Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Mleta uzi alihitaji kujua kwa nini J5 ya majivu na sio J4,J3 au Alhamisi? Wewe naona umetoka nje ya uzi kabisa, unaleta udini. Hapa ndipo lilipo tatizo kubwa la Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukrani sana .
 
Kwa taarifa tu yaliwahi kuwa mawili La Rome na Ufaransa. Soma historian ya kanisa.

Kulikua na mapapa wawili...
 
Mimi Wala sikua najibu hoja ya mleta
Mada Soma vizuri, Bali mpuuzi mmoja ametoa kashfa ya kipuuzi nami nikamjibu kisabato
 
Kwa taarifa tu yaliwahi kuwa mawili La Rome na Ufaransa. Soma historian ya kanisa.

Kulikua na mapapa wawili...
Safi sana. Sasa soma vizuri nilichoandika. Nilisema; Tulionywa mapema kabla kuwa Endapo kutatokea Kanisa Katoliki lingine nje ya Rome; Tusilikubali. Hata wawepo mapapa 10. Papa ni mmoja tu, aliyeko pale Roma baaaasiiiii
 
NISAIDIE MAANA HALISI YA MANENO HAYA:
1, utakatifu
2, kisha nieleze utakatifu wa kabisa katoriki ni nini na ni upi.
3, Ni nani aliyelipasisha kabisa katoliki? Nipe maandiko toka Biblia. Hebu tuanzie hapo
2,U

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hii ina tofauti gani na SUPERSTITION?

Because they do the same routine like movie actors with movie roles!

Dini ni political set up first and foremost to control motherfuckers!
 
Safi sana. Sasa soma vizuri nilichoandika. Nilisema; Tulionywa mapema kabla kuwa Endapo kutatokea Kanisa Katoliki lingine nje ya Rome; Tusilikubali. Hata wawepo mapapa 10. Papa ni mmoja tu, aliyeko pale Roma baaaasiiiii

A blackman ana pledge allegiance to Romans religious dominance...

Eti "kanisa la roma"......gross!
 
Nimekuelewa mkuu ndio maana zamani mzee alikuwa anatuambia tuchague cha kufunga kama ni wali au ugali au nyama.....ni mpka kwaresma iishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kusikia mapokeo ya mababa, soma maandiko matakatifu Biblia. Wasome waliokuwa wanafunga toka Ibrahim mpaka mitume. Hakuna kuchagua cha kufunga.

Tumeamliwa kufunga kula na kunywa. kadiri ya Uwezo wako wa kustahimili njaa na kiu. Hii hufanyika kwa mtu anayetafuta kuwa karibu na mungu kwa kutubu makosa yake,au kuomba jambo fulani lililo jema kwa mungu atendewe yeye au mwingine. Kufunga ni kuutesa mwili ili mungu aone kweli umejutia kosa ulilofanya,au kitu unachoomba kina umuhimu sana.

TENDO HILI MUNGU ULIFURAHIA SANA KWAKUWA ANAONA HAKUNA UNACHOKITEGEMEA ZAIDI YA YEYE. HUTEKELEZA HARAKA SANA.Msifuate mikumbo tu ati askofu kusema,padri kusema,eti mchungaji kasema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi kuhusu kuvaa nguo za magunia, mbona hatuvai leo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ujinga wako huo sidhani ka kuna mtu aliye nao zaidi ya weye. U seem to be very very seditious and mbaguzi saana

Mbaguzi wa nini?

It is only right to be mbaguzi kwenye ujinga!

Umetoa general statement tu,nenda kwenye specifics,ufanye counter ya hoja zangu,sio unaishia kwenye "wewe mjinga sana" And then basi....

Ulisomaje shule hujui kujibu maswali wewe?

Na unajua maana ya seditious au una kunya kunya tu?
 
We msabato nakuonaga sana ukibishana na watu Jf kwenye nyuzi mbali mbali... Ngojea kwanza niende kanisani nitarudi kukujibu.
Mm sibishan njoo hapa na maandiko unioneshe maagizo ya kujipaka majivu

Nami nitakupa historia hadi papa aliyeanzisha huo upagani na aliutoa wapi

Maana ushadanganywa , kuabudu Masanamu, kusali rozali, kuasi amri za Mungu ,umeaminishwa ndio ukristo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni bla blaa ,hiv unajua ibada ya majivu ilivyoaanza kanisa la Roma,? Au unaburuzwa tu,

Nakuja kukufundisha ,ngoja ninywe uji kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…