SI KWELI Stendi ya Mabasi ya Magufuli (Mbezi Luis) Imebadilishwa Jina

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ni
Sio kubadilisha jina haitoshi wavunje madaraja wafukie mabwawa wang'oe reli wazamishe vivuko meli wauze ndege bado atakumbukwa kwa moyo wake wa kizalendo na kuipigania nchi na wananchi dhidi ya wala rushwa na mafisadi!
MBona una hasira sana, angalia usije kuwa gaidi a
 
Jf kuna mijitu mipuuz sn .... Pia hta wakbadirisha majna wao hawafi? Unajua wanadamu huwa tunaweka Kibri sanaaaaa kana kwamba hatufi na tutaish milele ...

Wamejifunza kiburi kutoka kwa mwendazake. Baba wa uovu.
 
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F

Vijana punguzeni bangi mbichi. Msije mkawa Kama huyu. Mada inaongelewa jina stendi ya mabasi mtu anawashambulia Viongozi wa CHADEMA. Utadhani ndio wamebadilisha jina.
 
Futa jina la huyo kiongozi muovu.
 
Ni
Sio kubadilisha jina haitoshi wavunje madaraja wafukie mabwawa wang'oe reli wazamishe vivuko meli wauze ndege bado atakumbukwa kwa moyo wake wa kizalendo na kuipigania nchi na wananchi dhidi ya wala rushwa na mafisadi!

Jina linaweza kuondolewa ila hiyo miradi ni Mali ya Umma. Imejengwa kwa Kodi za wananchi sio pesa za mtu binafsi.
 
Ni
Sio kubadilisha jina haitoshi wavunje madaraja wafukie mabwawa wang'oe reli wazamishe vivuko meli wauze ndege bado atakumbukwa kwa moyo wake wa kizalendo na kuipigania nchi na wananchi dhidi ya wala rushwa na mafisadi!
Kwani hivyo vitu alifanya kwa fedha zake? Kukumbukwa sio issue maana hata Hitler, Iddy Amin and the likes tunawakumbuka.
 
Ni
Sio kubadilisha jina haitoshi wavunje madaraja wafukie mabwawa wang'oe reli wazamishe vivuko meli wauze ndege bado atakumbukwa kwa moyo wake wa kizalendo na kuipigania nchi na wananchi dhidi ya wala rushwa na mafisadi!
Mkuu kapigania nchi kwenye vita ipi? Ya lini, iilipiganwa wapi?

Mkuu hao wala rushwa na mafisadi ni kina nani? Na alipigana nao lini? Wapi? Wapo gereza gani kama wafungwa wa kivita?

Angalau tutajie orodha yao kwa ushahidi, inaonekana ulimeza uongo na propaganda zake JPM bila kutafuna!

Mkuu unakoelekea, siku moja utasema vitambulisho vya machinga vilitumika kukopa!
 
Magufuli hawamuwezi, kile chuma...kanda ya ziwa huwaambii kitu

Kanda ya Ziwa ipi?. Mnajificha kwenye Kanda ya Ziwa kana kwamba hatukuwepo 2020 kwenye uchaguzi mkuu. Rais wa kwanza CCM kupata asilimia 57 ya kura. Akaona aijiongezee za wizi 2020. Yule jamaa alikuwa mwovu kupindukia, Bora aliondoka mapema na kiburi chake Cha uzima.
 
Utateseka sana lakini huwezi kubadili ukweli...
JPM alishinda kihalal na hata sasa kiwekwe kivuli chake, kitashinda
 
Kwani hivyo vitu alifanya kwa fedha zake? Kukumbukwa sio issue maana hata Hitler, Iddy Amin and the likes tunawakumbuka.
Nafikiri pasi na shaka ndio maana nimeandika hivyo kwa kujua sio pesa zake ni zenu!
 
Magufuli hawamuwezi, kile chuma...kanda ya ziwa huwaambii kitu
Mkuu usidanganye watu, wewe sema mikoa yenye wasukuma wengi!

Hata hao wasukuma ni nusu tu! Kawauliza wavuvi, wafugaji na wakulima wa pamba kilichowapata ndio utajua hujui!
 
Mimi kumbu kumbu yangu ni ile hasira ya vyeti feki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…