Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Sio kila huduma ni ya kila mtu, kuna watu wa nahitaji huduma hizo na wapo tayar kulipia. Kama ww huwez ishu sio kulala mika. Ni kuongeza juhud za ww utafute hela upunguze malalamiko
 
Kuna watu wanawaza upigaji tu,hawajawahi kuwaza positive.
 
Starlink hata tz isingelita unafuh kwa mwananchi wa kawaida maana kama mtu anashindwa funga superkasi, ndipp ataweza starlink.
By the way hawawezi fungua ofisi hapa maana hata mapato ya tz pekee yatakuwa madogo
Mnafanya hivyo ili baadae mje kutuuzia 1GB kwa 5,000?
Kwani vifurushi vya sasa ni nafuu?
 
Acha kulialia hapa. Watanzania wangapi wanaweza kununua dish & router kwa 2m? Wangapi wanaweza lipia kifurushi kwa zaidi ya laki kwa mwezi? Starlink ni kwa ajili ya matajiri tu.
Acha uchawi.
Mnataka baadae muuze 1Gb kwa 5,000?
 
Acha kulialia hapa. Watanzania wangapi wanaweza kununua dish & router kwa 2m? Wangapi wanaweza lipia kifurushi kwa zaidi ya laki kwa mwezi? Starlink ni kwa ajili ya matajiri tu.
Hawawezi Kwasababu Hali zao za uchumi ni mbaya kwakuwa Wana serikali mbovu isiyoleta maisha bora
 
Propaganda izo tu na mtoa mada inabidi upimwe akili weka watu wanao lalamika tuone hapa la sivyo wambie walio kutuma hawana akili hiyo huduma hadi hapa watu wanatumia vizuri tu hata mkikataza bado tunatumiaa vizuri tu tumetumia madish ya canal na bado tuna tumia starlink na hamna cha kutufanya nyie mapunguwani na machawa
Ndugu Charles Kilian kwa muda mrefu nimekua nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu. Nini kimetokea hadi ukaandika hii comment yenye harufu ya pombe haramu ya gongo?
 
Ni sawa na kulalamika range rover tunauziwa ghali wakati unaona kabisa dar watu wanazo kibao.weka Huna hela kaa kwa kutulia kula kiporo ingia jf basi vingine waachie wenye kazi nayo..hutakuja kulazimishwa kuiweka
 
Nadhani ni wakati sahihi kwa watanzania wote waliowahi kumlaumu Nape kuhusu kampuni ya Starlink kumuomba msamaha na kuungama makosa yao. Hawakufanya vyema. Pamoja na mapungufu yake ni kuwa Mheshimiwa Nape aliona mbali katika hili...
Ngoka kwanza sasa hapo unalaumu starlink au makanjanja wa Biashara Zambia
 
Nadhani ni wakati sahihi kwa watanzania wote waliowahi kumlaumu Nape kuhusu kampuni ya Starlink kumuomba msamaha na kuungama makosa yao. Hawakufanya vyema. Pamoja na mapungufu yake ni kuwa Mheshimiwa Nape aliona mbali katika hili....
Mkuu Mbna kenya sijasikia hayo malalamiko Na bei iko sawa yaani 2mil kwa 120Mbps unaona kubwa
 
Petty consolations.

Akili za Nape na wewe hazina tofauti hujiulizi kwanini baada ya kuwekewa mizengwe Starlink waliachana na Tanzania ?

Kama wanafunga annual revenue na $ 1.5 B unafikiri wanaweza kuendelea kuhangaika na kinchi kilichopo gizani?

Kama unazungumzia kuhusu uagizaji hadi kuwasili kwa vifaa ni wiki 4 , mbona kuna uzi jukwaa la Technology watu wameomba tu kwenda kufanyiwa survey ya fibre internet ya TTCL na mtu yuko chini ya mile 0.62 na bado TTCL wananzungusha miaka nenda rudi huoni hapo nani kichwani hazimo sawa sawa?

Nape ameshindwa kutolea majibu juu ya data kuisha kwa haraka akibaki kuside na makampuni yanayompa milungula ili kuzima uwezekano wa watanzania kupewa internet yenye kasi kwa gharama nafuu(sio ndogo) kwani kwa zama hizi internet ni hitaji la msingi .

Mwisho hayo malalamiko ya wazambia hujayaweka ila hata kama yapo utaona tofauti ya responses ya customer care desk ya hao Starlink utalinganisha na TTCL ambayo tunaambiwa ni biashara ya Maharage?

How in a sober minded community mtu binafsi kuwa na biashara kwenye shirika la umma na watu wanachekelea?
 
Mnafanya hivyo ili baadae mje kutuuzia 1GB kwa 5,000?
Kwani vifurushi vya sasa ni nafuu?
Mimi sio serikali lakini nmesema fact tu. Imagine vifaa dollar 500 hiyi ni kama milion 1.2, bado ulipe zaidi ya lak mbili kwa mwezi wakati superkasi ni cheap zaidi ya hiyo japo speed hazilingani na bado ni changamoto kwa watu kufunga.

Mimi sisemei nape kuikataa nasemea kuwa hata ingekuja ambao wamgeafford ni makampuni na wenye vipato.
Ila ingeruhusiwa tu sisi tuna vikwazo vingi nchi hii maskini inataka sheria kama za EU
 
Watanzania wangapi wanaweza kununua router na dish kwa zaidi ya 2m?
Ni watanzania wangapi wananunua hizo routers au hujui kuwa zaidi ya asilimia 80 ya watanzania wanatumia internet kupitia smartphones

Halafu pia ni watanzania wangapi wananunua nguo woolworth au wanakula lunch serena..

Je, ni watanzania wangapi wanatumia ndege kufanya movements nchini??...

Kwa hiyo hizo huduma zote zifutwe kwa sababu wengi hawazitumii. Mbona hii ni mindset ya kijamaa sana

Hizo concerns ulizotoa sijaona ambayo inahalalisha maamuzi ya nchi yetu dhidi ya starlink. Kiufupi ni jukumu la elon tu kuangalia kama soko lipo au halipo na sio nyie kumuamulia
 
kinchi kilichopo gizani?
Hayo maneno yamefanya nikuone mpuuzi na usiyejua chochote kuhusu biashara. Wewe ni mwanasiasa mpumbavu unayeita nchi yako "kinchi kilichopo gizani".... USIRUDIE TENA KUTAMKA HAYO MANENO HARAMU.
 
Ni watanzania wangapi wananunua hizo routers au hujui kuwa zaidi ya asilimia 80 ya watanzania wanatumia internet kupitia smartphones

Halafu pia ni watanzania wangapi wananunua nguo woolworth au wanakula lunch serena..

Je, ni watanzania wangapi wanatumia ndege kufanya movements nchini??...

Kwa hiyo hizo huduma zote zifutwe kwa sababu wengi hawazitumii. Mbona hii ni mindset ya kijamaa sana

Hizo concerns ulizotoa sijaona ambayo inahalalisha maamuzi ya nchi yetu dhidi ya starlink. Kiufupi ni jukumu la elon tu kuangalia kama soko lipo au halipo na sio nyie kumuamulia
Wewe mbona huna akili kabisa? Unadhani internet ya Starlink utatumia bila installation kit? Dish & router ni lazima kuzinunua. Kwenye ukoo wenu mko wangapi mnaomudu milioni 2 kwa mara moja?
 
Back
Top Bottom