pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kwani kulikuwa na tetemeko la ardhi Dodoma? [emoji1] Hayo mafaili sasa hapo mezani jombaa, hadi na printer? [emoji1] Imefanana sana na ofisi ya Josephat Ole Saidimu, Hedimasta, Olooyangalani Mixed, Day & Boarding Secondary School. π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Office ya meko ya Dar hamuijui?
Uzi tayari! We fikiria umefika kwa ofisi kama hiyo, kwenye shughuli zako za kibiashara, kufanya dili la mamilioni(ya KES). Alafu ukiingia ndani unapata ni kama kulikuwa na uvamizi wa panya buku. [emoji1] Nakuhakikishia kwamba 'haiwesmake'.Tayari uzi,
Eti gharama? Mpangilio simpo tu wa vitu ofisini, kama 'filling' na majukumu madogo madogo ya secretary ndio unasema ni gharama?huyu mwamba atawanyoosha kende[emoji38][emoji38][emoji38].
sijui ni kipi kinakufanya wewe mwananchi wa kawaida kufurahia ofisi ya gharama ya uma???
mpangilio wa kazi gani wewe!!!hiyo sio ofisi ya kupigia picha,kwanza ni ofisi temporally ya ikulu nyingine ikijengwa.Eti gharama? Mpangilio simpo tu wa vitu ofisini, kama 'filling' na majukumu madogo madogo ya secretary ndio unasema ni gharama?
[emoji1][emoji1][emoji1] Sasa mbona mzee amepigia picha hapo ofisini? Kwahivyo anajengewa nyingine ambayo sio ya gharama? Badala ya kubana matumizi na kufanyia kazi yake chini ya miti au hata kwenye balcony?mpangilio wa kazi gani wewe!!!hiyo sio ofisi ya kupigia picha,kwanza ni ofisi temporally ya ikulu nyingine ikijengwa.
ndio maana nawaambia msiwe mnamaliza maneno.[emoji1][emoji1][emoji1] Sasa mbona mzee amepigia picha hapo ofisini? Kwahivyo anajengewa nyingine ambayo sio ya gharama? Badala ya kubana matumizi na kufanyia kazi yake chini ya miti au hata kwenye balcony?
These guys are so obsessed with Tz,i dont know why,hadi nawahurumia aiseeeTayari uzi,
πππ
Rais wetu hafanyi biashara! Hayo mafaili ni ya wahusika waliotakiwa kuchujwa kupata mawaziri 21 na manaibu 21.Uzi tayari! We fikiria umefika kwa ofisi kama hiyo, kwenye shughuli zako za kibiashara, kufanya dili la mamilioni(ya KES). Alafu ukiingia ndani unapata ni kama kulikuwa na uvamizi wa panya buku. [emoji1] Nakuhakikishia kwamba 'haiwesmake'.