Mgweno Hamisi
Member
- Sep 1, 2016
- 57
- 42
Naomba kupata fundi wa kufunga dish za startimes aliyeko buyuni chanika.
0787101726
0787101726
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezipiga pangaHivi nyinyi wahuni itv na eatv mmezipeleka wapi mbona hazipo hata nikizitafuta sizipati
Sasa kama serikali haing'ati!???..Kweli kabisa. Wameanza kujiweka juu ya sheria, eeh? Serikali inatoa maagizo wao wanafanya watakavyo? Jeuri hii wanaipata wapi?
Ndiyoo, Walipiga simu.Jana nimepigiwa simu na mtoa huduma nimeambiwa mnawapigia wateja wenu wote,eti mnataka kufanya maboresho??
Mtoa huduma,,,,,,,,,Habari naongea na warda.....,unaongea na mtoa huduma statimes hapa,
Mie,,,,,,habari ni njema kabisa,sijui wewe vipi kazi??
Mtoa huduma,,,,,,,,,vipi warda tokea ujiunge na statimes kuna tatizo lolote dear???
Mie,,,,,,,,hapana
Mtoa huduma,,,,,,,ni mwi#ho lini umelipia kifurushi???
Mie,,,,,,,,,,,tokea tarehe 27 mwezi wa tano na kuishia mwezi wa sita,
Mtoa huduma,,,,,,,sasa tunataka kufanya maboresho hivyo unatakiwa ulipie,usipolipoa unaweza pata shida,,,maboresho yatakuwa ni wiki ijayo,
Mie,,,,,,,,poa, nitalipia,
Mtoa huduma,,,,,,,,sawa,utalipia lini?
Mie,,,,,,,,ata leo jioni naweza kulipia,
Mtoa huduma,,,,,,,,,sawa ngoja nikiweke kwenye orodha ya watakaolipia leo,
Mie,,,,,,,,,,poa,
Mtoa huduma,,,,,,,,,,,sawa usikose kulipia,
Mie,,,,,,,,,,,,,poa.
Sasa watumiaji wenzangu mmepigiwa????
Au ndio njia ya kulazimishana kulipia????
Hawa [emoji93] times n wa kuwakimbia hawana umhimu tenaPole,,mie zipo na sijalipia
Mwenyew nawahama soonHawa [emoji93] times n wa kuwakimbia hawana umhimu tena
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Tunaomba mtuwekee radio za kibongo, hiyo tbc fm pekee haitoshi.Habari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
[emoji23][emoji23][emoji23]kum@m@ke yani saiv nikuangali wanyama tu ila nyie jamaa mnazingua sana
Kwa sababu hazipo[emoji23]KWA NINI HAKUNA ZBC NA ZBC2