Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Sijawahi ona usanii kama wa Startimes.

Channel kifurushi cha uhuru Tshs 18,000 World Football na Sports nyingine kwangu siku hizi hazionyeshi na nimelipia.
Na matangazo yenu mnajigamba kuwa zinaonekana kwa bei hiyo. Sasa nina kama mwezi na zaidi nilkuwa naangalia mmetoa.

Wametoa channels kama:
1. Nat Geo Wild
2. Clouds Tv
3. Fox Sports na nyinginezo kama 4 sizioni.

Sasa mateso ya nini? Mwezi huu nahamia Multichoice (DStv) au Azam Tv
Star movie Nayo wametoa mkuu
 
Sijawahi ona usanii kama wa Startimes.

Channel kifurushi cha uhuru Tshs 18,000 World Football na Sports nyingine kwangu siku hizi hazionyeshi na nimelipia.
Na matangazo yenu mnajigamba kuwa zinaonekana kwa bei hiyo. Sasa nina kama mwezi na zaidi nilkuwa naangalia mmetoa.

Wametoa channels kama:
1. Nat Geo Wild
2. Clouds Tv
3. Fox Sports na nyinginezo kama 4 sizioni.

Sasa mateso ya nini? Mwezi huu nahamia Multichoice (DStv) au Azam Tv
UMELIPA KWA MKONO WAKO KELELE UTUPIGIE SISI UNGEAHIMIA KIMYA KIMYA WANGEKURUDISHIA HIZO PESA??
MAMBO MENGINE YA NYUMBAN MWENU YAVUMILIENI TU KAMA KUNA UDHAIFU

UMENSHTUA KAMA BADO UNATUMIA HIKO KISTAR....POLE LKN
 
Mimi channels kama Aljazeera, Ze Cinema, TVC news, Star Rise, ST baby ,hazitoi sauti. Nilitembelea ofisi zao kuuliza hawakuwa na majibu ila wakawasiliana na makao makuu wakadai eti wameboresha tech ya urushaji wa matangazo kwa hiyo ving'amuzi vya zamani ndio maana baadhi ya channel zinasumbua kutoa sauti.
Suluhisho; Eti ninunue kinga'amuzi cha kisasa zaidi ndio zitatoa sauti.
Sasa maswali ni haya;
1. Hicho kinga'muzi nilitengeneza mimi?
2. Kwa nini wasitoe taarifa kuwa wenye ving'amuzi aina fulani wanapaswa ku update ili wapate huduma nzuri?
3.Je hizo gharama za ku upadate ziwe za mteja wakati ving'amuzi ni vya kwao?
Walichonichefua zaid ni kuondoa channelsle zenye akili kama Nat Geo Wild, Nat Geo Explorer, Fox Movies, na Fox News na kutuachia matakataka. Yaani sina hamu na Startimes.
Mkuu, tuwahame tu hamna namna
 
UMELIPA KWA MKONO WAKO KELELE UTUPIGIE SISI UNGEAHIMIA KIMYA KIMYA WANGEKURUDISHIA HIZO PESA??
MAMBO MENGINE YA NYUMBAN MWENU YAVUMILIENI TU KAMA KUNA UDHAIFU

UMENSHTUA KAMA BADO UNATUMIA HIKO KISTAR....POLE LKN
Sio kila mada uchangie...
Huwezi nipangia cha kuandika, nimelipa nikihitaji huduma yao. Sasa kama hawanipi msaada lazima jamii ijue na wao najua agents wao wapo hata humu.
Warekebishe...
 
Nimeona Azam wameongeza ESPN kwenye kifurishi cha tsh 18,000/-, hilo ni pigo kubwa kwa Startimes.

Vv
 
Back
Top Bottom