Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you A GAY. ?
Labda useme aliyeutengeneza alipomaliza kuweka sheria zake tu"I think the universe was spontaneously created out of nothing...."
"I think the universe was spontaneously created out of nothing...."
Wewe ulitoka wapi?Kwa Baba na Mama yake.
Swali la "katoka wapi" ukilifuatilia sana, uajikuta linakupeleka kuelewa kwamba hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Kwa sababu, ukisema yupo, utaulizwa, Mungu katoka wapi?
Na baba yako alitoka wapi?Mungu alitoka wapi?
Vyote ni assumption tu kama ulivyosema uwepo wa mungu ni assumption na kutokuwepo kwake ni assumption hakuna usahihi na ushaidi wa usahihi wa aya mambo ambayo mnayazungumzia mi naisi nikae kimya tu ila ila lazima utambue kuwa kuwepo kwa mungu na kutokuwepo kwake vyote vinabaki kuwa ni assumption tu kama ulivyoitumia coz hakuna ushuuda wa uwepo wake wala kutokuwepo kwakeHakuna chochote apo
Mungu yupo aisee, kubali kataa.
Na izo proof ziko kiaasumption sana ni ambacho ni vigumu kutokea.
Lazima kuwa na kitu kilichotokea ambapo kuna nguvu ilikifanya nguvu hio at least iwe known.
One needs to read Hawking fully to appreciate these matters fully, first of all, the written and spoken languages do not have the necessary vocabulary to capture the concepts of say, Quantum Physics, one need to delve into specialized math.
From reading Hawking over the years, I think what he is saying, based on mathematical model, models that are not unimpeachable, is.
If you want to define God as the creator of the Universe.
Then.
Nothing is God.
God is nothing.
Nothing created the universe.
"God" exists.As nothing.
God is nothing.
God does not exist.
God is nothing.
God exists as nothing and therefore does not exist.
Nothing is really not nothing due to quantum fluctuations, it is more like the positives and negatives balancing to zero, with potential to explode by spontaneous quantum fluctuations that are not very well understood.
In any case, the omnipotent, omniscient, omni benevolent God of the Bible and Quran is a fiction.
Hawking can be wrong, but the omnipotent omniscient and omnibenevolent does not need Hawking to be right to be disproved.
The problem of evil has done that thousand of years before Hawking was born.
Kuna mahali Hawking anasema kama Mungu yupo basi alitengeneza laws za universe kisha akakaa pembeni. Hii inaonesha yeye Hawaking pia hana uhakika wa kutokuwepo kwa Mungu.
Pia, kuhusu origin ya universe kuna mahala niliona anasema alikuwa ktk majadiliano na mwenzake aliyekuwa na hoja juu ya dying of a star kisha yeye aka jaribu kuireverse hiyo process ndo aka develop hiyo theory. Hapa nikisema Hawking alijaribu kutafuta maelezo kukidhi mawazo yake nitakuwa nakosea? Yaani ni kama sisi humu jukwaani tunapotafuta maelezo kukidhi mawazo yetu juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mungu, hayo mawazo yetu yanaweza yasithibitishe kuwepo au kutokuwepo kwake.
Mpaka sasa hawking hana utibitisho wa vitu viwili; Chanzo cha ulimwengu kuwa kinatokana na bingbang kwa kuwa hajaeleza bayana what banged. Nafkiri huko mbele yanaweza kuja kugunduliwa na kuthibitika njia za kisayansi zitakazoelezea vizuri kuliko hizi ambazo zinatupeleka mbele nyuma kila Siku.
Even if Stephen Hawking is all the things you said.James Comey:
Please scroll back to posts on # 15. To say least Stephen Hawking was a dubious man. unreliable scientist! and in realistic he never went to the sky to explore the vastness of God creations due to his inability.
Hizi mada tangu zianze humu,hazijawahi toa mshindi
Mimi siku zote huwa naamini MUNGU yupo kwa swali moja tu,ambalo kwa vyovyote vile lina jibu moja tu
Tuchukulie mfano mdogo tu,Jicho! lina lens kwa ajiri wa kukusanya Mwanga na Retina kwa ajiri ya kutengeneza image,halafu kuna mfumo unaofanya hio taswira iliyoundwa kutafasiriwa na ubongo
Swali la kujiuliza hivi ni Nani aliyewaza kabla kuwa Jicho inabidi liwe katika muundo huo ili lifanye kazi,au lens inabidi ikae hapa na Retina ikae hivi ili jicho lifanye kazi sawasawa
Sasa tuna nadharia 2,moja inadai hakuna sababu yoyote iliyofanya jicho liwe katika muundo huo,bali imetokea tu by mere chance and series of random mutations ndani ya mda mrefuuuuu
Hivi kweli hakuna sababu kwanini Jicho liwe na kope?kope hazina kazi?
Kama zina kazi,lazima kuwe na sababu ya kope kuwepo
Na kama kuna sababu,lazima kuwe na yule aliyeifikiria hio sababu mwanzoni kabisa
Kama kuna betri kwenye smartphone yako,na kuna sababu ya betri kuwepo,basi lazima kuwe na mtu aliyeiona hio sababu kabla hajaweka hio betri
Point ni kwamba haijalishi Jicho limetokea vipi,by evolutionary process au by design lazima kuwe na sababu kwanini jicho linatakiwa kua katika muundu huu,na sababu(reasoning) ni sifa ya intelligent mind
So we have to affirm the existence of intelligent mind(or mechanism) otherwise our eyes have no purpose(a proposition which is utterly absurd)
Mwisho,Kuamini Evolution as mindless process unahitaji a lot of assumptions zaidi kuliko kuamini kuwa Evolution iliyotokea kwa msaada wa intelligent agent(s)
Na kulingana na Occam's razor,ni sahihi kwa mtu mwenye busara kukataa Darwinism
Wewe mwenyewe una kazi ya kuaminisha watu humu kuwa hakuna Mungu halafu unasema hautaki kuamini,huko pakodaiwa kuwepo Mungu wewe unajua kuwa hayupo au unaamini tu kuwa hatakuwepo?Sitaki kuamini chochote, nataka kujua.
Unaelewa hilo?