Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma ni kama airport za mbele, Rais Magufuli afanya kweli

Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani?
Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Mawakala wa Chadema mna kazi sana. Upinzani umeshindwa kuwaunganisha Watanzania wawe kitu kimoja ili kurahisisha ushindi kwenye chaguzi badala yake mnawatukana walio na itikadi tofauti na nyie kwamba ni mazezeta, unategemea kuvuna kitu gani kama wengi na usiowataka ni mazezeta?
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia

Millard Ayo huko nyuma hakuwa hivi lakini ndio hivyo mambo ya uvunguni sasa yanaibuliwa na chaguzi zinazokuja na wengi tu wataibuka kutoka kusikojulikana
 
Millard Ayo huko nyuma hakuwa hivi lakini ndio hivyo mambo ya uvunguni sasa yanaibuliwa na chaguzi zinazokuja na wengi tu wataibuka kutoka kusikojulikana
Millard mbona kila project mpya huwa anafanya hivi. Unataka kusema kaanza mwaka huu?
 
Stendi nzuri inapendeza,kitu muhimu ni utunzwaji pamoja na service,kitu kikiharibika kitengenezwe na sio kuachwa hivyo hivyo tu,mfano hata kama taa moja itaungua basi ibadilishwe/itengenezwe siku hiyo hiyo,watu wawe wastaarabu kwenye utunzaji wa vitu, kwani hiyo stendi ni mali yao,
KITUNZE KIDUMU.
 
Stendi nzuri inapendeza,kitu muhimu ni utunzwaji pamoja na service,kitu kikiharibika kitengenezwe na sio kuachwa hivyo hivyo tu,mfano hata kama taa moja itaungua basi ibadilishwe/itengenezwe siku hiyo hiyo,watu wawe wastaarabu kwenye utunzaji wa vitu, kwani hiyo stendi ni mali yao,
KITUNZE KIDUMU.
Kaangalie Msamvu. Kaanze na vyoo utajua Watz si watu
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Wajinga wengi wapo CCM, ndiyo maana CCM inashinda vijijini kuliko mjini.
 
Tuache kujidanganya, hii stendi unaweza kuifananisha na airport gani? Kuwa mwana CCM lazima uwe zezeta, kazi yako ni kusifu na kuabudu bila kufanya reasoning ya kile unachokisifu na kukiabudia
Airport zote Tanzania isipokuwa JNIA peke yake zimezidiwa uzuri na mandhari na stendi ya mabasi ya Dodoma. Hata KIA yenyewe inaweza kuwa sawa tu au kuzidiwa na stendi ya Dodoma
 
Ufisadi ukidhibitiwa sawasawa hata Chadema watajenga Ofsi za Chama nchi nzima tena za kisasa kabisa
 
Back
Top Bottom