Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Hivi hii si inatumia sattelite? Inakuwaje tena iwe limited areas?

Satelite yeyote kwa kawaida inapobeam juu ya uso wa dunia huwa ina coverage area wanaita footprint, hivyo waliopo ndani ya footprint pekee ndio wenye kupata reception...

Kwa kuelewa zaidi ni kama chukulia mfano wa mwamvuli uwe ni kama satelite, ukiwa mmoja utakinga eneo dogo tu na ikiwa mingi kwa pamoja itakinga eneo kubwa zaidi na zaidi...

Starlink wao huwa wanarusha satelites nyingi nyingi kwenye anga la nchi fulani ili ziweze kucover eneo kubwa...kwamba kila sat inakuwa na footprint yake, hivyo zikiunganika basi zinacover enwo kubwa zaidi
 
Wewe mwanamke umezoea kupewa bure utayajulia wapi maumivu ambayo wanaume wa Tanzania wanayapitia?

Hivi sasa umeungana na Shoga yako Lucas mwashambwa kuwatetea watawala ambao wameendelea kuwafanya Watanzania kuwa na maisha magumu mnooo!.


Nyie Mabwana zenu kila kitu wanawapa bure unadhani maumivu ya wengine mtayahisi vp?

Hebu oneni hata aibu basi nyie wanawake mbona ni watu wazima!
Mwanangu unakosea sana kuniita mwanamke. Hujui mimi ni baba yako wa kambo. Leo usiku tutakujadili mimi na mama yako tuone tunakukanya vipi. Vinginevyo utapata laana ya baba wa kambo.
 
Unajua kuna baadhi ya watu mngeweza kuwa wapishi wazuri au plumbers wa viwango vya kimataifa ila mnalazimisha fani ambazo sio zenu. Ulichoandika ni utumbo mtupu hata Elon Musk atakukataa. Siku nyingine kabla huja-comment uliza kwanza watu wanaofanya biashara ndo uje u-paste hapa walichosema. Kwa akili zako unajiaibisha.
Chawa wa Samia hamna tofauti na uwezo mdogo wa boss wenu.

Nimekuuliza hapa katika uzi ule wa vifurushi mbalimbali vya internet unaona kabisa TTCL na makampuni mengine yalivyofeli kutoa huduma ya internet huku mdau mmoja akionyesha mpaka ushahidi wa emails alizowatumia HQ kwa surveyors kushindwa kufika eneo alilopo sasa kwa shirika bovu kama hilo na unasema waziri na watendaji wake wanatekeleza majukumu yao?

Anapotokea mwekezaji anafanyiwa mizengwe hatimaye anaondoka zake, mtanzania kama Benjamin Fernades hujiulizi kwanini hajaweka HQ za NALA Tanzania?

Majuzi tu bwanamdogo mmoja ninefuatilia kawekewa mizengwe kwenye utoaji wa scholarship nafuu ili kampuni ya Global link yenye mkono wa mwanaccm iendelee kupeta bila ushindani.

Kwahiyo kwenye hili aliyefeli ni Nape na boss wenu Samia sio Starlink.
 
Acha kulialia hapa. Watanzania wangapi wanaweza kununua dish & router kwa 2m? Wangapi wanaweza lipia kifurushi kwa zaidi ya laki kwa mwezi? Starlink ni kwa ajili ya matajiri tu.
Acha kujifanya unajua na longolongo tuu, dish moja la starlink lina uwezo wa kutumika na devices 200 bila matatizo, kuna hospitals, shule na ofisi nyingi tuu vijijini au mijini wanaweza kutumia hiyo huduma bila matatizo, acheni uchawa na muwe serious kidogo
 
Acha kulialia hapa. Watanzania wangapi wanaweza kununua dish & router kwa 2m? Wangapi wanaweza lipia kifurushi kwa zaidi ya laki kwa mwezi? Starlink ni kwa ajili ya matajiri tu.
Bill ya laki moja kwa shule au hospital is nothing, na dish moja linaweza connect zaidi ya devices 200, walimu wote na idara zote, hospital na system zao zinaweza kuwa connected na high speed internet kwa hiyo gharama, starlink sio kama vifurushi vya kampuni za simu go educate yourself
 
Back
Top Bottom