalalamikia kupigwa na watu wa kati wanapotaka huduma ya internet za Starlink kutokana na wao kutokuwa na ofisi. Dish & Router ambazo ukiagiza ni $500 kuna wahuni wanauza $1000 huku kifurushi cha mwezi kikiwa $110.. ni maumivu makali. Pia wananchi wamelalamikia usumbufu wa kuagiza Starlink kit moja kwa moja kutoka USA ambapo huchukua hadi wiki 4 kuwafikia huku vikiwa bei ghali sana kuliko matarajio ya wengi.

Baadhi ya wananchi wameenda mbali kwa kudai Starlink sio ya mwananchi wa kawaida. Itawanufaisha wafanyabiashara tu. Kitu pekee ambacho kwa pamoja tunakubali ni kasi ya internet ya Starlink. Haina mpinzani. 120 Mbps ni kubwa sana. Nchi ya Rwanda inayosifika kwa kasi ya internet ina 50 Mbps tu. Kimsingi biashara na beberu haimjali mwananchi wa kipato cha chini. Kuna mwananchi mmoja kauziwa Stalink Kit kwa kwacha 21500.
View attachment 2780121
View attachment 2780124
Sasa hapo inahusiana nini na Nape kuona mbali?

Wanapigwa hapo na Wazambia wenzao siyo na Starlink.

Kenya mbona hayajatokea matatizo hayo?

Ni Wazambia wenyewe tu hovyo.

In shaa Allah kama nipo hai na Tanzania itakuwa haijafika mpaka January, naagiza Nairobi.
 
Unayajua maumivu ya vifurushi wewe!!?
Unayajua maumivu ya umeme wewe!!?
Maumivu ya starlink si kitu, Google wana ofisi bongo!!? Amazon!!? Je facebook wana ofisi Tanzania!!? Hiyo space kichwani imejaa anaupiga mwingi tu
Acha kulialia hapa. Watanzania wangapi wanaweza kununua dish & router kwa 2m? Wangapi wanaweza lipia kifurushi kwa zaidi ya laki kwa mwezi? Starlink ni kwa ajili ya matajiri tu.
 
Sasa hapo inahusiana nini na Nape kuona mbali?

Wanapigwa hapo na Wazambia wenzwo siyo na Starlink.

Kenya mbona hayajatokea matatizo hayo?

Ni Wazambia wenyewe tu hovyo.

In shaa Allah kama nipo hai na Tanzania itakuwa haijafika mpaka Jamuary, naagiza Nairobi.
Naunga mkono hoja 👍👏👏
 
Shida ni kutegemea mabepari wawaze kukusaidia mtu masikini, mabepari wapo kulimbikiza mali na kuendeleza existance yao na sio kukufavor masikini.

Lamsingi nikupambana na kuomba sana Mungu utoke kwenye mstari wa umasikini.
 
Propaganda izo tu na mtoa mada inabidi upimwe akili weka watu wanao lalamika tuone hapa la sivyo wambie walio kutuma hawana akili hiyo huduma hadi hapa watu wanatumia vizuri tu hata mkikataza bado tunatumiaa vizuri tu tumetumia madish ya canal na bado tuna tumia starlink na hamna cha kutufanya nyie mapunguwani na machawa
 
Unayajua maumivu ya vifurushi wewe!!?
Unayajua maumivu ya umeme wewe!!?
Maumivu ya starlink si kitu, Google wana ofisi bongo!!? Amazon!!? Je facebook wana ofisi Tanzania!!? Hiyo space kichwani imejaa anaupiga mwingi tu
Naunga mkono hoja 👍👏
 
wazambia wanalalamikia kupigwa na watu wa kati wanapotaka huduma ya internet za Starlink kutokana na wao kutokuwa na ofisi. Dish & Router ambazo ukiagiza ni $500 kuna wahuni wanauza $1000 huku kifurushi cha mwezi kikiwa $110..

Utaratibu rasmi wa kupata installation kit ya Starlink unajulika, bei za vifurushi kwa mwezi zipo wazi na ETA inajulikana...

Watu kupigwa bei ambayo sio elekezi ni kiherehere chao wenyewe kutaka kununua kit toka 3rd party suppliers...

Zambia becomes sixth African country to get SpaceX's Starlink satellite internet service

"Starlink is available in Zambia in limited areas, but the company plans to expand its coverage over the coming months. The service is priced at ZMW771 ($37) per month, with a one-time hardware cost of ZMW10,744 ($505)."
 
Back
Top Bottom