Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe


Huyu si ndio alikuwa mgonjwa wa muda mrefu huyu ? Ila Mola ana mitihani yake aisee. Haya ni machumo ya mikono yake....
 
Kwa bahati mbaya mitihani haijatoa hiyo fursa.
Ingetoa fursa hiyo ya kila mtu atoe fikra zake bila kuwa na silabasi maalumu ingewezekana.

Au nawewe umejiwekea kautaratibu hako?
Kwa hiyo mkuu ukiingia kwenye mtihani ukaulizwa thibitisha kuwa Tanzania ni Taifa huru utamgonga maswali aliekupa mtihani kama unavyonigonga maswali mimi kuwa uthibitishe kivipi??![emoji3][emoji3][emoji3]
 
Stephen Hawking kwako ni nani Brother?
Ni mtu aliyekuwa Professor wa Oxford aliyekalia kiti cha Newton, sio kwangu tu, kwa dunia nzima.

Sina shobo na mtu, nazungumza ideas. Tuzungumze ideas, acha kushobokea mtu.

Kwani wewe ulifikiri vipi?
 
What if he said he is the God?
What would be your stand?
My point was, either he was the first, second or last (you may be in) , he had nothing to do to believers!
I'm sorry but what you point as a point has no point.
 
Okay, Je ungependa nitumie njia gani ya kukuthibitishia?
Kwa hiyo mkuu ukiingia kwenye mtihani ukaulizwa thibitisha kuwa Tanzania ni Taifa huru utamgonga maswali aliekupa mtihani kama unavyonigonga maswali mimi kuwa uthibitishe kwa njia gani?!..... Hii ni njia ya Panya ya kukwepa swali!![emoji3][emoji3][emoji3]...... Huwezi kuthibitisha kuwa Mungu yupo kwa Sababu hayupo!!
 
Hili ndio tatizo lenu nyinyi huwa si wasomaji labisa,sasa kinachokuja kudhihirika kwenu ni uozo uliopetuka mipaka kama hivi.....
 
Hili ndio tatizo lenu nyinyi huwa si wasomaji labisa,sasa kinachokuja kudhihirika kwenu ni uozo uliopetuka mipaka kama hivi.....
Wewe msomaji wa vitabu thibitisha kuwa Mungu yupo!
 
Steven Hawkings is not a first scientist to put forward such an argument...many came argued and are not there anymore...its an awkward move not believing that all we see just come to existence without being made by someone......scientist have failed to ask themselves why they do exist and why they die...or what should be done to prevent death.....Steven Hawking been on wheel chair for very long time for what i can call inability to diagnose what he was suffering from its a simple manifestation of God presence(Supreme)...why he did not think of that being beyond his ability or other scientist abilities. If we real admit that there are things that are above our line of thinking, then we must admit the truth of God being Omnipresent, Omniscient, and Omnipotent.
 
Tofauti yakona mimi ni kwamba, uwezo wako wa kufikiri unaishia kwenye ulimwengu uliopo.

Wakati mimi naweza kufikiria aina zote za ulimwengu zinazoweza kuwepokama Hugh Everett.

Unapoona swali la kwamba kama Mungu angeumba vile na si hivi, si kungekuwa na watu wengine wangehoji kwa nini kaumba vile na si hivi, unakuwa huelewi au unasahau ukwelikwamba, Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote anaweza kuumba ulimwengu wenye sheria za fizikia zisizoruhusu swali hilo kufikirika wala kuulizika.

Kwa manenomengine, ukweli kwamba mimi naweza kujiuliza, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao tsunami linaua watoto wasio na hatia, unaonesha kwamba Mungu hayupo.

Kwa sababu kwanza angekuwepo asingeruhusu tsunami hilo liuwe watoto wasio na hatia.

Lakini pia, kuruhusu tsunami liue watoto wasio na hatia, na kuniruhusu mimi kuweza kuhoji uwepo wa Mungu kwa sababu nimeona tsunami linaloua watoto wasio hatia is adding insult to injury.

Yaani katikakufikiri kwako kooote,umeona Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote atashindwa ku limit kitu anachoweza kufikiri kiumbe wake?
 
Thibitisha kuwa Mungu yupo!
Sasa nataka twende taratibu mimi na wewe, Kiranga ukweli anaujua na madhaifu yake nimeshamuonyesha katika kuhoji,kujibu maswali,na kadhalika katika elimu ya mantiki. Na mimi yule nimeshamwambia kabisa sijadiliani nae tena kuhusu suala hili,sababu nina uhakika majibu nilimpa tena ya kiakili.

Wewe nakuona mpya katika kadhia hii,sasa nataka niende na wewe sawa. Naanzia hapa.

Wewe ni vigezo gani huwa unatumia kuupata ukweli ? Yaani kwako wewe uthibitisho ni nini ?

Ukijibu hapa tutaendelea kutokea hapa. Ila kwa masharti maswali yangu umwe unayajibu na mimi maswali yako nitakujibu sababu huwa siachi kujibi swali na kama sijui nasema sijui na kama nimekosea nakiri kosa.

Nasubiri jibu.....
 
Kama kwenye mtihani wa PHYSICS basi nitatumia VITABU vya PHYSICS kuPROVE maana aliyetunga mtihani ameshasoma vitabu cha PHYSICS. Lakini wewe umeishia matayo 5:48.

TOFAUTI NA HAPO UTASOMA BIASHARA YA UTUMWA KWENYE HISTORY HARAFU UTALAZIMISHA KUPROVE NJIA WALIZOPITA WATUMWA KWAKUTUMIA PHYSICS.
 
Mungu hayupo ndiyo maana umeshindwa kuthibitisha uwepo wake!
 
Mungu hayupo kwa sababu Mungu anaeaminika na wewe kuwa ni mjuzi wa yote, mwenye upendo wote,mwenye huruma yote na mkamilifu asingeruhusu dunia ambayo mabaya yanawezekana!
Hivi kwa nini point rahisi sana, nyepesi sana kueleweka, ambayo haina ure,mbo mwiingi,yenye straightforward logic kama hii haieleweki na watu?

Au wanabisha kwa ubishi tu kama wa Simba na Yanga?

Yani watu wanahangaika miaka na miaka kutafuta dawa na chanjo, wenzao wanajifia mamilioni kwa mamilioni.

Antibiotics zimeanza kutumika formally en masse 1928 baada ya Alexander Fleming kugundua, tena kwa bahati tu, jinsi penicillin inavyofanya kazi.

Kabla ya hapoilikuwa unaweza kufa kwa kidonda tu, kwa sababu kidonda hakina dawa ya kutuliza bacteria kukichafua na kueneza infection mwilini.

Watu wamekufa mabilioni kw amabilioni kwa sababu wamekosa antibiotics tu, mpaka 1928. Hata miaka 100 haijapita tangu duniaigundue antibioticsin a scientific way.

Hivi huyo Mungu ana ukatili gani mpaka aachie watu wafe kwa kukosa antibiotics kwamamilioni na mamilioni na mabilioni over the years?

Na kama yupo ana ukatili huu, watu wanasemaje ana upendo mkuu?

Huyu
 
Ww mwenyewe ni uthibitisho wa kua Mungu yupo
Kivipi?

Hapohujathibitisha, umelazimisha bila ufafanuzi.

Mimi ningekuwa uthibitisho Mungu yupo, nisingeumwa.

Mungu huyo asingeumba dunia inayoweza kuwa na mapungufu.

Naumwa,

Hivyo sijaumbwa na Mungu huyo, nimeumbikakwa process yenye mapungufu.
 
Bro hujasoma biblia na unakimbilia kukashfu maswala ya Mungu

Kwanza,kabisa anasema mimi ni Mungu niliyefanya vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana,So anza kujiuliza ni vitu vingapi visivyoonekana? ukipata jibu hapo ndio uje kuhoji kwa vitu vinavyoonekana ambavyo unamlaumu Mungu

Pili,Mungu anajipambanua kupitia biblia kwamba ameumba MEMA na MABAYA lakini (anatushauri) yaani uamuzi ni wako kuchagua yaliyo mema au mabaya,mbele zaidi amepambanua kwamba mema ni kwaajili ya wema na mabaya kwaajili ya wabaya.So its your option too to blame GOD because of your choice.

Tatu,Huyu Hawking anamkataa Mungu kwa fact zake lakini ningependa fact anazozisema angezitumia kutengeneza DAMU ya binadamu au angetumia hiyo science na ujuzi na ujuzi alionano kujitibu ugonjwa wa kupalalize aliokua nao kabla kifo hakijampata,Kwa kifupi Mungu amejipambanua sana ndio maana hata katika kipindi cha Musa kuwapeleka Waisraeli kaanani Mungu alisema nakutuma Musa kwa Farao lakini nitamfanyia moyo mgumu ili kwamba ajue mimi ni Mungu niliekutuma,ndio maana ya yale mapigo kumi kwa wamisri,haya mambo hata hivi leo yapo mfno ni Bwana Hawkin amemkataa Mungu kwa fact nzuri lakini kwanini asitumie fact zake kujifanya awe perfect yeye binafsi badala yakupinga wengine,kwanini asingetumia muda wake mwingi kutafuta dawa ya ugonjwa wake? au yeye alivyokuwa alijiona mkamilifu? na kama alijiona mkamilifu kwanini asione na vingine viko kamili?

Tusimjaji Mungu wakati vitu tunavyoviona vinatushinda tutawezaje kujaji tusivyoviona?,kama tumeshindwa kujua lile dude kubwa la air marasyia lilipoenda tutajuaje mambo ya Mungu?
 
Huyu si ndio alikuwa mgonjwa wa muda mrefu huyu ? Ila Mola ana mitihani yake aisee. Haya ni machumo ya mikono yake....
Huyo kaumwa kwa sababu Mungu hayupo.

Wote tunaumwakwa sababu Mungu hayupo.

Mungu angekuwepo, hakuna mtu ambaye angeumwa ugonjwa wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…