Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri

Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri

Status Nafurahia nikikuta memes
FB_IMG_16530246019158795.jpg
 
Nipo serious mkuu, sijawahi kuangalia status yoyote Ile maana Nilikua sijui hata inapatikana vipi.Ingawa Nasikiaga watu wakisema khs mambo ya status,Mimi nilikua najua Status Ni Profile Pic mkuu.
Safi mkuu

Kuna formula tulikuwa tunaita Myob utaskia ngoja ni apply Myob

Yaani Mind My Own Business

Sasa wewe ndio huyu Myob
 
WhatsApp status imeingiliwa na wafanyabiashara tunakoma[emoji1373][emoji24] kuna dogo mmoja alikua anapost status msipo view anawashushia Kwenye namba yako haha nikam mute& archive fasta anapambana na hali yake huko!!!
 
WhatsApp inaboa nowadays imekua kama FB/Meta bora telegram atleast! Nipo kama sipo nimeziarchive namba kibao nimeacha muhimu tu!
 
Huko wanapost wambea tu. Mtu ana kijembe wamegombana ndio anarusha huko. Wife tukitibuana tu anarusha kidude cha maneno huko. Anakuta kimya sijaipitia
 
Back
Top Bottom