chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
wewe fly kecha unatakiwa ujue hii nchi ni masikini africa ni masikini pia kwaiyoo hiyoo stand ungefunge macho upite hivi. ila tupa uchafu ndo utajua hujui. happy new yearKwa wiki nzima nikiwa na miche miche Moshi mjini, nikisafiri, kusafirisha watu na kupokea watu fulani fulani ikiwemo watalii kadhaa.
Moshi unaionea TU kaka, njoo Huku dar Kwa Chalamila, njia zote, namaanisha zote zimewekwa kuwa masokoNikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya ajabu, yaani uchafu, ushamba na ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza tena mamlaka za serikali zikisimamia.
Hivi inakuwaje mji wenye sifa ya usafi kuliko miji yote hapa Tanzania na pilikapilika za kitalii kuwa katika hali ile. Kwa sifa za mkoa wa Kilimanjaro na asili ya kipekee ya wenyeji wake (maendeleo na ustaarabu) nisingetegemea kuyakuta haya.
Sote tunajua, kwa mgeni mji huanzia stendi na huishia stendi, na kwa kuwa watu wengi hupenda kujifunza au kutaka kuiga ya Kilimanjaro basi nimeyaweka wazi haya ili kuwananga wahusika yamkini labda watajirekebisha.
Na hapa JF nitachambua kwa kina kila kitu cha kijinga, ushamba, upumbavu na uchafu uliopitiliza nilichokutana nacho pale stendi kuu ya mabasi Moshi mjini(Kilimanjaro).
Kwanza nikiri wazi, japokuwa hii stendi ilijengwa zamani kidogo (zaidi ya miaka 20 iliyopita) tena katikati ya mji wa Moshi lakini ubunifu wake bado unaonekana uko kisasa sana (standard bus stand design) japokuwa matumizi yake bado yako kizamani mnoo kwa Moshi. Na haya ndio kwa haraka haraka niliyoyaona;
1. Hakuna eneo rasmi la abiria kusubiria (Passenger waiting area). Yaani eneo rasmi lililojengwa kusubiria abiria limejazwa meza za ovyo za walanguzi na mawakala wa kukatia tiketi za mabasi, biashara ndogo ndogo, milingoti ya bendera za CCM nk. Yaani pamekaa kitapeli kwa 100%.
2. Hakuna ofisi rasmi hata moja ya makampuni ya mabasi ndani ya stendi. Vyumba vyote vimepangishwa biashara zingine zisizohusiana na usafirishaji. (Baada ya kudodosa sana nikaelezwa fremu karibu zote za chini ndani ya hiyo stendi ni miradi rasmi binafsi ya wakubwa ndani ya Manispaa ya Moshi na baadhi ya vigogo wa CCM mkoa, wamejimilikisha hizo fremu kifisadi na kuwapangisha watu vile wanavyojisikia na ndio kikwazo cha kuzuia kukamilika ujenzi wa stendi mpya maeneo ya Majengo)
3. Stendi imegeuzwa kuwa ni soko rasmi la wamachinga. Kila biashara ya uchuuzi, ulanguzi mdogo mdogo, mama lishe, shoe shine, kupaka rangi kucha, utapeli, udangaji nk unaikuta ndani ya stendi. Yaani ile sio stendi bali ni soko holela.
4. Hakuna sehemu rasmi za kutupia takataka ndogo ndogo za mikononi, ni kama hakuna dustbin kabisa. Takataka unaweza kutupa popote na hakuna yoyote wa kukukataza.
5. Hakuna taa zinazowaka usiku eneo la parking za mabasi, kumebakia magofu ya milingoti ya chuma na mabaki ya taa chakavu zilizokufa.
6. Miundo mbinu ya kudumu imechakaa kupitiliza. Kingo za kuta kuzunguka stendi zimebomoka na kupauka, barabara za ndani zimejaa mashimo balaa. Ni kama mahandaki ya kule Gaza.
7. Eneo lote la stendi limezungukwa na utitiri wa vibanda holela, vya ovyo ovyo ambavyo kila mtu anajiwekea atakavyo.
8. Kwa zaidi ya asilimia 80 ya eneo la stendi kumejaa magari ya Noah, Hiace na Coaster za kwenda maeneo ya karibu karibu ndani ya Kilimanjaro na machache ya Arusha badala ya mabasi ya masafa marefu ndani na nje ya nchi.
9. Stendi imepakana na kuunganika na na dampo dogo la takataka. Yaani kunanuna na taka taka kuzagaa mara kwa mara huku baadhi ya watu wakienda haja ndogo za papo kwa papo.
10. Kuna vyoo vya kulipia vinavyotoa harufu kali kuelekea nje huku utitiri wa biashara zingine (zikiwemo za vyakula) zikizunguka maeneo hayo hayo. Huhitaji kuuliza vyoo viko wapi, harufu ya vyoo inakuelekeza vilipo.
11. Hakuna alama zozote au vibao vyenye kueleza na kuelekeza maeneo mbalimbali (ukiondoa vyooni). Yaani pamekaa kienyeji mnoo, utadhani watu wote ni wenyeji wanaoishi ndani ya stendi hiyo siku zote.
12. Hakuna eneo/ofisi ya maulizo (Customer enquiry). Ukipata shida au changamoto hujui uanzia wapi, uulize wapi, ulalamike wapi au umuulize nani.
13. Mazingira ya kiusalama ni sifuri. Emergency Assemble point hakuna, hakuna ofisi rasmi za polisi (kuna trafiki wanaokaa kaa njia ya kutokea mabasi muda fulani) nk.
14. Hakuna wabeba mizigo rasmi wala toroli rasmi za kubeba mizigo ya wasafiri. Kumejaa mateja na wapiga debe wanaomvamia msafiri yoyote mwenye mizigo na kumbabaisha.
15. Nyakati za usiku mara nyingi stendi hufungwa kabisa. Hivyo mabasi kulazimika kushushia abiria nje ya stendi.
16. Kumejaa kelele za muziki kutoka kwenye maduka, vibanda, baa uchwara na vispika vya matangazo ya biashara. Yaani pako vururu vururu.
17. Sehemu kubwa ya juu ghorofani ni kama haitumiki kabisa, sijui bado inajengwa! Ama imekosa wapangaji? Pamekaa kama gofu la kale.
18. Ndani ya jengo la stendi kuna vibanda umiza kwa ajili ya kuonyesha video, mpira, kuchoma CD, kudanga na kucheza kamari (betting).
19. Kumejaa takataka zilizozagaa balaa. Haijarishi ni muda gani, iwe asubuhi, mchana au usiku, ni machupa ya maji, vifungashio vya plastiki mpaka maganda ya matunda.
20. Parking ya magari binafsi na tax haileweki, kila mara huzaa migongano na mizozo. Hakuna tofauti kati ya tax rasmi, tax bubu na gari binafsi. Eneo la parking za magari lipo lakini utaratibu hauleweki na usalama ni duni. (Japokuwa kuwa kuna eneo rasmi, safi na bora la parking/stendi ya pikipiki).
21. Miundo mbinu ya kunawa mikono imebakia magofu ndani ya stendi, haifanyi kazi na bado ipo ndani ya stendi kama kumbukumbu ya kudumu!. Yaani usafi wa kunawa mikono uliletwa Moshi na Covid na ukafa baada ya covid kufifia.
Kwa leo niishie hapo, ni mengi nimejionea lakini kwa uhakika hayo ndio nimeweza kuandika, kama huamini siku moja pita pale na kushuhudia mwenyewe.
Mimi nitetee kwani nahusika na hiyo stendi? Mi naunga mkono yote uliyosema ila nilikua najaribu kuonyesha changamotoKwamba stendi imejengwa zamani, huo siyo utetezi.
Hao madalali kwani kuna sehemu nchi wanapokesekana?Hayo mambo uliyoyataja yanapatikana kila sehemu sio moshi tu anyway mm kinachonikwaza pale stand ni mtu unajua unapoenda lakini madalali wanavyokuganda kukufuata kama vile umepotea
Wee wa miche miche utakuwa mmakonde, karibu njomba ila usije na nchale huku.Kwa wiki nzima nikiwa na miche miche Moshi mjini, nikisafiri, kusafirisha watu na kupokea watu fulani fulani ikiwemo watalii kadhaa.
Asante sana tutayafanyia kazi mambo haya yote.Nikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya ajabu, yaani uchafu, ushamba na ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza tena mamlaka za serikali zikisimamia.
Hivi inakuwaje mji wenye sifa ya usafi kuliko miji yote hapa Tanzania na pilikapilika za kitalii kuwa katika hali ile. Kwa sifa za mkoa wa Kilimanjaro na asili ya kipekee ya wenyeji wake (maendeleo na ustaarabu) nisingetegemea kuyakuta haya.
Sote tunajua, kwa mgeni mji huanzia stendi na huishia stendi, na kwa kuwa watu wengi hupenda kujifunza au kutaka kuiga ya Kilimanjaro basi nimeyaweka wazi haya ili kuwananga wahusika yamkini labda watajirekebisha.
Na hapa JF nitachambua kwa kina kila kitu cha kijinga, ushamba, upumbavu na uchafu uliopitiliza nilichokutana nacho pale stendi kuu ya mabasi Moshi mjini(Kilimanjaro).
Kwanza nikiri wazi, japokuwa hii stendi ilijengwa zamani kidogo (zaidi ya miaka 20 iliyopita) tena katikati ya mji wa Moshi lakini ubunifu wake bado unaonekana uko kisasa sana (standard bus stand design) japokuwa matumizi yake bado yako kizamani mnoo kwa Moshi. Na haya ndio kwa haraka haraka niliyoyaona;
1. Hakuna eneo rasmi la abiria kusubiria (Passenger waiting area). Yaani eneo rasmi lililojengwa kusubiria abiria limejazwa meza za ovyo za walanguzi na mawakala wa kukatia tiketi za mabasi, biashara ndogo ndogo, milingoti ya bendera za CCM nk. Yaani pamekaa kitapeli kwa 100%.
2. Hakuna ofisi rasmi hata moja ya makampuni ya mabasi ndani ya stendi. Vyumba vyote vimepangishwa biashara zingine zisizohusiana na usafirishaji. (Baada ya kudodosa sana nikaelezwa fremu karibu zote za chini ndani ya hiyo stendi ni miradi rasmi binafsi ya wakubwa ndani ya Manispaa ya Moshi na baadhi ya vigogo wa CCM mkoa, wamejimilikisha hizo fremu kifisadi na kuwapangisha watu vile wanavyojisikia na ndio kikwazo cha kuzuia kukamilika ujenzi wa stendi mpya maeneo ya Majengo)
3. Stendi imegeuzwa kuwa ni soko rasmi la wamachinga. Kila biashara ya uchuuzi, ulanguzi mdogo mdogo, mama lishe, shoe shine, kupaka rangi kucha, utapeli, udangaji nk unaikuta ndani ya stendi. Yaani ile sio stendi bali ni soko holela.
4. Hakuna sehemu rasmi za kutupia takataka ndogo ndogo za mikononi, ni kama hakuna dustbin kabisa. Takataka unaweza kutupa popote na hakuna yoyote wa kukukataza.
5. Hakuna taa zinazowaka usiku eneo la parking za mabasi, kumebakia magofu ya milingoti ya chuma na mabaki ya taa chakavu zilizokufa.
6. Miundo mbinu ya kudumu imechakaa kupitiliza. Kingo za kuta kuzunguka stendi zimebomoka na kupauka, barabara za ndani zimejaa mashimo balaa. Ni kama mahandaki ya kule Gaza.
7. Eneo lote la stendi limezungukwa na utitiri wa vibanda holela, vya ovyo ovyo ambavyo kila mtu anajiwekea atakavyo.
8. Kwa zaidi ya asilimia 80 ya eneo la stendi kumejaa magari ya Noah, Hiace na Coaster za kwenda maeneo ya karibu karibu ndani ya Kilimanjaro na machache ya Arusha badala ya mabasi ya masafa marefu ndani na nje ya nchi.
9. Stendi imepakana na kuunganika na na dampo dogo la takataka. Yaani kunanuna na taka taka kuzagaa mara kwa mara huku baadhi ya watu wakienda haja ndogo za papo kwa papo.
10. Kuna vyoo vya kulipia vinavyotoa harufu kali kuelekea nje huku utitiri wa biashara zingine (zikiwemo za vyakula) zikizunguka maeneo hayo hayo. Huhitaji kuuliza vyoo viko wapi, harufu ya vyoo inakuelekeza vilipo.
11. Hakuna alama zozote au vibao vyenye kueleza na kuelekeza maeneo mbalimbali (ukiondoa vyooni). Yaani pamekaa kienyeji mnoo, utadhani watu wote ni wenyeji wanaoishi ndani ya stendi hiyo siku zote.
12. Hakuna eneo/ofisi ya maulizo (Customer enquiry). Ukipata shida au changamoto hujui uanzia wapi, uulize wapi, ulalamike wapi au umuulize nani.
13. Mazingira ya kiusalama ni sifuri. Emergency Assemble point hakuna, hakuna ofisi rasmi za polisi (kuna trafiki wanaokaa kaa njia ya kutokea mabasi muda fulani) nk.
14. Hakuna wabeba mizigo rasmi wala toroli rasmi za kubeba mizigo ya wasafiri. Kumejaa mateja na wapiga debe wanaomvamia msafiri yoyote mwenye mizigo na kumbabaisha.
15. Nyakati za usiku mara nyingi stendi hufungwa kabisa. Hivyo mabasi kulazimika kushushia abiria nje ya stendi.
16. Kumejaa kelele za muziki kutoka kwenye maduka, vibanda, baa uchwara na vispika vya matangazo ya biashara. Yaani pako vururu vururu.
17. Sehemu kubwa ya juu ghorofani ni kama haitumiki kabisa, sijui bado inajengwa! Ama imekosa wapangaji? Pamekaa kama gofu la kale.
18. Ndani ya jengo la stendi kuna vibanda umiza kwa ajili ya kuonyesha video, mpira, kuchoma CD, kudanga na kucheza kamari (betting).
19. Kumejaa takataka zilizozagaa balaa. Haijarishi ni muda gani, iwe asubuhi, mchana au usiku, ni machupa ya maji, vifungashio vya plastiki mpaka maganda ya matunda.
20. Parking ya magari binafsi na tax haileweki, kila mara huzaa migongano na mizozo. Hakuna tofauti kati ya tax rasmi, tax bubu na gari binafsi. Eneo la parking za magari lipo lakini utaratibu hauleweki na usalama ni duni. (Japokuwa kuwa kuna eneo rasmi, safi na bora la parking/stendi ya pikipiki).
21. Miundo mbinu ya kunawa mikono imebakia magofu ndani ya stendi, haifanyi kazi na bado ipo ndani ya stendi kama kumbukumbu ya kudumu!. Yaani usafi wa kunawa mikono uliletwa Moshi na Covid na ukafa baada ya covid kufifia.
Kwa leo niishie hapo, ni mengi nimejionea lakini kwa uhakika hayo ndio nimeweza kuandika, kama huamini siku moja pita pale na kushuhudia mwenyewe.
Stendi ni ya kishenzi sana ile, nilishawahi kuona katoto ka kichagga kamechuchumaa kanakunya huku raia wakimwangalia tu, naulizia watu mama wa yule mtoto yuko wapi wakasema mama yake anafanya kazi kwenye banda lile lile alilokuwa anakunya mwanawe na hashituki ukimwambia analeta ugomvi na kuuliza unataka mwanangu akanye wapi sasa.Nikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya ajabu, yaani uchafu, ushamba na ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza tena mamlaka za serikali zikisimamia.
Hivi inakuwaje mji wenye sifa ya usafi kuliko miji yote hapa Tanzania na pilikapilika za kitalii kuwa katika hali ile. Kwa sifa za mkoa wa Kilimanjaro na asili ya kipekee ya wenyeji wake (maendeleo na ustaarabu) nisingetegemea kuyakuta haya.
Sote tunajua, kwa mgeni mji huanzia stendi na huishia stendi, na kwa kuwa watu wengi hupenda kujifunza au kutaka kuiga ya Kilimanjaro basi nimeyaweka wazi haya ili kuwananga wahusika yamkini labda watajirekebisha.
Na hapa JF nitachambua kwa kina kila kitu cha kijinga, ushamba, upumbavu na uchafu uliopitiliza nilichokutana nacho pale stendi kuu ya mabasi Moshi mjini(Kilimanjaro).
Kwanza nikiri wazi, japokuwa hii stendi ilijengwa zamani kidogo (zaidi ya miaka 20 iliyopita) tena katikati ya mji wa Moshi lakini ubunifu wake bado unaonekana uko kisasa sana (standard bus stand design) japokuwa matumizi yake bado yako kizamani mnoo kwa Moshi. Na haya ndio kwa haraka haraka niliyoyaona;
1. Hakuna eneo rasmi la abiria kusubiria (Passenger waiting area). Yaani eneo rasmi lililojengwa kusubiria abiria limejazwa meza za ovyo za walanguzi na mawakala wa kukatia tiketi za mabasi, biashara ndogo ndogo, milingoti ya bendera za CCM nk. Yaani pamekaa kitapeli kwa 100%.
2. Hakuna ofisi rasmi hata moja ya makampuni ya mabasi ndani ya stendi. Vyumba vyote vimepangishwa biashara zingine zisizohusiana na usafirishaji. (Baada ya kudodosa sana nikaelezwa fremu karibu zote za chini ndani ya hiyo stendi ni miradi rasmi binafsi ya wakubwa ndani ya Manispaa ya Moshi na baadhi ya vigogo wa CCM mkoa, wamejimilikisha hizo fremu kifisadi na kuwapangisha watu vile wanavyojisikia na ndio kikwazo cha kuzuia kukamilika ujenzi wa stendi mpya maeneo ya Majengo)
3. Stendi imegeuzwa kuwa ni soko rasmi la wamachinga. Kila biashara ya uchuuzi, ulanguzi mdogo mdogo, mama lishe, shoe shine, kupaka rangi kucha, utapeli, udangaji nk unaikuta ndani ya stendi. Yaani ile sio stendi bali ni soko holela.
4. Hakuna sehemu rasmi za kutupia takataka ndogo ndogo za mikononi, ni kama hakuna dustbin kabisa. Takataka unaweza kutupa popote na hakuna yoyote wa kukukataza.
5. Hakuna taa zinazowaka usiku eneo la parking za mabasi, kumebakia magofu ya milingoti ya chuma na mabaki ya taa chakavu zilizokufa.
6. Miundo mbinu ya kudumu imechakaa kupitiliza. Kingo za kuta kuzunguka stendi zimebomoka na kupauka, barabara za ndani zimejaa mashimo balaa. Ni kama mahandaki ya kule Gaza.
7. Eneo lote la stendi limezungukwa na utitiri wa vibanda holela, vya ovyo ovyo ambavyo kila mtu anajiwekea atakavyo.
8. Kwa zaidi ya asilimia 80 ya eneo la stendi kumejaa magari ya Noah, Hiace na Coaster za kwenda maeneo ya karibu karibu ndani ya Kilimanjaro na machache ya Arusha badala ya mabasi ya masafa marefu ndani na nje ya nchi.
9. Stendi imepakana na kuunganika na na dampo dogo la takataka. Yaani kunanuna na taka taka kuzagaa mara kwa mara huku baadhi ya watu wakienda haja ndogo za papo kwa papo.
10. Kuna vyoo vya kulipia vinavyotoa harufu kali kuelekea nje huku utitiri wa biashara zingine (zikiwemo za vyakula) zikizunguka maeneo hayo hayo. Huhitaji kuuliza vyoo viko wapi, harufu ya vyoo inakuelekeza vilipo.
11. Hakuna alama zozote au vibao vyenye kueleza na kuelekeza maeneo mbalimbali (ukiondoa vyooni). Yaani pamekaa kienyeji mnoo, utadhani watu wote ni wenyeji wanaoishi ndani ya stendi hiyo siku zote.
12. Hakuna eneo/ofisi ya maulizo (Customer enquiry). Ukipata shida au changamoto hujui uanzia wapi, uulize wapi, ulalamike wapi au umuulize nani.
13. Mazingira ya kiusalama ni sifuri. Emergency Assemble point hakuna, hakuna ofisi rasmi za polisi (kuna trafiki wanaokaa kaa njia ya kutokea mabasi muda fulani) nk.
14. Hakuna wabeba mizigo rasmi wala toroli rasmi za kubeba mizigo ya wasafiri. Kumejaa mateja na wapiga debe wanaomvamia msafiri yoyote mwenye mizigo na kumbabaisha.
15. Nyakati za usiku mara nyingi stendi hufungwa kabisa. Hivyo mabasi kulazimika kushushia abiria nje ya stendi.
16. Kumejaa kelele za muziki kutoka kwenye maduka, vibanda, baa uchwara na vispika vya matangazo ya biashara. Yaani pako vururu vururu.
17. Sehemu kubwa ya juu ghorofani ni kama haitumiki kabisa, sijui bado inajengwa! Ama imekosa wapangaji? Pamekaa kama gofu la kale.
18. Ndani ya jengo la stendi kuna vibanda umiza kwa ajili ya kuonyesha video, mpira, kuchoma CD, kudanga na kucheza kamari (betting).
19. Kumejaa takataka zilizozagaa balaa. Haijarishi ni muda gani, iwe asubuhi, mchana au usiku, ni machupa ya maji, vifungashio vya plastiki mpaka maganda ya matunda.
20. Parking ya magari binafsi na tax haileweki, kila mara huzaa migongano na mizozo. Hakuna tofauti kati ya tax rasmi, tax bubu na gari binafsi. Eneo la parking za magari lipo lakini utaratibu hauleweki na usalama ni duni. (Japokuwa kuwa kuna eneo rasmi, safi na bora la parking/stendi ya pikipiki).
21. Miundo mbinu ya kunawa mikono imebakia magofu ndani ya stendi, haifanyi kazi na bado ipo ndani ya stendi kama kumbukumbu ya kudumu!. Yaani usafi wa kunawa mikono uliletwa Moshi na Covid na ukafa baada ya covid kufifia.
Kwa leo niishie hapo, ni mengi nimejionea lakini kwa uhakika hayo ndio nimeweza kuandika, kama huamini siku moja pita pale na kushuhudia mwenyewe.
True, hii stendi ni chafu mno haswa wakati wa mvua utakuta vinyesi kila uchochoro tena vikiwa fresh kabisa.Nikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya ajabu, yaani uchafu, ushamba na ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza tena mamlaka za serikali zikisimamia.
Hivi inakuwaje mji wenye sifa ya usafi kuliko miji yote hapa Tanzania na pilikapilika za kitalii kuwa katika hali ile. Kwa sifa za mkoa wa Kilimanjaro na asili ya kipekee ya wenyeji wake (maendeleo na ustaarabu) nisingetegemea kuyakuta haya.
Sote tunajua, kwa mgeni mji huanzia stendi na huishia stendi, na kwa kuwa watu wengi hupenda kujifunza au kutaka kuiga ya Kilimanjaro basi nimeyaweka wazi haya ili kuwananga wahusika yamkini labda watajirekebisha.
Na hapa JF nitachambua kwa kina kila kitu cha kijinga, ushamba, upumbavu na uchafu uliopitiliza nilichokutana nacho pale stendi kuu ya mabasi Moshi mjini(Kilimanjaro).
Kwanza nikiri wazi, japokuwa hii stendi ilijengwa zamani kidogo (zaidi ya miaka 20 iliyopita) tena katikati ya mji wa Moshi lakini ubunifu wake bado unaonekana uko kisasa sana (standard bus stand design) japokuwa matumizi yake bado yako kizamani mnoo kwa Moshi. Na haya ndio kwa haraka haraka niliyoyaona;
1. Hakuna eneo rasmi la abiria kusubiria (Passenger waiting area). Yaani eneo rasmi lililojengwa kusubiria abiria limejazwa meza za ovyo za walanguzi na mawakala wa kukatia tiketi za mabasi, biashara ndogo ndogo, milingoti ya bendera za CCM nk. Yaani pamekaa kitapeli kwa 100%.
2. Hakuna ofisi rasmi hata moja ya makampuni ya mabasi ndani ya stendi. Vyumba vyote vimepangishwa biashara zingine zisizohusiana na usafirishaji. (Baada ya kudodosa sana nikaelezwa fremu karibu zote za chini ndani ya hiyo stendi ni miradi rasmi binafsi ya wakubwa ndani ya Manispaa ya Moshi na baadhi ya vigogo wa CCM mkoa, wamejimilikisha hizo fremu kifisadi na kuwapangisha watu vile wanavyojisikia na ndio kikwazo cha kuzuia kukamilika ujenzi wa stendi mpya maeneo ya Majengo)
3. Stendi imegeuzwa kuwa ni soko rasmi la wamachinga. Kila biashara ya uchuuzi, ulanguzi mdogo mdogo, mama lishe, shoe shine, kupaka rangi kucha, utapeli, udangaji nk unaikuta ndani ya stendi. Yaani ile sio stendi bali ni soko holela.
4. Hakuna sehemu rasmi za kutupia takataka ndogo ndogo za mikononi, ni kama hakuna dustbin kabisa. Takataka unaweza kutupa popote na hakuna yoyote wa kukukataza.
5. Hakuna taa zinazowaka usiku eneo la parking za mabasi, kumebakia magofu ya milingoti ya chuma na mabaki ya taa chakavu zilizokufa.
6. Miundo mbinu ya kudumu imechakaa kupitiliza. Kingo za kuta kuzunguka stendi zimebomoka na kupauka, barabara za ndani zimejaa mashimo balaa. Ni kama mahandaki ya kule Gaza.
7. Eneo lote la stendi limezungukwa na utitiri wa vibanda holela, vya ovyo ovyo ambavyo kila mtu anajiwekea atakavyo.
8. Kwa zaidi ya asilimia 80 ya eneo la stendi kumejaa magari ya Noah, Hiace na Coaster za kwenda maeneo ya karibu karibu ndani ya Kilimanjaro na machache ya Arusha badala ya mabasi ya masafa marefu ndani na nje ya nchi.
9. Stendi imepakana na kuunganika na na dampo dogo la takataka. Yaani kunanuna na taka taka kuzagaa mara kwa mara huku baadhi ya watu wakienda haja ndogo za papo kwa papo.
10. Kuna vyoo vya kulipia vinavyotoa harufu kali kuelekea nje huku utitiri wa biashara zingine (zikiwemo za vyakula) zikizunguka maeneo hayo hayo. Huhitaji kuuliza vyoo viko wapi, harufu ya vyoo inakuelekeza vilipo.
11. Hakuna alama zozote au vibao vyenye kueleza na kuelekeza maeneo mbalimbali (ukiondoa vyooni). Yaani pamekaa kienyeji mnoo, utadhani watu wote ni wenyeji wanaoishi ndani ya stendi hiyo siku zote.
12. Hakuna eneo/ofisi ya maulizo (Customer enquiry). Ukipata shida au changamoto hujui uanzia wapi, uulize wapi, ulalamike wapi au umuulize nani.
13. Mazingira ya kiusalama ni sifuri. Emergency Assemble point hakuna, hakuna ofisi rasmi za polisi (kuna trafiki wanaokaa kaa njia ya kutokea mabasi muda fulani) nk.
14. Hakuna wabeba mizigo rasmi wala toroli rasmi za kubeba mizigo ya wasafiri. Kumejaa mateja na wapiga debe wanaomvamia msafiri yoyote mwenye mizigo na kumbabaisha.
15. Nyakati za usiku mara nyingi stendi hufungwa kabisa. Hivyo mabasi kulazimika kushushia abiria nje ya stendi.
16. Kumejaa kelele za muziki kutoka kwenye maduka, vibanda, baa uchwara na vispika vya matangazo ya biashara. Yaani pako vururu vururu.
17. Sehemu kubwa ya juu ghorofani ni kama haitumiki kabisa, sijui bado inajengwa! Ama imekosa wapangaji? Pamekaa kama gofu la kale.
18. Ndani ya jengo la stendi kuna vibanda umiza kwa ajili ya kuonyesha video, mpira, kuchoma CD, kudanga na kucheza kamari (betting).
19. Kumejaa takataka zilizozagaa balaa. Haijarishi ni muda gani, iwe asubuhi, mchana au usiku, ni machupa ya maji, vifungashio vya plastiki mpaka maganda ya matunda.
20. Parking ya magari binafsi na tax haileweki, kila mara huzaa migongano na mizozo. Hakuna tofauti kati ya tax rasmi, tax bubu na gari binafsi. Eneo la parking za magari lipo lakini utaratibu hauleweki na usalama ni duni. (Japokuwa kuwa kuna eneo rasmi, safi na bora la parking/stendi ya pikipiki).
21. Miundo mbinu ya kunawa mikono imebakia magofu ndani ya stendi, haifanyi kazi na bado ipo ndani ya stendi kama kumbukumbu ya kudumu!. Yaani usafi wa kunawa mikono uliletwa Moshi na Covid na ukafa baada ya covid kufifia.
Kwa leo niishie hapo, ni mengi nimejionea lakini kwa uhakika hayo ndio nimeweza kuandika, kama huamini siku moja pita pale na kushuhudia mwenyewe.
Sifa za Moshi kuwa mji msafi zilishamiri sana enzi zile mji ukiwa chini ya uongozi wa CHADEMA, mbunge akiwa Mzee Ndesamburo.(R.I.P.)"milingoti ya bendera za CCM nk. Yaani pamekaa kitapeli kwa 100%."
Shida inaanzia hapo
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Binafsi nikusifu na nikushukuru kwa maono na hasa kwa kufikiri kiasi cha kuona na kujua mahali pa kuiandika hii kero,Nikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya ajabu, yaani uchafu, ushamba na ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza tena mamlaka za serikali zikisimamia.
Hivi inakuwaje mji wenye sifa ya usafi kuliko miji yote hapa Tanzania na pilikapilika za kitalii kuwa katika hali ile. Kwa sifa za mkoa wa Kilimanjaro na asili ya kipekee ya wenyeji wake (maendeleo na ustaarabu) nisingetegemea kuyakuta haya.
Sote tunajua, kwa mgeni mji huanzia stendi na huishia stendi, na kwa kuwa watu wengi hupenda kujifunza au kutaka kuiga ya Kilimanjaro basi nimeyaweka wazi haya ili kuwananga wahusika yamkini labda watajirekebisha.
Na hapa JF nitachambua kwa kina kila kitu cha kijinga, ushamba, upumbavu na uchafu uliopitiliza nilichokutana nacho pale stendi kuu ya mabasi Moshi mjini(Kilimanjaro).
Kwanza nikiri wazi, japokuwa hii stendi ilijengwa zamani kidogo (zaidi ya miaka 20 iliyopita) tena katikati ya mji wa Moshi lakini ubunifu wake bado unaonekana uko kisasa sana (standard bus stand design) japokuwa matumizi yake bado yako kizamani mnoo kwa Moshi. Na haya ndio kwa haraka haraka niliyoyaona;
1. Hakuna eneo rasmi la abiria kusubiria (Passenger waiting area). Yaani eneo rasmi lililojengwa kusubiria abiria limejazwa meza za ovyo za walanguzi na mawakala wa kukatia tiketi za mabasi, biashara ndogo ndogo, milingoti ya bendera za CCM nk. Yaani pamekaa kitapeli kwa 100%.
2. Hakuna ofisi rasmi hata moja ya makampuni ya mabasi ndani ya stendi. Vyumba vyote vimepangishwa biashara zingine zisizohusiana na usafirishaji. (Baada ya kudodosa sana nikaelezwa fremu karibu zote za chini ndani ya hiyo stendi ni miradi rasmi binafsi ya wakubwa ndani ya Manispaa ya Moshi na baadhi ya vigogo wa CCM mkoa, wamejimilikisha hizo fremu kifisadi na kuwapangisha watu vile wanavyojisikia na ndio kikwazo cha kuzuia kukamilika ujenzi wa stendi mpya maeneo ya Majengo)
3. Stendi imegeuzwa kuwa ni soko rasmi la wamachinga. Kila biashara ya uchuuzi, ulanguzi mdogo mdogo, mama lishe, shoe shine, kupaka rangi kucha, utapeli, udangaji nk unaikuta ndani ya stendi. Yaani ile sio stendi bali ni soko holela.
4. Hakuna sehemu rasmi za kutupia takataka ndogo ndogo za mikononi, ni kama hakuna dustbin kabisa. Takataka unaweza kutupa popote na hakuna yoyote wa kukukataza.
5. Hakuna taa zinazowaka usiku eneo la parking za mabasi, kumebakia magofu ya milingoti ya chuma na mabaki ya taa chakavu zilizokufa.
6. Miundo mbinu ya kudumu imechakaa kupitiliza. Kingo za kuta kuzunguka stendi zimebomoka na kupauka, barabara za ndani zimejaa mashimo balaa. Ni kama mahandaki ya kule Gaza.
7. Eneo lote la stendi limezungukwa na utitiri wa vibanda holela, vya ovyo ovyo ambavyo kila mtu anajiwekea atakavyo.
8. Kwa zaidi ya asilimia 80 ya eneo la stendi kumejaa magari ya Noah, Hiace na Coaster za kwenda maeneo ya karibu karibu ndani ya Kilimanjaro na machache ya Arusha badala ya mabasi ya masafa marefu ndani na nje ya nchi.
9. Stendi imepakana na kuunganika na na dampo dogo la takataka. Yaani kunanuna na taka taka kuzagaa mara kwa mara huku baadhi ya watu wakienda haja ndogo za papo kwa papo.
10. Kuna vyoo vya kulipia vinavyotoa harufu kali kuelekea nje huku utitiri wa biashara zingine (zikiwemo za vyakula) zikizunguka maeneo hayo hayo. Huhitaji kuuliza vyoo viko wapi, harufu ya vyoo inakuelekeza vilipo.
11. Hakuna alama zozote au vibao vyenye kueleza na kuelekeza maeneo mbalimbali (ukiondoa vyooni). Yaani pamekaa kienyeji mnoo, utadhani watu wote ni wenyeji wanaoishi ndani ya stendi hiyo siku zote.
12. Hakuna eneo/ofisi ya maulizo (Customer enquiry). Ukipata shida au changamoto hujui uanzia wapi, uulize wapi, ulalamike wapi au umuulize nani.
13. Mazingira ya kiusalama ni sifuri. Emergency Assemble point hakuna, hakuna ofisi rasmi za polisi (kuna trafiki wanaokaa kaa njia ya kutokea mabasi muda fulani) nk.
14. Hakuna wabeba mizigo rasmi wala toroli rasmi za kubeba mizigo ya wasafiri. Kumejaa mateja na wapiga debe wanaomvamia msafiri yoyote mwenye mizigo na kumbabaisha.
15. Nyakati za usiku mara nyingi stendi hufungwa kabisa. Hivyo mabasi kulazimika kushushia abiria nje ya stendi.
16. Kumejaa kelele za muziki kutoka kwenye maduka, vibanda, baa uchwara na vispika vya matangazo ya biashara. Yaani pako vururu vururu.
17. Sehemu kubwa ya juu ghorofani ni kama haitumiki kabisa, sijui bado inajengwa! Ama imekosa wapangaji? Pamekaa kama gofu la kale.
18. Ndani ya jengo la stendi kuna vibanda umiza kwa ajili ya kuonyesha video, mpira, kuchoma CD, kudanga na kucheza kamari (betting).
19. Kumejaa takataka zilizozagaa balaa. Haijarishi ni muda gani, iwe asubuhi, mchana au usiku, ni machupa ya maji, vifungashio vya plastiki mpaka maganda ya matunda.
20. Parking ya magari binafsi na tax haileweki, kila mara huzaa migongano na mizozo. Hakuna tofauti kati ya tax rasmi, tax bubu na gari binafsi. Eneo la parking za magari lipo lakini utaratibu hauleweki na usalama ni duni. (Japokuwa kuwa kuna eneo rasmi, safi na bora la parking/stendi ya pikipiki).
21. Miundo mbinu ya kunawa mikono imebakia magofu ndani ya stendi, haifanyi kazi na bado ipo ndani ya stendi kama kumbukumbu ya kudumu!. Yaani usafi wa kunawa mikono uliletwa Moshi na Covid na ukafa baada ya covid kufifia.
Kwa leo niishie hapo, ni mengi nimejionea lakini kwa uhakika hayo ndio nimeweza kuandika, kama huamini siku moja pita pale na kushuhudia mwenyewe.