Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Haya mkuu, wenye JF yao wameunganisha mada yako na huna la kuwafanya 😂Tanzania imekubali starlink waingie nchini baada ya kelele nyingi za walaji( watanzania) kuililia kampuni hii IINGIE TANZANIA
Pengine ujio wa trump na Elon musk kushika mpini serikali imeona isiwe tabu ....
Moderator tadhadhalini msiunganishe hii mada yangu kama imeshindikana ni Bora ufute Tu haina shidaView attachment 3152762
Kakudanganya huyokununua vifaa ni KSH 88K = 1.7M
hiyo 130k ni basic plan😂
kuna mkenya nilimsikia anasema bora zuku tu
nenda website yao uoneKakudanganya huyo
hata zisipopungua, bora kutumia internet yao ambapo una uhakika wa faragha wa mambo yako kuliko hawa kenge wa sasaBei zitapungua? Au wataambiwa waendane na bei za washindani zilizopo? Najua kwenye ubora jamaa atawapiga chenga
Inabidi wawanyooshe na hawa voda uchwaraMwanzo kipindi starlink inaingia kenya mapokeo yalikua makubwa kwa vile price ya vifurushi ilikua cheap ukilinganisha na internet service provider wengine
Competition ikawa kubwa baina ya starlink na safaricom ( router) . Hali iliofanya wateja kuihama safrcom. Ndipo safaricom ikaingia ubia na starlink sahvi ndo distributor wakubwa wa hizo device kupitia mawakala wao
Sasa kuna Mtanzania gn anayeweza kufanya shughuli ipi itakayomfanya kifaa chake kionyeshe 100mbps?Ndio hapo kwenye simu yako itakuwa inasoma 100Mbps.. hadi 220 Mbps..
Tusubirie hizo siku 14 tuoneSawa ila bado ni hatua mzuri sana
Hapana Sio kweli..kununua vifaa ni KSH 88K = 1.7M
hiyo 130k ni basic plan😂
kuna mkenya nilimsikia anasema bora zuku tu
Nimeakuaonyesha Kwenye Website hapo Juunenda website yao uone
au ingia youtube kuna wakenya kibao wame-review
Ipo hivi ndugu Kuna min kit na hard kit normal kwa rate ya pesa ya kibongo ni 936,000 Tsh (Kidishi) - Unaweza connect device 235, na inashika umbali wa mita 297.nenda website yao uone
au ingia youtube kuna wakenya kibao wame-review
Tatizo huyo dogo ni mbishi sana sijui nani alimuambia ni milioni Moja 😀😀😃😀😀😀😀😀😀Nimeakuaonyesha Kwenye Website hapo Juu
hapo itafaaHapana Sio kweli..
Kununua Vifaa Ni KSH 27K (Kwa Rate ya Sasa hivi ya 20= 540,000/= TSH)
Na Basic Plan ni 4000 KSH ambayo ni sawa na Tsh 80k
Na Unlimited Ni 6500 KSH ambayo ni Hiyo 130k TSH..
Ushahidi hapa Chini Japo nilitoka Kenya Juzi kati bei Unaweza Ukapata kwa Bei ya Chini zaidi ya Hapo kama Wewe Ni Mjanja mjanja wa Kanairo pale..
CC: mshamba_hachekwi
Vincenzo Jr
View attachment 3152778
View attachment 3152779
View attachment 3152780
Duh iyo Hela ungekuwa halotel ungefaidi sanaIje tuu, natumia zaidi ya 250,000 ya bundle Airtel kila mwezi na mtandao wao uko ovyo.
Bei rafiki sana hii mda si mrefu naivuta kwenye la casa yangu hapa kigamboniHapana Sio kweli..
Kununua Vifaa Ni KSH 27K (Kwa Rate ya Sasa hivi ya 20= 540,000/= TSH)
Na Basic Plan ni 4000 KSH ambayo ni sawa na Tsh 80k
Na Unlimited Ni 6500 KSH ambayo ni Hiyo 130k TSH..
Ushahidi hapa Chini Japo nilitoka Kenya Juzi kati bei Unaweza Ukapata kwa Bei ya Chini zaidi ya Hapo kama Wewe Ni Mjanja mjanja wa Kanairo pale..
CC: mshamba_hachekwi
Vincenzo Jr
View attachment 3152778
View attachment 3152779
View attachment 3152780