Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Kaka katika utoaji wa maana ya tamko fulani umegawanyika katika sehemu kuu mbili :

1. Maana ya tamko kilugha,na hii ndio huwa imebeba uwanja mpana sana.

2. Maana ya tamko kwa fani husika,mfano wana kemia au watu wa kemia wana tafsiri maji kwa misingi ya fani yao.

Sasa niliposema juu ya tamko UKWELI ni ile maana ya kilugha ambayo ni pana zaidi,na kila jambo hutokea humo. Ndio maana nikasemaje,kama wewe unaipinga maana yangu kwanza ipinge kwa hoja zenye nguvu kisha nipe maana yako ya ukweli unavyoijua wewe,baada ya hapo ujibu swali nililo kuuliza.

Na mwisho nikakuuliza una amini kama Ukweli upo au pia huamini kama ukweli upo ?

Kwa mfano,nikikwambia wewe ni Behaviourist kama ulivyojiainisha kwetu na kweli ni wewe huu uitwa Ukweli au uongo ?

Tupende kuokoa muda bro....
 
Huku unapotumia muda mwingi ni matokeo tu bro. Una amini kuna Ukweli au huamini kwanza ?

Tusipoteze muda kwa jambo dogo kama hili. Hapa nataka uniambie wewe huwa unajuaje kama jambo fulani ni ukweli au kinyume chake. Mbona rahisi sana mzee.
Napoteza muda mwingi kutaka unipe maana ya neno "ukweli" kwa sababu msingi wa swali lako lote umelala hapo wakati mimi sijui maana ya neno hilo na maana uliyonipa awali imenipa mkanganyo zaidi!!
 
Napoteza muda mwingi kutaka unipe maana ya neno "ukweli" kwa sababu msingi wa swali lako lote umelala hapo wakati mimi sijui maana ya neno hilo!!

Kwa huu mwendo mimi na wewe tunaweza kuelewana.

Sasa nakupa kazi mzee,tafuta maana ya tamko "UKWELI" kwa mtu yeyote unae muamini na amekuzidi maarifa kisha uje uiweke hapa,halafu ujibu swali langu.

Zingatia : Swali langu nililokupa haliathiriwi na maana yoyote ile itakayo kuwa.

Hii ni ziada nakupa hapa,UONGO ni kinyume na hali halisi. Ukweli ni kinyume cha UONGO.

Nasubiri jibu.....
 
Vitabu vyenyewe vinaji contradict.

Hapa unaambiwa Mungu ana uweo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Pale unaambiwa, kuna watu fulani wabishi sana, hata msihangaike nao kuwahubiria habari za Mungu, Allah kawatia upofu macho yao, kawaziba masikio yao na mioyo yao kaifunga.

Hawa hata mfanye nini hawataelewa.

Sasa mtu unajiuliza.

Huyu Allah ana nguvu zote, maana yake akiziba hakuna w akufungua.

Kisha ana upendo wote.

Sasa kama ana upendo wote, kwa nini anawaziba watu wake wasimjue? Huku akijua kwamba akiwaziba hao ndiyo watoto wa mjini wanasema "ntolee".

Kibaya zaidi, Allah anasemahao ambao kawaziba wasimjue, na hawatamjua, kwa sababu akishawaziba hawana jinsi ya kufanya wamjue, atawahukumu vikali sana, kwa sababu hawajamjua, kutomjua mabako kumekuja kwa sababu yeye Allah kawaziba wasimjue.

Nikama baba anakataza watotowake wasiende shule wala kujifunza kusomana kuandika, halafu wakikua hawajui kusoma na kuandika, baba huyu huyu aliyekataza watoto wake wasijifunze kusoma na kuandika, awaadhibu vikali wanawe hao, kwa sababu hawajui kusoma na kuandika.

Watu wanasoma hicho kitabu, wanakubali hikikitabu cha Mungu, na haya maneno ya kijinga kabisa yaliyoandikwa hapa, ni ya Allah.

Mungu, mjuziwa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Ujinga kabisa.
 
Umemaliza kila kitu mkuu
 

That’s why when it comes to this question of God’s existence, I am a situational skeptic. I believe, thus far, no one really knows either way.

You guys can debate until the cows come home, in the end you will never come up with a consensus resolution.

It’s always been that way and it will continue to be that way for a long time to come.

If you disagree with me, just watch this space.

Prof. Hawking saying there’s no possibility of God in our universe won’t end the existence or no existence question of God.

That to me is proof that we don’t know for certain.

It doesn’t mean one day we won’t know. Just means that, so far we don’t know and we’re thirsting for knowledge, hence the never ending debate.
 
Ukijua chanzo cha hayo mabaya yote utajua kwanini Mungu mwenye sifa zote hizo ulizoztaja kayaruhusu yatokee.
 

Mimi sijui maana ya neno "ukweli" na ndiyo maana nikaomba ufafanuzi kutoka kwako na nimeweka ushahidi hapa kuprove kuwa sijui maana ya hilo neno pale tulipoulizana issue za uwepo wa Mungu kuwa "ni kweli" au ni "uongo" na wote tuliona ule mkanganyiko hapa!!.... kwa hiyo kuniambia nikupe maana yangu mimi ya hilo neno ni kunionea kwa sababu silijui!

Swala la mimi kuamini kuwa ukweli upo au haupo kwa kifupi kabisa ni kwamba siwezi kuamini kitu ambacho sikijui!!


Please naomba nipe maana ya hili neno ili nijibu swali lako la msingi, ukweli ni nini?
 
Nakupa nge nyingine hapa.

Mawenge
 
Wapi nimesema kuwa nimeshindwa?... umetumia kigezo gani kusema kuwa nimeshindwa???.... Mimi humu nachat na watu wengine wengi tu, ulitakiwa usubiri jibu lako na siyo kuamini bila ushahidi wowote kuwa nimeshindwa!!
Ok nitumie njia zipi kukudhibitishia uwepo wa mungu tofauti na hizo za Kiranga.?
 
Nakupa nge nyingine hapa.

Mawenge
Nacheka sana bro. "Nge" yako si "nge" ninayoikusudia hapa,hata kama hujaona tatizo hapa. Tunga sentensi iwe na tamko "nge" kwa "mawenge" na "ningekula" na mfano wako.

Hapa najua si kosa lako,bali kosa ni uchachefu wa elimu kwako. Hapa huchelewi kusema " Kama mungu muweza wa yote,mwenye hura yote ......."


Halafu hili tamko " yote" mara "zote" mmelipata wapi ? Hivi kweli "Ukamilifu" uko sawa na "yote" au "zote" ?
 
Wewe ndiyo unatakiwa kunipa maana ya neno "ukweli" kwa sababu kilicho ukweli kwako kinaweza kuwa ni uongo kwa mtu mwingine kama tulivyoona kwenye mfano wetu wa juu ya uwepo wa Mungu, kwa hiyo nikienda kumuuliza mtu mwingine anisaidie kunipa maana ya neno hilo anaweza kunipa maana ambayo kwako wewe ni sawa na "uongo" na kusababisha mimi nijibu swali lako la msingi vibaya!!

Ukweli ni nini?.....Please niambie ukweli ni nini ili niweze kujibu swali lako la Msingi!!
 
Hakuna sababu inayoeleweka ya kufanya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aachie ulimwengu ambao haumthibitishi yeye kwa dhahiri kiasi cha watu kutaabikasana na dini elfu kwa elfu wakimtafuta.

Mungu akiwa hivyo, atakuwa anafanya utani wa kikatili sana kwa viumbe wake dhaifu.

Kwa upande mwingine, katikaulimwengu ambao Mungu hayupo, Mungu kuwepo kwake kutoweza kujulinkana ni kitu kisicho cha ajabu.

Kwa sababu hata uchunguze vipi, mtu anaweza kukwambia tu"Mungu yupo, ilawewe hujamtafuta vya kutosha".

Kamahayupo, huwezi kujua kwa uhakikakwamba hayupo, kwa sababu hayupo.

Ni kama umwambie mtoto atafute pipi ambayo haipokwenye nyumba, hata apekue vipi haioni, na akiambiwa ipo, hajatafuta vya kutosha, hawezi kujua kwamba huo ni uongo nje ya nadharia na dhana, kwa sababu inawezekana yeye anatafuta chini ya mazulia, wakati pipi imesimikwa ukutani katikati ya ufa kwenye matofaliikafichwa na kabati zito.

Yani dhana ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote naupendo wote kuumba ulimwengu huu kuna contradictions kibao tu.

Contradictions zinazoonesha hayupo.

Na ukisema hatuwezi kuthibitisha conclusively kwamba hayupo, naweza kukwambia hatuwezi kuthibitisha chochote conclusively if you really want to go with the nitty gritties.

Kwamba hata wewe huwezi kuthibitisha kwamba upo.

At somepoint a threshold must be drawn.

Descartes alisema "I think, therefore I exist".

Mtu anayetakakuwa skeptic hapo,anawezakusema Descartes anajuaje kwamba anafikiria yeye na yeye si simulation tu ya software inayomfanya ajisikie kamaanafikiria?
 
You are such an idiot you do not see an insult when it is flung your way.

I have to spell it out for you.

Thibitisha Mungu yupo.
 
This is a circular argument.

Therefore, it is not a logical argument.

Moreover, asserting thet God exists, but is incomprehensible, is an inherrent contradiction.

You need to comprehend God to rationally assert that he exists.
Does rationality exist?I think the problem here is that we are trying to apply objectivity in a concept that does not exists objectively.The existence of God is merely a subjective concept which means that both sides of the argument are correct.
 
First things first sijaribu kuku convince kwa sababu sijui kama una uwezo wa kuwa convinced.

Unaelewa hilo?

Na inawezekana kabisa mimi ndiye ninajaribu kuji convince kwamba Mungu yupo kwa kusoma hoja zenu, lakini zinapwaya na mnashindwa kuni convince.
 
You are such an idiot you do not see an insult when it is flung your way.

I have to spell it out for you.

Thibitisha Mungu yupo.
Naona umeshaelewa sasa.... Nimemaliza bro.
 
We can't know for certain that there is no invisible golden elephant in the middle of your living room, right now.

That does not make us entertain the idea of one existing now, does it?
 
Kuhusu Ukweli nimeshakuelza bro na wewe ukakiri ya kuwa maana yangu inakukanganya sasa nimekupa wewe nafasi ya kutafuta maana ya UKWELI popote ilipo ili uje kuitumia kujibi swali langu a mwanzo.

Hili swali ninalo kuuliza kuhusu Ukweli ndio msingi wa mijadala yote kwa wakanamungu,na hili swali niliwahi kumuuliza Kiranga na matokeo yake anayajua mwenyewe.

Nasisitiza tena na tena. Swali langu halibadiliki ni lile lile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…