Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?

Niliona crdb pale kigamboni wameweka hii sema walikuwa wanatumia kwa Siri sanaπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
We Umewachoma Wazi 🀣🀣
Huoni kama Utawafanya Washitakiwe kwa Matumizi ya Bidhaa zilizokatazwa 🀣🀣🀣

Maana Mpaka Sasa Bado haziruhusiwa Kuna Wale watu walikula Mvua na Wazungu wao kwa matunzi ya Hizo starlink...
Utawacosts 🀣🀣🀣
 
Haina shida leseni washapewa kaka πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Serikali ya CCM wanapenda kuona watanzania wakiteseka ndio maana hawataki kumuachia Musk aje kushusha gharama za internet na kuboresha huduma. Watawala wa nchi wana mambo ya kiquma sana
 
Haina shida leseni washapewa kaka πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

kwani lesseni Tayari Wamepewa starlink??

Ila hata kama Serkali ikiamua Kukusagia kunguni Kisheria wao walianza Matumizi Kabla ya Leseni kutoka..
So wanahesabika Ni makosa..

Maana tunaanza kuhesabu lini Wameanza kutumia Na Lini leseni imeanza Kutumika
 
Nakumbuka Kuna wachina walibebwa aisee πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ hivi ulisikia nao Qatar airways wamefungwa kwenye ndege zao hizi starlink
 
Tatizo watu hawajui Bei ya Bundle inatokana na nini..., Sio kweli kwamba waliopo ndio wanasababisha bei kuwa juu.. HAPANA Serikali na TCRA waliweka bei elekezi hence kuondoa ushindani na wote kuchezea kwenye Bei elekezi

Huoni kwamba kwa mitandao kuona hilo sasa hivi wanapush watu wanunua router (wireless) yenye unlimited kwa kupitia mgongo kwamba ni Biashara... Kwahio kikulacho ki nguoni mwako (hata akija malaika na Internet) kama TCRA ameweka bei elekezi basi bei itachezea palepale..., Kuna wakati enzi za ushindani mitandao ilikuwa inatoa bundle bure (kama motisha) let alone bei ya juu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…