TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 496
- 515
Biblia inaonesha pia hata wayahudi walipomkosea Mungu walijipaka majivu kama ishara ya toba na majuto.(Esta 4:1-3,Mathayo 11:21,Luka 10:13,YeremiaMm sibishan njoo hapa na maandiko unioneshe maagizo ya kujipaka majivu
Nami nitakupa historia hadi papa aliyeanzisha huo upagani na aliutoa wapi
Maana ushadanganywa , kuabudu Masanamu, kusali rozali, kuasi amri za Mungu ,umeaminishwa ndio ukristo
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa Wasabato maana Wasabato siyo Wakristo..Sema wakristo wakatoliki. Sio wakristo wote maana kuna wasabato nadhani haya mambo wala hawayajui, kuna walokole, kuna mashahidi wa yehova, mormons nk. Usipende kauli jumlishi, ni dalili za ujinga.
Sio Wakristo..
Kusoma biblia ni jambo moja na kuielewa ni jambo la pili. Biblia imeandikwa kwa roho, katoliki siyo kanisa la kiroho.Kwani unatumia Biblia gani isiyo na Kitabu cha Yeremia 6:26, Acha kumeza mafunzo ya Lesson tumia Biblia mkuu
Sasa kama ulikuwa hujui kuwa habari za Majivu na Magunia zipo kwenye bibilia huoni kuwa haupo Kiroho? Majivu ni alama ya Nje ya TobaKusoma biblia ni jambo moja na kuielewa ni jambo la pili. Biblia imeandikwa kwa roho, katoliki siyo kanisa la kiroho.
Hivyo ni vigumu kuielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakristo wa Kwanza ndio Hao Wakatoliki...wakristo wa kwanza walitumia kupakana majivu katika kitabu cha nani kwenye Biblia
Sijakuelewa...!! Hebu fafanua..Kusoma biblia ni jambo moja na kuielewa ni jambo la pili. Biblia imeandikwa kwa roho, katoliki siyo kanisa la kiroho.
Hivyo ni vigumu kuielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwanza ni kabla ya kristo au baada?Wakristo wa Kwanza ndio Hao Wakatoliki...
Kwahiyo Mungu ni wakatoriki? Nipe kitabu na ayaSijakuelewa...!! Hebu fafanua..
Halafu nikuambie kitu kimoja....
Biblia hii unayoiona iwe ya 66 books, 83 books(orthodox) au ya 72 books(catholics) ni Mali ya Kanisa Katoliki..
Kanisa Katoliki ndio iliyotupa/ipa dunia Biblia....Biblia ni Mali ya Kanisa Katoliki
Full Stop and Long Break
AiseeeeSi nyie huwa mnalipinga agano la kale lakini mnadai lilikuwa kwa ajili ya waisraeli leo kwenye majivu mnalikubali ha ha hebu leta aya kwenye agano jipya watu wanajipaka majivu, na kwanini hamvai magunia leo na kujipaka majivu mwili mzima mnapaka usoni tu? Pakeni mwili mzima acheni usharo nyie
Kanisa Katoliki lilianzishwa na Kristo mwenyewe kule Yerusalem mwaka 33AD
Jibu swaliKanisa Katoliki lilianzishwa na Kristo mwenyewe kule Yerusalem mwaka 33AD
Hahahahaha.....Mungu ni Wa Wote....Ila Kanisa ni la Kristo....Kanisa Katoliki ni la Yesu Kristo peke yake....
Wacha hizo wewe.....Usitake nushinde na wewe hapa....Halafu kuwa na adabu
Huko kwenye boldKwanini ifuatwe Amri za kabisa badala ya Amri za mungu?
Amri za kabisa chanzo chake ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kuna kitu unakitafus....majibu si yameshatolewa kuonesha why Jamatano...?
Kwahiyo wakristo wakatoliki siyo wakristo? Aliyejibu anajua mwuuliza swali ataelewa kuwa anaongelea wakatoliki ktk jibu lake kwasbabu hiyo ndiyo hoja ya mwuuliza swali. Sasa wewe una washwa washwa ili mradi tu utuonyeshe wasomaji wako kuwa unayajua madhehebu mbalimbali ya Kikristo!Sema wakristo wakatoliki. Sio wakristo wote maana kuna wasabato nadhani haya mambo wala hawayajui, kuna walokole, kuna mashahidi wa yehova, mormons nk. Usipende kauli jumlishi, ni dalili za ujinga.
Wanadamu nani ametupa haya mamlaka ya kuhukumu imani za watu???jumatano ya majivu asili yake ni imani za kale za kipagani, iliingizwa katika taratibu za kanisa katoliki mwaka 325 AD, hii ni moja ha mapokeo mengi ya kanisa la roma ambayo hayana uhusiano wowote na kanisa la kwanza wala hayapo kwenye bibilia kama muongozo wa imani ya kikristo, Kanisa katoliki linatumia muongozo tofauti kabisa na bibilia ndo maana huwa nasema kanisa katoliki sio imani ya kikristo japo wanadanganya kwa kuweka katika nyumba zao za ibada picha na masanamu ya mtu wanaedai ni kristo ambae kiuhalisia sie kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu kufunga ni siku nzima kwa x 40 au ni masaa tu?Shukrani sana mkuu
Zile ibada za kutoa watoto sadaka?lakini mkuu unaonaje tuishi kwa mila na desturi za Kiafrika itaondoa hii kupigania imani au dini za watu nchi zingine