State of the highest office; The Office of The President

State of the highest office; The Office of The President

Halafu watu wa akili yako ndio washauri wakuu wa serikali yenu!!!! You don't expect much from such a government! You seem you and your government are allergic to criticism hence your resorting to insults and coercion!!.
Kama ofisi ipo hivyo unategemea nini kutoka kwa wafuasi wa mwenye ofisi? Akili zao zipo kama hiyo desk hapo yenye mafaili yanayofanana na chapati za juzi.
 
Ume

Umeongea uongo eti shule za tz Zina ofisi za dharura za rais na pm khaaaa acha utapeli aisee.
Kwani uko ulipo ni kijijini kiasi gani hadi mnakosa hata ofisi ya raisi kwenye shule hata moja ya serikaki? Embu nenda uhuru mchanganyiko kko, Mugabe sinza kajitoe ushamba. Alafu cku nyingine ukiwa hauna uhakika n kitu nyamaza, itifaki imezingatiwa.
 
Offisi ya Rais Ipo Mahala popote anapotua.. Hata akisimama barabarani akae kijiweni hiyo ni offisi Rasmi..Anaweza agiza mafaili yote yaje hapo
Safi sana na hapo ameagiza kwamba mafaili yake yote yaje kwenye kijiwe chake cha Chamwino. Nimekuelewa. 😎
 
Back
Top Bottom