Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Tanzania imekubali starlink waingie nchini baada ya kelele nyingi za walaji( watanzania) kuililia kampuni hii IINGIE TANZANIA

Pengine ujio wa trump na Elon musk kushika mpini serikali imeona isiwe tabu ....

Moderator tadhadhalini msiunganishe hii mada yangu kama imeshindikana ni Bora ufute Tu haina shidaView attachment 3152762
Haya mkuu, wenye JF yao wameunganisha mada yako na huna la kuwafanya 😂
 
Mwanzo kipindi starlink inaingia kenya mapokeo yalikua makubwa kwa vile price ya vifurushi ilikua cheap ukilinganisha na internet service provider wengine


Competition ikawa kubwa baina ya starlink na safaricom ( router) . Hali iliofanya wateja kuihama safrcom. Ndipo safaricom ikaingia ubia na starlink sahvi ndo distributor wakubwa wa hizo device kupitia mawakala wao
Inabidi wawanyooshe na hawa voda uchwara
 
Ndio hapo kwenye simu yako itakuwa inasoma 100Mbps.. hadi 220 Mbps..
Sasa kuna Mtanzania gn anayeweza kufanya shughuli ipi itakayomfanya kifaa chake kionyeshe 100mbps?
Mm tangu nimenunua simu n mara moja tuu niliona 11mbps kwenye simu yangu na hapo nilikuwa nadownload movie kupitia wifi yenye speed ya 70mbps, ila mara nyingi kwenye hy hy wifi hua nachezea kwenye 6mbps
 
kununua vifaa ni KSH 88K = 1.7M

hiyo 130k ni basic plan😂

kuna mkenya nilimsikia anasema bora zuku tu
Hapana Sio kweli..

Kununua Vifaa Ni KSH 27K (Kwa Rate ya Sasa hivi ya 20= 540,000/= TSH)

Na Basic Plan ni 4000 KSH ambayo ni sawa na Tsh 80k
Na Unlimited Ni 6500 KSH ambayo ni Hiyo 130k TSH..

Ushahidi hapa Chini Japo nilitoka Kenya Juzi kati bei Unaweza Ukapata kwa Bei ya Chini zaidi ya Hapo kama Wewe Ni Mjanja mjanja wa Kanairo pale..

CC: mshamba_hachekwi
Vincenzo Jr
Screenshot_20241115_110423_Chrome.jpg

Screenshot_20241115_110443_Chrome.jpg

Screenshot_20241115_110439_Chrome.jpg
 
nenda website yao uone

au ingia youtube kuna wakenya kibao wame-review
Ipo hivi ndugu Kuna min kit na hard kit normal kwa rate ya pesa ya kibongo ni 936,000 Tsh (Kidishi) - Unaweza connect device 235, na inashika umbali wa mita 297.

Hii ni Min kit
560,000 Tsh (Kidishi) - Unaweza connect device 128, na inashika umbali wa mita 112. Na inaweza kupungua ikija kwa pesa ya kibongo hii zote nimetoa kwenye website Yao ya starlink Kenya
 
Hapana Sio kweli..

Kununua Vifaa Ni KSH 27K (Kwa Rate ya Sasa hivi ya 20= 540,000/= TSH)

Na Basic Plan ni 4000 KSH ambayo ni sawa na Tsh 80k
Na Unlimited Ni 6500 KSH ambayo ni Hiyo 130k TSH..

Ushahidi hapa Chini Japo nilitoka Kenya Juzi kati bei Unaweza Ukapata kwa Bei ya Chini zaidi ya Hapo kama Wewe Ni Mjanja mjanja wa Kanairo pale..

CC: mshamba_hachekwi
Vincenzo Jr
View attachment 3152778
View attachment 3152779
View attachment 3152780
hapo itafaa

niliona May wanasema 88k itakua wamepunguza

na hua wana toa punguzo la 55% mara nyingine, mseleleko upo
 
Hapana Sio kweli..

Kununua Vifaa Ni KSH 27K (Kwa Rate ya Sasa hivi ya 20= 540,000/= TSH)

Na Basic Plan ni 4000 KSH ambayo ni sawa na Tsh 80k
Na Unlimited Ni 6500 KSH ambayo ni Hiyo 130k TSH..

Ushahidi hapa Chini Japo nilitoka Kenya Juzi kati bei Unaweza Ukapata kwa Bei ya Chini zaidi ya Hapo kama Wewe Ni Mjanja mjanja wa Kanairo pale..

CC: mshamba_hachekwi
Vincenzo Jr
View attachment 3152778
View attachment 3152779
View attachment 3152780
Bei rafiki sana hii mda si mrefu naivuta kwenye la casa yangu hapa kigamboni
 
Back
Top Bottom