mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo naipa miezi 3 tuWasukuma muitunze sasa stendi yenu sio baada ya miezi sita stendi inamejaa uchafu na mavi tupu.
Hawawawezi zingatia hawaWazingatie usafi tu maana huo ndio mtihani mkubwa
Kweli kabisaVyoo vitaziba tope muda sio mrefu sijui watanzania tupoje yani
Tena Wasukuma wasivyo wastaarabu, watakuta magunziKweli kabisa
Ova
Acha ujinga wako, yaani ni kama JPM kafariki jana yaani ni vigumu huyu mwamba kusahaulika sababu aligusa maisha ya watu karibu kwenye kila nyanja. Hata wewe umeshindwa kabisa kumsahau sababu kuna namna alikugusa.Acha uongo
Yaani hii tabia ya vyoo vya uma kuwa vichafu na chakavu inakera sana halafu na ushuru wanakusanya, sijui watu wa afya huwa hawaonag?Magufuli terminal vyoo vichafu vimeharibiwa hakuna matengenezo
Msamvu Morogoro vyoo vipo hoi vimebomoka uchafu kila sehemu
Dodoma stand kuu vyoo havifanyiwi matengenezo hakuna anayayejali
Hata hivyo vya Nyegezi vitaishia kuwa vya hovyo kama hakuna mikakati ya matunzo
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Hizo Kodi za watanzania unazosema alizisimamia bibi Yako kujenga hiyo miradi?we kwa ushamba wako wa Maswa inaonekana kabisa hujafika uwanja wa ndege. Inaonekana ni mfu unayetembea, maana kila siku ni kuongelea habari za wafu. Jitundike tu ujiunge na wafu wenzio. Stand imejengwa kwa kodi za watanzania. huyo marehemu wako mafao yake wanakula familia yake hakuna senti imetumika kujenga hiyo stand
Kilimanjaro wana stendi kubwa sana inayoendelea kujengwa, Arusha walitengewa eneo ila naona mambo yalibadilika ghaflaArusha na Kilimanjaro hata wasipowajengea poa tu
Tutaitunza Mkuu.Muitunze tu
Baada ya miezi 3 tuwekeeni video tena
Ova
Kulwa Jilala ona maoni ya mwenzio. Wote mpo Lumumba lakini tofauti zenu Ni mbingu na Dunia.Nasema kwamba Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi tuliyopewa na Mwenyezi MUNGU kwa makusudi maalumu,Ni zawadi ipendezayo ndani ya Taifa letu, Ni zawadi ambayo yeyote ikiitazama lazima apate matumaini,faraja,furaha ,amani na Tabasamu Katika moyo wake.
Viongozi aina ya Rais Samia hujankwa nadra Sana hapa Duniani ,hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila mahali.
Hakuna mradi utakaoshindikana au ambao hautamalizwa au kutekelezwa katika uongozi wa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania,faraja ya wanyonge, Tumaini la waliokata Tamaa na nuru kwa waliogizani mh mama Samia suluhu Hassani mzalendo wa kweli,Jasiri muongoza njia,mama wa shoka,kiongozi shupavu na madhubuti.
Cc BushmamyHongera sana watu wa Mwanza kitu ya ukweli sana imetulia hapo Nyegezi, wawajengee na Arusha ile stend yao nikama zizi la Nguruwe.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Leta wewe ukweli! Itachukua miaka kadhaa, kumpata Rais Tanzania, hatuna RaisAcha uongo
Wewe akili yako imeishia wapi?Hahahaha hapa ndio mwisho wa akili nyingi za Watanzania
Shida itakuwa uongozi wa stendiHiyo naipa miezi 3 tu
Chokaaaa
Ova
Itachukua miaka 10 kukamilikaKilimanjaro wana stendi kubwa sana inayoendelea kujengwa, Arusha walitengewa eneo ila naona mambo yalibadilika ghafla
Stendi inayojengwa Kilimanjaro ni standard hii ya Nyegezi labda kama ichelewe tu kufunguliwa. Inajengwa ilipokuwa stendi ya mabasi ya mikoani zamani.
Mimi ni chawa wa nchi yangu Tanzania, huyo mshamba ni chawa wa mtuKulwa Jilala ona maoni ya mwenzio. Wote mpo Lumumba lakini tofauti zenu Ni mbingu na Dunia.