Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Starlink yatupiwa lawama Zambia. Nape aliona mbali

Huyu aone mbali😂
IMG_4468.jpg
 
Hayo maneno yamefanya nikuone mpuuzi na usiyejua chochote kuhusu biashara. Wewe ni mwanasiasa mpumbavu unayeita nchi yako "kinchi kilichopo gizani".... USIRUDIE TENA KUTAMKA HAYO MANENO HARAMU.
Ngoja nirudie.

Nani anaweza kutishwa na kinchi ambacho kinaweza kuwaweka giza wananchi wake hata siku nzima mfululizo bila taarifa na wala bila utatuzi yakinifu.

Nani atakua mjinga endapo unamfungia vioo abaki kukubembeleza wakati ana annual revenue ya $1.4 B na anaoperate kwenye nchi zinazoeleweka

Ngoja nikuwekee hapa taarifa waliyotoa niko hapa kufanya deconstruction kwa wapambe kama nyie wa waziri aliyejibebea vibendera 7 kidato cha nne na kama huelewi lugha hapo sema nikupe tafsiri .
images (7).jpeg

Hapo juu ni coverage ya Starlink sijui hata kama geography iko vizuri kichwani mwako kuelewa nchi zilizokuwa marked na zinapata full operation ya Starlink.
images (6).jpeg

Hayo maneno yamefanya nikuone mpuuzi na usiyejua chochote kuhusu biashara. Wewe ni mwanasiasa mpumbavu unayeita nchi yako "kinchi kilichopo gizani".... USIRUDIE TENA KUTAMKA HAYO MANENO HARAMU.
 
Nadhani ni wakati sahihi kwa watanzania wote waliowahi kumlaumu Nape kuhusu kampuni ya Starlink kumuomba msamaha na kuungama makosa yao. Hawakufanya vyema. Pamoja na mapungufu yake ni kuwa Mheshimiwa Nape aliona mbali katika hili.

Ndani ya muda mfupi sana wananchi wa Zambia wameshaanza kulalamika na kuitupia lawama kampuni ya Starlink kuhusu huduma zao za internet. Mheshimiwa Nape alivyosema Starlink wawe na ofisi ndani ya Tanzania alikuwa sahihi 100%. Leo hii wazambia wanalalamikia kupigwa na watu wa kati wanapotaka huduma ya internet za Starlink kutokana na wao kutokuwa na ofisi. Dish & Router ambazo ukiagiza ni $500 kuna wahuni wanauza $1000 huku kifurushi cha mwezi kikiwa $110.. ni maumivu makali. Pia wananchi wamelalamikia usumbufu wa kuagiza Starlink kit moja kwa moja kutoka USA ambapo huchukua hadi wiki 4 kuwafikia huku vikiwa bei ghali sana kuliko matarajio ya wengi.

Baadhi ya wananchi wameenda mbali kwa kudai Starlink sio ya mwananchi wa kawaida. Itawanufaisha wafanyabiashara tu. Kitu pekee ambacho kwa pamoja tunakubali ni kasi ya internet ya Starlink. Haina mpinzani. 120 Mbps ni kubwa sana. Nchi ya Rwanda inayosifika kwa kasi ya internet ina 50 Mbps tu. Kimsingi biashara na beberu haimjali mwananchi wa kipato cha chini. Kuna mwananchi mmoja kauziwa Stalink Kit kwa kwacha 21500.

USHAURI KWA NAPE; Ninamsihi akae chini na timu yake na kushusha bei za vifurushi. Sioni sababu yoyote kwa nchi yetu yenye watumiaji wengi wa internet kuuza vifurushi kwa bei ya kupaa. Hadi leo hii hakuna utetezi wowote wenye maana uliowahi kutolewa na Nape zaidi ya kusema internet kwa Tanzania ni bei rahisi kulinganisha na nchi zingine. Ni UTETEZI WA KITOTO SANA. Kuhusu ni kuwa Starlink hawana namna ya kuikwepa Tanzania. Hii nchi ina biashara kubwa ya internet kuliko majirani zetu. Starlink lazima atarudi tena au kimyakimya anaendelea na mazungumzo ili afanye biashara hapa.

Wewe nu mwehu wahed
 
Mimi sio serikali lakini nmesema fact tu. Imagine vifaa dollar 500 hiyi ni kama milion 1.2, bado ulipe zaidi ya lak mbili kwa mwezi wakati superkasi ni cheap zaidi ya hiyo japo speed hazilingani na bado ni changamoto kwa watu kufunga.

Mimi sisemei nape kuikataa nasemea kuwa hata ingekuja ambao wamgeafford ni makampuni na wenye vipato.
Ila ingeruhusiwa tu sisi tuna vikwazo vingi nchi hii maskini inataka sheria kama za EU
Hao vifaa wananunua kwa vishoka. Mbona Kenya hawalalamiki?
  • Kununua vifaa bei ghari siyo sababu ya starlink kuja Tanzania
  • Mbona kila siku mnapandisha bei ya vifurushi hasa data na bado hamsemi au kwa kuwa mna hisa Vodacom, Airtel, Tigo, na Zantel?
  • Leo kuna simu za mkopo za kunyonya damu, simu yenye thamani ya 150,000 kwa mkopo ni shiling laki 6 na hamuongei. Kwanini? Wanauza dlight, vodacom, tigo na wengine.
Mnajifanya mnatuhurumia sana lkn kila siku vifurushi mnapandisha halafu kwenye starlink mnajifanya mnatupenda sana?
Viongozi wa Tanzania wanakula miamala ili starlink isije Tanzania na kibaya zaidi wanapandisha vifurushi vya data kimaksudi ili wapate hela.
1Gb ilikuwa 1,000 leo ni 2100 tena ikiwa bando pekee. Ukijiunga Halotel chap tu wameshachukua bando lao. 1Gb wanakupa 500mb.
 
Sasa hapo inahusiana nini na Nape kuona mbali?

Wanapigwa hapo na Wazambia wenzwo siyo na Starlink.

Kenya mbona hayajatokea matatizo hayo?

Ni Wazambia wenyewe tu hovyo.

In shaa Allah kama nipo hai na Tanzania itakuwa haijafika mpaka Jamuary, naagiza Nairobi.
Kama hajaelewa hapa, basi akae tu na ujinga wake kichwani
 
Utaratibu rasmi wa kupata installation kit ya Starlink unajulika, bei za vifurushi kwa mwezi zipo wazi na ETA inajulikana...

Watu kupigwa bei ambayo sio elekezi ni kiherehere chao wenyewe kutaka kununua kit toka 3rd party suppliers...

Zambia becomes sixth African country to get SpaceX's Starlink satellite internet service

"Starlink is available in Zambia in limited areas, but the company plans to expand its coverage over the coming months. The service is priced at ZMW771 ($37) per month, with a one-time hardware cost of ZMW10,744 ($505)."
Yaani dish 📡 ni 1300000TZS na malipo Kwa mwezi ni 100000TZS, Mbona wasakatonge hatuwezi.
 
Ngoja nirudie.

Nani anaweza kutishwa na kinchi ambacho kinaweza kuwaweka giza wananchi wake hata siku nzima mfululizo bila taarifa na wala bila utatuzi yakinifu.

Nani atakua mjinga endapo unamfungia vioo abaki kukubembeleza wakati ana annual revenue ya $1.4 B na anaoperate kwenye nchi zinazoeleweka

Ngoja nikuwekee hapa taarifa waliyotoa niko hapa kufanya deconstruction kwa wapambe kama nyie wa waziri aliyejibebea vibendera 7 kidato cha nne na kama huelewi lugha hapo sema nikupe tafsiri .View attachment 2780205
Hapo juu ni coverage ya Starlink sijui hata kama geography iko vizuri kichwani mwako kuelewa nchi zilizokuwa marked na zinapata full operation ya Starlink.View attachment 2780203
Unajua kuna baadhi ya watu mngeweza kuwa wapishi wazuri au plumbers wa viwango vya kimataifa ila mnalazimisha fani ambazo sio zenu. Ulichoandika ni utumbo mtupu hata Elon Musk atakukataa. Siku nyingine kabla huja-comment uliza kwanza watu wanaofanya biashara ndo uje u-paste hapa walichosema. Kwa akili zako unajiaibisha.
 
Yaani dish 📡 ni 1300000TZS na alipo Kwa wezi ni 100000TZS, Mbona wasakatonge hatuwezi.
Hiyo dola 505 ni ukiagiza. Ukija kuongeza gharama za usafiri na kodi inaenda zaidi ya hapo ndo maana watu wa kati wanauza hado dola 1000.
 
Wewe mbona huna akili kabisa? Unadhani internet ya Starlink utatumia bila installation kit? Dish & router ni lazima kuzinunua. Kwenye ukoo wenu mko wangapi mnaomudu milioni 2 kwa mara moja?

Kama kuwa na akili ni kuwa closed-minded na kutumia emotional reactions badala ya logical ones kama wewe bhasi ni kheri niendelee kuwa mpumbavu.

Ulichoshindwa kung'amua hapo ni concept ndogo sana ya masoko "targetting"

Kwa hiyo hata kama ukoo mzima tungekuwa hatuna uwezo wa kupata laki haimaanishi wanaopata bilioni wasipate huduma inayoendana na thamani ya fedha zao.

Kwanza Tanzania hii unajua kuna midlle income earners wangapi na hata ukuaji wa million dollar individuals kwa mwaka upoje

Haya wewe mwenye akili kuliko space x walioamua kuwekeza Tanzania, kuna topics nyingi tulifanya discussion decently hadi nikadhani upo tofauti mkuu. Ila yote kheri, your life, your choice. Who am i
 
Mleta maada ni aina ya watu kama hawa waliojilaza chini🐒

images - 2023-10-12T210102.342.jpeg
 
Kama kuwa na akili ni kuwa closed-minded na kutumia emotional reactions badala ya logical ones kama wewe bhasi ni kheri niendelee kuwa mpumbavu.

Ulichoshindwa kung'amua hapo ni concept ndogo sana ya masoko "targetting"

Kwa hiyo hata kama ukoo mzima tungekuwa hatuna uwezo wa kupata laki haimaanishi wanaopata bilioni wasipate huduma inayoendana na thamani ya fedha zao.

Kwanza Tanzania hii unajua kuna midlle income earners wangapi na hata ukuaji wa million dollar individuals kwa mwaka upoje

Haya wewe mwenye akili kuliko space x walioamua kuwekeza Tanzania, kuna topics nyingi tulifanya discussion decently hadi nikadhani upo tofauti mkuu. Ila yote kheri, your life, your choice. Who am i
Mmeanza kubadili kauli sio? Watu wangapi waliokuwa wakidhani Starlink itakuja kutatua tatizo la internet kwa wengi? Kiufupi ni kuwa Starlink haina urafiki na maskini wala mtu yeyote wa kipato cha chini.
 
Yaani dish 📡 ni 1300000TZS na malipo Kwa mwezi ni 100000TZS, Mbona wasakatonge hatuwezi.

Kwenye malipo ya mwezi mnaweza kushare kwa sababu inakubali multiple users na multiple devices...
 
Kweli nape alikua sahii,hata hizi gari range rover na JEEP i gharama sana kununua,kulitunza,fuel consuption,. masikini hatuziwezi serikali ifanye namna zisiingie bongo,na iPhone pia,.
 
Mmeanza kubadili kauli sio? Watu wangapi waliokuwa wakidhani Starlink itakuja kutatua tatizo la internet kwa wengi? Kiufupi ni kuwa Starlink haina urafiki na maskini wala mtu yeyote wa kipato cha chini.
Tumeanza mimi na nani ??....

Ushawahi interact na hii account kwenye hizo league zenu

Ngoja niwaache wafu mzikane
 
Yaani 2023 unaona Satellite ina tatizo tuna Taifa lenye watu vilaza sana aisee...sijui nani aliwaroga na kudumaza Bongo zenu...
 
Wewe mwanamke umezoea kupewa bure utayajulia wapi maumivu ambayo wanaume wa Tanzania wanayapitia?

Hivi sasa umeungana na Shoga yako Lucas mwashambwa kuwatetea watawala ambao wameendelea kuwafanya Watanzania kuwa na maisha magumu mnooo!.


Nyie Mabwana zenu kila kitu wanawapa bure unadhani maumivu ya wengine mtayahisi vp?

Hebu oneni hata aibu basi nyie wanawake mbona ni watu wazima!
 
Utaratibu rasmi wa kupata installation kit ya Starlink unajulika, bei za vifurushi kwa mwezi zipo wazi na ETA inajulikana...

Watu kupigwa bei ambayo sio elekezi ni kiherehere chao wenyewe kutaka kununua kit toka 3rd party suppliers...

Zambia becomes sixth African country to get SpaceX's Starlink satellite internet service

"Starlink is available in Zambia in limited areas, but the company plans to expand its coverage over the coming months. The service is priced at ZMW771 ($37) per month, with a one-time hardware cost of ZMW10,744 ($505)."
Hivi hii si inatumia sattelite? Inakuwaje tena iwe limited areas?
 
Unajua kuna baadhi ya watu mngeweza kuwa wapishi wazuri au plumbers wa viwango vya kimataifa ila mnalazimisha fani ambazo sio zenu. Ulichoandika ni utumbo mtupu hata Elon Musk atakukataa. Siku nyingine kabla huja-comment uliza kwanza watu wanaofanya biashara ndo uje u-paste hapa walichosema. Kwa akili zako unajiaibisha.
Chawa wa Samia hamna tofauti na uwezo mdogo wa boss wenu.

Nimekuuliza hapa katika uzi ule wa vifurushi mbalimbali vya internet unaona kabisa TTCL na makampuni mengine yalivyofeli kutoa huduma ya internet huku mdau mmoja akionyesha mpaka ushahidi wa emails alizowatumia HQ kwa surveyors kushindwa kufika eneo alilopo sasa kwa shirika bovu kama hilo na unasema waziri na watendaji wake wanatekeleza majukumu yao?

Anapotokea mwekezaji anafanyiwa mizengwe hatimaye anaondoka zake, mtanzania kama Benjamin Fernades hujiulizi kwanini hajaweka HQ za NALA Tanzania?

Majuzi tu bwanamdogo mmoja ninefuatilia kawekewa mizengwe kwenye utoaji wa scholarship nafuu ili kampuni ya Global link yenye mkono wa mwanaccm iendelee kupeta bila ushindani.

Kwahiyo kwenye hili aliyefeli ni Nape na boss wenu Samia sio Starlink.
 
Back
Top Bottom