Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Isijeishia kuchakaa bila kutoa huduma stahii kama Ile ya Dom! Swala sio uzuriswala ni ipo kimkakati??
 
Legacy ya chuma
 
Hizi si ni kazi za manispaa/halmashauri husika.Naona sifa zibaenda kwa watendaji wa serikali kuu
 
Airport inakuaje katikati ya mji? Hiyo haina miaka 10 mbele itakuwa ya daladala. Mnasifia vitu kwa kuangalia rangi ,za majengo. Waliojenga hii ni akina nani wapi? Na huu nao ni uzalendo?
Kwani ikiwa stendi ya daladala kuna ubaya gani?
 
Uko sahihi sana
 
Ukweli hii stendi ni nzuri hebu fikiria nilipanda bus hapo mwaka jana 2022, Novemba nikisafiri kwenda Musoma na kushuka stendi mpya ya Musoma vitu viwili tofauti lakini zote zipo nchi moja.
Bukoba wao walishajikatia tamaa kitambo....


Magufuli aliwaambia walikosea kuchagua upinzani miaka ile...

Sasa kuna mbunge wa CCM lakin leo tupo 2023 nothing new

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hicho unachosema ni matazamio ya huyo mkurugenzi wako! Mimi kila siku napita hapo kwa maana nasafirisha abiria ndo kazi yangu! Kwa sasa mkurugenz wako anapanga kurudisha magari madogo ya magu na sumve yaanzie buzuruga halaf unajifanya unajua kumbe hujui! Abiria wanakwepa tozo ya tsh 200 za pale terminal wanakimbilia kisesa! Tata nyingi zinaanzia kisesa.
 
Wewe ulitumbuliwa Sasa unataka mama akurudishe , umefeli na utasugua bench mpaka matako yaote sugu[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…