UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 792
- 2,609
Unafuatilia hadi muda ninaotumia kutype ?Sifuti na ww acha shobo zako usikurupukie watu usiowajua vizuri. Unaandika utumbo tuu... nina kiherehere nimekuandikia ww ukisome?.mm na ww nani mwenye kiherehere. Yani muda wote kumbe ndo ulikua unatype huu utumbo hapa.
Nakazia.Pole kwa wafiwa.
Kuna member mmoja niliona kaanzisha thread iliyoandikwa majina yote ya waliokufa sikuhiyoTungejua jina lake member mwenzetu jamani ukute ni ndugu na jamaa tuliowazika wengine majirani zetu.
Yah niliona bestyKuna member mmoja niliona kaanzisha thread iliyoandikwa majina yote ya waliokufa sikuhiyo
Ok Ni jina zuri piaNikifa mtajua
Umeambiwa hajafa
Apumzike Kwa Amani,
Bwana Ametoa Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe
Amen