Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Chai
Nina status 500+ hapa naona vipicha vya Pele na sija view hata moja maaanina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina status 500+ hapa naona vipicha vya Pele na sija view hata moja maaanina
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Pole kwa msiba
Mnaanza kuwapangia watu matumizi ya simu zào? Wewe status ya Malaya wako unayoweka inatusaidia nini Sisi? Kuna Marehemu huwa anajua kuwa kawekwa status huku duniani yeye akiwa ahera? Simba na Prison wamesimama dakika moja kumkumbuka Pele, ina maana Pele alikuwa anamjua John Boko?Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.
Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.
Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?
Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?
Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?
Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Kuna mijitu mifala nchi hii sijawahi kuona. Yaani Mimi nikiweka hata picha ya Kuku yeye inamuuma nini. Yaani hata Marais na watu mashuhuri wote waliompost Pele yeye anawaona washamba wakati anaishi Kwa shemiji yake Kibada?Watu mna wivu hata na wafu? Kwahiyo roho imekuuma ulitamani uwekwe wewe?
Iwe trend iwe ushamba. Kila mtu anakienzi kile alichokipenda, watu walimuweka Queen Elizabeth. Itakuwa Pele aliyetuburudisha kwenye mpira.
R. I. P mchawi wa mpira duniani Pele...
G.O.A.T
Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.
Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.
Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?
Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?
Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?
Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Sikuveshi bablai, nilikuwa nakiwasha vizuri tu, hata leo nikiingia uwanjani mambo bado yamo kwa leg.Tupaki umecheza mpira wapi babu ? Unatuvesha tuu🤣
Naendelea fresh, namshukuru Mungu ndugu yangu.
Hakika mungu yu mwema..Naendelea fresh, namshukuru Mungu ndugu yangu.
Vipi wewe mzee?
Pamoja kakaHakika mungu yu mwema..
Niko Fresh sana mzee!
Amani tele mzee wangu..Pamoja kaka
Shukrani kaka, na kwako pia.Amani tele mzee wangu..
I wish you a happy new year in advance brother!
Barikiwa sana kaka!Shukrani kaka, na kwako pia.
Nashangaaa ,najiulizaa ni ulimbukenii ama ni nini hivi ukiwa na huzuni kupita kiasi utaweka hata status,mtu huyo ukimwuliza tu pele ana wastani wa goal ngapi kwa match moja hana jibu ila anataka kuonekana anajua vitu
Daaah apumzike kwa amani
Nyie mnaoshangaa hao wanaoweka status (mwanandinga Pele) ndo waajabu. Hivi unawashwa nini na ushamba wa mtu mwingine, kwanza hujachangia bando lake, humjui na hata kama unamjua kwa nini uingilie starehe yake?
Vitu unavyoona ni muhimu kwako kwa wangine wanaviona ni upuuzi mtupu pia na hata hawaviangalii.Ndivyo Dunia ilivyo.Kama mimi ndio sina time nae.. niache kuweka status vitu muhimu na faida kwa wengine eti niweke status zake na R.I.P,
Wapuuzi Sana mtu hujawai kumuona akizakata mpiraUlimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.
Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.
Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?
Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?
Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?
Nifunzeni wanajamii tafadhali.
mpaka ukafikia kutumia muda wako kusoma na kutoa maoni yako basi ujue una time naye in a negative way kiongozi.Kama mimi ndio sina time nae.. niache kuweka status vitu muhimu na faida kwa wengine eti niweke status zake na R.I.P,
mpaka ukafikia kutumia muda wako kusoma na kutoa maoni yako basi ujue una time naye in a negative way kiongozi.
Wapuuzi Sana mtu hujawai kumuona akizakata mpira
Hpn ila ampumzike kwa amani tuko nyuma tu Ni swala Muda tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app