Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Jana nimepigiwa simu na mtoa huduma nimeambiwa mnawapigia wateja wenu wote,eti mnataka kufanya maboresho??

Mtoa huduma,,,,,,,,,Habari naongea na warda.....,unaongea na mtoa huduma statimes hapa,


Mie,,,,,,habari ni njema kabisa,sijui wewe vipi kazi??


Mtoa huduma,,,,,,,,,vipi warda tokea ujiunge na statimes kuna tatizo lolote dear???

Mie,,,,,,,,hapana


Mtoa huduma,,,,,,,ni mwi#ho lini umelipia kifurushi???


Mie,,,,,,,,,,,tokea tarehe 27 mwezi wa tano na kuishia mwezi wa sita,


Mtoa huduma,,,,,,,sasa tunataka kufanya maboresho hivyo unatakiwa ulipie,usipolipoa unaweza pata shida,,,maboresho yatakuwa ni wiki ijayo,


Mie,,,,,,,,poa, nitalipia,


Mtoa huduma,,,,,,,,sawa,utalipia lini?


Mie,,,,,,,,ata leo jioni naweza kulipia,



Mtoa huduma,,,,,,,,,sawa ngoja nikiweke kwenye orodha ya watakaolipia leo,


Mie,,,,,,,,,,poa,



Mtoa huduma,,,,,,,,,,,sawa usikose kulipia,



Mie,,,,,,,,,,,,,poa.




Sasa watumiaji wenzangu mmepigiwa????


Au ndio njia ya kulazimishana kulipia????
 
Viongozi wa ccm turudishieni analog frequency channels. Digital iwe choice maana tunalipishwa hadi local channel. Mungu anawaona na vizazi vyenu vyote. Amen.v
 
Jana nimepigiwa simu na mtoa huduma nimeambiwa mnawapigia wateja wenu wote,eti mnataka kufanya maboresho??

Mtoa huduma,,,,,,,,,Habari naongea na warda.....,unaongea na mtoa huduma statimes hapa,


Mie,,,,,,habari ni njema kabisa,sijui wewe vipi kazi??


Mtoa huduma,,,,,,,,,vipi warda tokea ujiunge na statimes kuna tatizo lolote dear???

Mie,,,,,,,,hapana


Mtoa huduma,,,,,,,ni mwi#ho lini umelipia kifurushi???


Mie,,,,,,,,,,,tokea tarehe 27 mwezi wa tano na kuishia mwezi wa sita,


Mtoa huduma,,,,,,,sasa tunataka kufanya maboresho hivyo unatakiwa ulipie,usipolipoa unaweza pata shida,,,maboresho yatakuwa ni wiki ijayo,


Mie,,,,,,,,poa, nitalipia,


Mtoa huduma,,,,,,,,sawa,utalipia lini?


Mie,,,,,,,,ata leo jioni naweza kulipia,



Mtoa huduma,,,,,,,,,sawa ngoja nikiweke kwenye orodha ya watakaolipia leo,


Mie,,,,,,,,,,poa,



Mtoa huduma,,,,,,,,,,,sawa usikose kulipia,



Mie,,,,,,,,,,,,,poa.




Sasa watumiaji wenzangu mmepigiwa????


Au ndio njia ya kulazimishana kulipia????
Ndiyoo, Walipiga simu.
 
Mnaotaka kuhama star times mtakuja kuwakumbuka world cup ikifika, kwani ukiondoa DSTV kampuñi inayofuata kwa kuonyesha michuano mingi Tanzania na kwa bei Rahisi ni Star times, Bundesliga, laliga, Euro, world cup European qualify, Asia qualify, copa italia, Michuano yote mikubwa inayosimamiwa na caf World cup nk na pia nasikia wako njiani kuonyesha ligi ya Brazil mimi huniambii kitu kuhusu hawa jamaa
 
Toka saa 10:00 jioni nimelipia hakuna chanel,,,,huduma kwa wateja wanamajibu mepeesi na hamna muda wa kumsikiliza mteja,,,,Hamko peke enu mmekuja toa huduma au kusumbua wateja?
JPEG_20220812_190608_2690259482750395214.jpg
 

Attachments

  • JPEG_20220812_190107_9151151879247281356.jpg
    JPEG_20220812_190107_9151151879247281356.jpg
    35.8 KB · Views: 30
Habari zenu wanaJamiiForums

Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Tunaomba mtuwekee radio za kibongo, hiyo tbc fm pekee haitoshi.
 
hawa startimes wameona kila mtu ni wa kufuatilia season za kihind
 
Back
Top Bottom