SI KWELI Stendi ya Mabasi ya Magufuli (Mbezi Luis) Imebadilishwa Jina

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ccm hawategemei kura kukaa madarakani, na udhibitisho ni pale dhalimu magu alipofanya siasa peke yake na chama lake la majizi, lakini ilipofika wakati wa uchaguzi na alichokiona kwenye kampeni zile ilibidi apore mchakato wa uchaguzi.
👍👏
 
Ubungo Interchange
Tazara interchange
Mwenge interchange
Chang'ombe interchange
..,.......etc
Kwa kweli hii itapendeza kuita majina ya sehemu husika ili kutokuleta mchanganyo hasa kwa wageni na ramani.

Nafikiri ni vizuri majina ya watu yakatafutiwa vitu vingine km viwanja vya michezo, majengo nk, ili kutopotosha ramani/locations.
 
CCM sio wajinga kufanya ujinga kama huu! Magufuli amekufa lakini bado anao ushawishi mkubwa sana kwa wananchi …kati ya kosa CCM hawawezi fanya ni hili..! Hiyo ni picha ya zamani kabla ya kupewa jina la Magufuli
 
Inawezekana kuna ukweli Ila watakuwa wajinga sana legacy ya Magufuli haifutwi na kuondoa jina lake stendi NEVER

Yale yale ya kuzuia wajawazito kuingia wodini na simu wakihofia huduma zao mbovu zitaandikqa mitandaoni

Viongozi wetu badilikeni msifanye kazi kwa kukariri
 
Sasa mkuu hapa umeongea nini na unakubali na kupinga nini? Magufuli hakulazimisha hilo jina bhana kila mtu anajua
Wewe ulikuwa humjui DIKTETA anavyo operate!! Angekuwa hataki ANGEKATAA kama Mkapa alivyokataa alipokuwa hai, na uwanja ukapewa jina lake baada ya yeye kufa.

Lile DUBWASHA lilikuwa linapenda sifa sana na ndiyo maana likawa linawadanganya nyie WAJINGA kuwa bila lenyewe miundombinu haitajengwa na kwamba linajenga kwa fedha za ndani. Mlivyo wajinga MUKAAMINI.
 
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
Pole ndiyo hivo ishabadilishwa jina
Mwendazake alikua muhun sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hata plan ya ujenzi wa ofisi mpya ya makao makuu ya chadema ipo muda mrefu lakini hela za ruzuku ya chama zinaliwa na Joyce Mukya tu.

Hongera Halima Mdee kwa kukomesha udikteta wa Mbowe.
 
Bora waliondoe maana yule hakuwa binadamu bali shetani muuaji akishirikiana na jambazi Makonda
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
 
Vijana punguzeni bangi mbichi. Msije mkawa Kama huyu. Mada inaongelewa jina stendi ya mabasi mtu anawashambulia Viongozi wa CHADEMA. Utadhani ndio wamebadilisha jina.
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
 
Vilaza FC inaundwa na Mbowe form four failure, Msigwa babantilie la Tatu aliyeacha shule, Lema mwizi wa magari form two failure,sugu bwana mitepesho matakoni la 3D failure alizungusha Hisabati na masomo ya akapata wastani wa F
 
Endeleeni tu mkae kwa kutulia mpk majina yaliyopo katika madaraja Yale ya ubungo na buguruni yatabadirishwa tu wanadam haturidhiki na yaliyosiniwa
 
Hakulazimisha wakati nyuma ya pazia alikuwa anaagiza, kisha akitokea hadharani anajifanya hataki. Kama alikuwa anaita nchi Tanzania ya Magufuli, Nini stand?
Sasa uko nyuma ulikuwepo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…