Status za RIP Pele

Status za RIP Pele

Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.

Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.

Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?

Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?

Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?

Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Fanya upendalo ambalo halivinji haki ya mwingine

Wewe mshamba flani ambaye unataka watu waishi utakavyo zama hizi sio kweli
 
Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.

Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.

Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?

Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?

Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?

Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Acha makasiriko....

Unauliza nani ataona status...?

Mbona wewe umeiona au wengine hawana macho.

Lengo ni kupashana habari....

Mtu amezaliwa 2002, akaanza kusikia habari za Pele na akavutiwa nazo.

Now amesikia pele ame R.I.P.....
Siyo mbaya akimpost .


KWANZA SIO DHAMBI.
 
Screenshot_2022-12-30-05-06-40-025_com.android.chrome~2.jpg
 
Acha makasiriko....

Unauliza nani ataona status...?

Mbona wewe umeiona au wengine hawana macho.

Lengo ni kupashana habari....

Mtu amezaliwa 2002, akaanza kusikia habari za Pele na akavutiwa nazo.

Now amesikia pele ame R.I.P.....
Siyo mbaya akimpost .


KWANZA SIO DHAMBI.
yeah,
Kwa wapenda soka, Pele alikuwa nguli na pengine atabaki kuwa nguli kwa maiaka mingi mbeleni. Tunamshukuru Mungu kwa mchango wake hapa duniani.
 

Lakini bro si uko shopping ya nguo.. why this wanaume View attachment 1271687


Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.

Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.

Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?

Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?

Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?

Nifunzeni wanajamii tafadhali.

Nashangaaa ,najiulizaa ni ulimbukenii ama ni nini hivi ukiwa na huzuni kupita kiasi utaweka hata status,mtu huyo ukimwuliza tu pele ana wastani wa goal ngapi kwa match moja hana jibu ila anataka kuonekana anajua vitu

Daaah apumzike kwa amani

Utoto na ujinga mwingi

Neno kufuata mkumbo limewafaa hao

Neno R.I.P kwa jamii nyingi za Afrika hasa watanzania limekuwa kama Fashion.

Wengi hupost kama fashion wala si kwa nia ya kusikitika


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Ni ulimbukeni tu

Nina status 500+ hapa naona vipicha vya Pele na sija view hata moja maaanina
Screenshot_2022-12-30-05-06-40-025_com.android.chrome~2.jpg

Rest in Peace With Pele
 
Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.

Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.

Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?

Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?

Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?

Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Kwani kuna tatizo gani hata wakiweka? Hekima yako ikuongoze kuheshimu maamuzi ya wengine pia,kwakuwa wewe hayakuathiri moja kwa moja kwa maisha yako.
 
Halafu mtu anakutext anauliza "et pele amekufa"..me nawajibu peles wa mama mwanjoka bado yupo mtaani...
 
Bando lao, simu zao, maumivu yao. Mbona watu walikua wanaangalia kombe la dunia wakati nchi yao hata haijawahi kuwaza kuwa ipo siku hivi karibuni itachezea hilo kombe😂 na argentina iliposhinda mlipost nani anaona?

Na wengine walimpost malkia Elizabeth utasema shangazi yao. Malkia alikua ana msaada gani kwao? So kila mtu aishi na ushamba wake bila kubugudhiwa. Mtu akikutumia rip pele inbox kwako ndo uje utuambie😅
 
Fanya upendalo ambalo halivinji haki ya mwingine

Wewe mshamba flani ambaye unataka watu waishi utakavyo zama hizi sio kweli

Yan hapa tu ushajua ninachotaka na kuwa mi ni mshamba?.
Dah!.
 
Acha makasiriko....

Unauliza nani ataona status...?

Mbona wewe umeiona au wengine hawana macho.

Lengo ni kupashana habari....

Mtu amezaliwa 2002, akaanza kusikia habari za Pele na akavutiwa nazo.

Now amesikia pele ame R.I.P.....
Siyo mbaya akimpost .


KWANZA SIO DHAMBI.

Hoja hujapo si lazima ijadiliwe kwa kuwekiana majina, hoja sio personal.
Sijasema nani bora ya mwingine.
Nimeuliza maswali kulingana na kinachoendelea.
 
A prayer is way better than a post in a timeline
-Kendrick lamar Mr Morale & the big steppers
 
Hoja hujapo si lazima ijadiliwe kwa kuwekiana majina, hoja sio personal.
Sijasema nani bora ya mwingine.
Nimeuliza maswali kulingana na kinachoendelea.
Sasa mkuu simu ni zao,acaunt ni zao, bando ni zao sasa kinacho kuuma ni nn?

Wanacho fanya wanamuenzi kwa alicho kifanya hapa duniani sasa tatizo liko wapi?

Hivi watz mtaacha lini kujipa mamlaka ya mpangia mtu namna ya kutumia mali zake alizo tumia nguvu zake kuzitafuta?
 
Nashangaaa ,najiulizaa ni ulimbukenii ama ni nini hivi ukiwa na huzuni kupita kiasi utaweka hata status,mtu huyo ukimwuliza tu pele ana wastani wa goal ngapi kwa match moja hana jibu ila anataka kuonekana anajua vitu

Daaah apumzike kwa amani
Wivu tu huo mwanae wa kumzaa wa kike nae kapost mtandaoni kamuulize huyo kwanza
 
Back
Top Bottom