Status za RIP Pele

Status za RIP Pele

Vitu unavyoona ni muhimu kwako kwa wangine wanaviona ni upuuzi mtupu pia na hata hawaviangalii.Ndivyo Dunia ilivyo.

Eti R.I.P πŸ˜…

πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ’ͺ🏽
 
Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.

Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.

Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?

Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?

Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?

Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Wewe utakuwa Shabiki wa Messi.

Huyu ndio PELE. Aliyefungulia watu dunia kwenye football.
 
Wanaomkubali pele hawajamshuhudia LIVE, ukiwauliza watakuambia ana world cup 3πŸ˜…πŸ˜… au nimeona clip zakeπŸ˜…

Messi and Diego Armando ndio wachezaji bora kuwahi kutokea...
kutofautiana ndo dunia yenyewe, wengine wanacheza dhumna, wengine mdumange, wengine table tenes, wengine washabiki wa Pele hata kama hawajawahi kumwona na wengine Amando na wengine tunamshabikia Jella Mtagwa, ilimradi burudani.
 
Back
Top Bottom