Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Hata wewe ni chawa wa mtu. Tofauti yenu ni kuwa wewe ni chawa wa JPM yeye ni chawa wa SSH.Mimi ni chawa wa nchi yangu Tanzania, huyo mshamba ni chawa wa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe ni chawa wa mtu. Tofauti yenu ni kuwa wewe ni chawa wa JPM yeye ni chawa wa SSH.Mimi ni chawa wa nchi yangu Tanzania, huyo mshamba ni chawa wa mtu
Arusha, Kagera, mnatia aibu sana mnashindwa hadi na korogwe ambayo ni wilaya
Ile stand ya korogwe ukweli ni superb.Arusha, Kagera, mnatia aibu sana mnashindwa hadi na korogwe ambayo ni wilaya
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Wanaona ina wanazimwa dataYaani hii tabia ya vyoo vya uma kuwa vichafu na chakavu inakera sana halafu na ushuru wanakusanya, sijui watu wa afya huwa hawaonag?
Wanatakiwa adhabuWanaona ina wanazimwa data
Ndiyo waliotoa agizo stendi nzuri ijengweHizi si ni kazi za manispaa/halmashauri husika.Naona sifa zibaenda kwa watendaji wa serikali kuu
Ya Dodoma imechakaa?Isijeishia kuchakaa bila kutoa huduma stahii kama Ile ya Dom! Swala sio uzuriswala ni ipo kimkakati??
Kabisa mkuuLegacy ya chuma
Kwani ikiwa stendi ya daladala kuna ubaya gani?Airport inakuaje katikati ya mji? Hiyo haina miaka 10 mbele itakuwa ya daladala. Mnasifia vitu kwa kuangalia rangi ,za majengo. Waliojenga hii ni akina nani wapi? Na huu nao ni uzalendo?
Uko sahihi sanaWewe huna akili nadhani,hivi unaijua Stend ya Nyamongolo au unaisikia? kamuulize mkurugenzi wa Ilemela akueleze namna mapato yalivoongezeka baada ya kuanza kazi stend.Mwaka jana walikusanya b 9 + mwaka huu wanaweka malengo ya kukusanya b 13 hadi kufikia robo ya 3 mwezi march walikuwa walikusanya b 12. Usipende kuongea vitu usivojua Nyamongolo ni uti wa mgongo wa mapato ya Ilemela kwa sasa pamoja na Soko la kimataifa la dagaa na samaki pale Mwaloni.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Ndiyo lilikuwa lengo? So leo ile Airport pale kipawa ikibadilishwa kuwa stand ya mabasi ya mikoani siku moja sawa tyuu.Kwani ikiwa stendi ya daladala kuna ubaya gani?
Lucas mwashambwa FYIMimi ni chawa wa nchi yangu Tanzania, huyo mshamba ni chawa wa mtu
Ni sawa tu ,inajengwa nyingine nzuri zaidiNdiyo lilikuwa lengo? So leo ile Airport pale kipawa ikibadilishwa kuwa stand ya mabasi ya mikoani siku moja sawa tyuu.
Bukoba wao walishajikatia tamaa kitambo....Ukweli hii stendi ni nzuri hebu fikiria nilipanda bus hapo mwaka jana 2022, Novemba nikisafiri kwenda Musoma na kushuka stendi mpya ya Musoma vitu viwili tofauti lakini zote zipo nchi moja.
Mjapani mweusi, mwamba alikuwa ana akili na uthubutu.
Hicho unachosema ni matazamio ya huyo mkurugenzi wako! Mimi kila siku napita hapo kwa maana nasafirisha abiria ndo kazi yangu! Kwa sasa mkurugenz wako anapanga kurudisha magari madogo ya magu na sumve yaanzie buzuruga halaf unajifanya unajua kumbe hujui! Abiria wanakwepa tozo ya tsh 200 za pale terminal wanakimbilia kisesa! Tata nyingi zinaanzia kisesa.Wewe huna akili nadhani,hivi unaijua Stend ya Nyamongolo au unaisikia? kamuulize mkurugenzi wa Ilemela akueleze namna mapato yalivoongezeka baada ya kuanza kazi stend.Mwaka jana walikusanya b 9 + mwaka huu wanaweka malengo ya kukusanya b 13 hadi kufikia robo ya 3 mwezi march walikuwa walikusanya b 12. Usipende kuongea vitu usivojua Nyamongolo ni uti wa mgongo wa mapato ya Ilemela kwa sasa pamoja na Soko la kimataifa la dagaa na samaki pale Mwaloni.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Akafie mbele hukoDodoma ni alama ya mwisho kabisa ya mazuri ya Hayati yatakayokumbukwa milele, tuache masihara Magufuli City ni mji wa mambele huku. Apumzike kwa amani Rais wetu kipenzi, aliipenda Tanzania kwa moyo wake wote.
Wewe ulitumbuliwa Sasa unataka mama akurudishe , umefeli na utasugua bench mpaka matako yaote sugu[emoji16][emoji16]Nasema kwamba Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi tuliyopewa na Mwenyezi MUNGU kwa makusudi maalumu,Ni zawadi ipendezayo ndani ya Taifa letu, Ni zawadi ambayo yeyote ikiitazama lazima apate matumaini,faraja,furaha ,amani na Tabasamu Katika moyo wake.
Viongozi aina ya Rais Samia hujankwa nadra Sana hapa Duniani ,hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila mahali.
Hakuna mradi utakaoshindikana au ambao hautamalizwa au kutekelezwa katika uongozi wa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania,faraja ya wanyonge, Tumaini la waliokata Tamaa na nuru kwa waliogizani mh mama Samia suluhu Hassani mzalendo wa kweli,Jasiri muongoza njia,mama wa shoka,kiongozi shupavu na madhubuti.