Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Kwa sababu huna nia ya kujifunza zaidi ya uyajuayo.. Unakomaa!
Ningekuwa sina nia ya kujifunza nisingekuuliza maswali.

Na ungekuwa una nia ya kunifundisha, usingeacha maswali ambayo hujayajibu.
 
Wewe hujui hata tofauti ya kuthibitisha na kudhibitisha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe mjamaaa sasa unaleta utoto
hizo typing error nazo unakoma nazo wakati umeelewa point yngu hapo.
wewe sema unataka nikuthibitishie kuwepo kwa MUNGU kwa njia Gani kuwa free
 
Kuna siku nimekaa home pekee yangu nikaona ndege mmoja langi ya kijani ya kung'aa anatembea nilivyomwangalia vizuri kabisa nikaona amechorwa rangi na madoa kama wafanyavyo wachoraji wasanii yaani uchoraji wake ni kama mtu alimshika akaanza kumnakshi kwa kadri alivyotaka na akapendeza

Likaja swali kwamba yaani naturally tu ilitokea kiumbe kama huyo akazaliwa kwa kujichora tu hivyo bila kuwepo kitu cha kumchora,nikasema hapana lazima kuna ufundi fulani ulitumika

Sasa na huyu Hawking nae duuuh!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe mjamaaa sasa unaleta utoto
hizo typing error nazo unakoma nazo wakati umeelewa point yngu hapo.
wewe sema unataka nikuthibitishie kuwepo kwa MUNGU kwa njia Gani kuwa free
Hapana,

Typing error hufanywa mostly mara moja.

Ukirudia kosa hilo hilo mara tatu hiyo si typing error, labda thinking error.

Umerudia mara tatu

Umeandika.

Mungu mbona anajidhibitisha kwa yote yale?!
ndiyo naweza kudhibitisha kuwa Mungu.yupo na anatenda kazi
swali.unataka nikudhibitishie kwa LIPI/Kwa njia ipi?
 
Wewe hujui hata tofauti ya kuthibitisha na kudhibitisha.
Kaka hili neno "Kudhibitisha". Umelipata wapi au unaweza kunipa SARUFI yake ?

Hii nakupa akiba ya maneno bro,miongoni mwa sifa za watu wa mijadala lazima wawe mabingwa wa lugha japo kwa uchache.

Nasubiri jibu ....
 
Kaka hili neno "Kudhibitisha". Umelipata wapi au unaweza kunipa SARUFI yake ?

Hii nakupa akiba ya maneno bro,miongoni mwa sifa za watu wa mijadala lazima wawe mabingwa wa lugha japo kwa uchache.

Nasubiri jibu ....

Kamusi kuu ya Kiswahili.

Baaraza la Kiswahili la Taifa

Longhorn Publishers Limited, 2015

Ukurasa wa 168

Dhibiti

a. Tawala kitu barabara .

Msemo "Nimemdhibiti hasa hafurukuti"

b. Zuia jambo lisitokee

Mathalani "Kilimo cha matuta hudhibiti mmomonyoko wa udongo

zuia, kinga, dhibitia, dhibitika, dhibitiwa, dhibitiana, dhibitisha.
 
You are describing a totally different thing.

Nobody disputes that the idea of God exists, which is what you are doing abracadabra about.

But that does not mean God exists.

Let say, extending your analogy, there someone who has an online ID (some human person/s who wrote the Bible) and that someone is using an online ID of "Kiranga the Singularity", claiming that he is the shit,and his shyi don't stink, in fact he shits diamonds cry Versace Eros, and spit jewels.

If someone, call him Skeptic says this Kiranga who shits Diamonds, cry Versace Eros and spit jewels does not exist, he is a myth, a fabrication of someone who has made up this whole story. The story is not logically consistent with observed reality.

Will Skeptic be wrong? Will it be true that this Kiranga exists and does not exist at the same time?

What kind of wishy-washy, fence sitting chameleon, flip-flopping liberal art free ranging avant--garde utopian laissez-faire school of thought is that?
For the second time, I say that it will be unfair for me to die without meeting you!
 
Kamusi kuu ya Kiswahili.

Baaraza la Kiswahili la Taifa

Longhorn Publishers Limited, 2015

Ukurasa wa 168

Dhibiti

a. Tawala kitu barabara .

Msemo "Nimemdhibiti hasa hafurukuti"

b. Zuia jambo lisitokee

Mathalani "Kilimo cha matuta hudhibiti mmomonyoko wa udongo

zuia, kinga, dhibitia, dhibitika, dhibitiwa, dhibitiana, dhibitisha.
Hii kamusi ya kiswahili ina visanga vyake bro.

Ukiambiwa Sarufi inajumuisha mnyumbuliko wa maneno matumizi yake. Hapa namaanisha tamko hukaaje kwenye sentensi.

Naomba unisaidie jambo hapa naweza kupata kitu kipya. Nitungie sentensi kwa kutumia tamko "Dhibitisha". Samahani lakini kaka mkubwa.
 
For the second time, I say that it will be unfair for me to die without meeting you!
Hahaha, I am but a humble seeker.

I will be delighted to meet you as well.

It is good to see some appreciation in the midst of this clausterfuck of cognitive dissonance.
 
This scientist thought that his intellectual arrogance would enable him grasp God's mind .

No being can ever do that,its beyond our mental and physical ability.

Who fixed the laws of nature.

Hawking failed to unfix the fixed nature of law to serve his human body growing old,what a stupid scientist wasted this favour.

A scientist with No logic, I see no difference between his logic and a GAY logic.

God is beyond time,when he needs anything he say "Be" and its done.

He is in command with the fixed laws of nature.

Allah have fixed prophets, fixed Quraan, fixed moon, fixed ibliis.
Prove God exists.
 
Back
Top Bottom