mimi nipo morogoro mjini,channel zenu za music kama vile channel 5, MTV Base na One music mziki wake hauna sterio,upo mono sana,unasikia besi tu ,mchicha husikii kabisa,nimejaribu kwenda kwenye 'audio settings' na kuweka option ya sterio hakuna kitu,wakati channel za habari kama BBC zina sterio,mnanisaidiaje mimi mpenzi wa mziki manake sipati kabisa ladha kamili ya mziki
Kitu kingine,huu ni kama ushauri tu,kiukweli mpo kizamani sana yaani kama enzi za analogia vile,unakuta mtu ukiingia katika mtandao wenu unategemea utapata taarifa fulani kuhusu vifurushi vyenu,hizipati,mfano ukitaka kujua channel zenu zilizopo ktk kila kifurushi ili ulipie hupati popote pale,n.k,badilikeni wandugu,muwe mnaweka taarifa zenu zote ktk tovuti yenu na mtu amalizie shida zake huko huko sio hadi nije huku tuanze kuclick 'keyboards'
La mwisho kabisa,naomba unitajie channel zinazopatikana katika kifurushi cha 'NYOTA' manake kila nikiingia katika mtandao wenu hakuna taarifa zozote za channel za kwenye vifurushi vyenu