Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kinaitwa PSYCHOLOGICAL SOCIAL PROOF mfano wake ndio kama huo unavyosema yaani watu wanapost tu wanaenda na beat ila hawaelewi nini wanafanya kwa mfano umetokea msiba wa ndugu wa karibu au rafiki wa karibu wewe ukaamua kumpigia simu wahusika na kuwapa pole ila usipost kwenye mitandao basi yule atakayepost ataonekana wa maana kwa jamii kuliko ww na pengine watu watasema mlikuwa hampatani kwasababu tu hujapost hivyo hivyo ndio hutokea kwenye birthday party na siku za ibada ikifika ijumaa mtu anaandika aljumaa Kareem lakini msikitini haendi mwingine ikifika juma pili anapost kwaya ila haendi kanisani hiyo ndio dunia ilipofikia kwa sasa.Ulimwengu wa Soka umefikwa na msiba mkubwa sana wa Mwanasoka ambaye amekubalika kuwa bora aliyewahi kutokea duniani Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele.
Waswahili wengi wamekuwa wakiweka picha kwenye status zao za whatsapp na maneno kama RIP King na majina mengine mazuri.
Swali ni je, nani anaona hizo status? Lengo ni nini?
Ama ni trend ambayo usipofanya utaonekana mshamba na uliyenyuma ya mambo?
Ni kweli ulimjua Pele kiasi cha kumuweka kwenye status zako?
Nifunzeni wanajamii tafadhali.
Cycle yake inaonesha yeye ni mtu wa aina gani.Una phone book ya watu wa hovyo wengi sana, 500!!!
You're right. But doing both is way better than thatA prayer is way better than a post in a timeline
-Kendrick lamar Mr Morale & the big steppers
Sampuli ya watu kama nyie nitaitumia kufanya research titled" Kwa nini Mungu aliruhusu kuzaliwa binadamu anayefurahia kunya na binadamu anayefurahia tobo la kutolea mavi."ni ushamba tu unaofanywa na washamba ambao wanahisi wakifanya hawatoonekanwa washamba.
"Always gonna be a big house somewhere, long as people in that mf love you dearly"Kuna kitu kinaitwa PSYCHOLOGICAL SOCIAL PROOF mfano wake ndio kama huo unavyosema yaani watu wanapost tu wanaenda na beat ila hawaelewi nini wanafanya kwa mfano umetokea msiba wa ndugu wa karibu au rafiki wa karibu wewe ukaamua kumpigia simu wahusika na kuwapa pole ila usipost kwenye mitandao basi yule atakayepost ataonekana wa maana kwa jamii kuliko ww na pengine watu watasema mlikuwa hampatani kwasababu tu hujapost hivyo hivyo ndio hutokea kwenye birthday party na siku za ibada ikifika ijumaa mtu anaandika aljumaa Kareem lakini msikitini haendi mwingine ikifika juma pili anapost kwaya ila haendi kanisani hiyo ndio dunia ilipofikia kwa sasa.
You must know most (99.999%) don't do the latter.You're right. But doing both is way better than that
Yeah, only the closest ones to the deceased. Most of us do the social media hypocrisy.You must know most (99.999%) don't do the latter.
Now if so, then is it fair when you see all your friends who never met Pele post on their statuses "RIP pele, We will miss you" i??Yeah, only the closest ones to the deceased. Most of us do the social media hypocrisy.
That depends on how everyone's posting the #RIP statuses affected by the such news.Now if so, then is it fair when you see all your friends who never met Pele post on their statuses "RIP pele, We will miss you" i??