Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Vitu unavyoona ni muhimu kwako kwa wangine wanaviona ni upuuzi mtupu pia na hata hawaviangalii.Ndivyo Dunia ilivyo.
Eti R.I.P π
π¦π·π¦π·π¦π·πͺπ½
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu unavyoona ni muhimu kwako kwa wangine wanaviona ni upuuzi mtupu pia na hata hawaviangalii.Ndivyo Dunia ilivyo.
Usiwe siriazi na kila kitu mlamu.
Wewe utakuwa Shabiki wa Messi.Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.
Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.
Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?
Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?
Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?
Nifunzeni wanajamii tafadhali.
kutofautiana ndo dunia yenyewe, wengine wanacheza dhumna, wengine mdumange, wengine table tenes, wengine washabiki wa Pele hata kama hawajawahi kumwona na wengine Amando na wengine tunamshabikia Jella Mtagwa, ilimradi burudani.Wanaomkubali pele hawajamshuhudia LIVE, ukiwauliza watakuambia ana world cup 3π π au nimeona clip zakeπ
Messi and Diego Armando ndio wachezaji bora kuwahi kutokea...
Unamjua? Umemshuhudia?Wewe utakuwa Shabiki wa Messi.
Huyu ndio PELE. Aliyefungulia watu dunia kwenye football.