Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

So what is the moral of the story?
Should we abandon our religious faiths and live like cows?
Does religion interfere with our scientific discoveries?
Is it harmful to believe in God?
 
Behaviourist unasema "biblia yenu" lini uliikana biblia ?
Biblia inayodai kuwa Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote,mwenye maarifa yote na ni mkamilifu(Mathayo 5:48)halafu Mungu huyo huyo anaumba dunia ambayo mabaya yanawezekana hiyo biblia moja kwa moja imethibitisha kuwa Mungu huyo hayupo mkuu!
 
Upepo hatujawahi kuuona ila tunasema upo kwa kuwa tunaona tu matendo yake kama kupuliza kupeperusha n.k
Vipi wewe unayesema MUNGU hayupo kwa kuwa tu eti hajawahi kuonekana ijapokuwa tunayaona matendo yake
 
Biblia inayodai kuwa Mungu ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote,mwenye maarifa yote na ni mkamilifu(Mathayo 5:48)halafu Mungu huyo huyo anaumba dunia ambayo mabaya yanawezekana hiyo biblia moja kwa moja imethibitisha kuwa Mungu hayupo mkuu!
Mkuu sikuwai kufahamu kuwa umeikana biblia, huwa najua unapenda ku challenge ideas lakini sikuona ukija kuikana completely. Nakumbuka kipindi fulani uliitumia vizuri kumshauri mtu humu naona Leo umeikana.
 
Mshenzi tu huyo na bora kafa akakutane na Sir God.Hivi binadam mbona wapuuzi kiasi hiki yaan tunashindwa kuuamini Mungu yupo hebu ww jiangalie tu kakuumba mwanaume na mwanamke je ni nature gan inayojua ulitakiwa kua na uume na uke ili mzaliane ????harafu puuzi moja linakufuru tu kisa limesha jamba kutoa gesi mwilini linasema Mungu hayupo.Mbona hahoji alie gundua cocacola .... kua hakuingundua bali ni nature iliitengeneza tu na ikajiweka kwenye chupa yenyewe hahaa
Simple mind
 
Kiranga yeye anachohitaji kutoka kwenu ni mjibu swali moja tu:Kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini hakuna perfection humu duniani?
Kwani Kuna andiko lolote Mungu alilosema kwakua yeye mjuzi wa yote,muweza wa yote,mwenye huruma ataumba dunia yenye usawa kwa watu wote?
 
Do you guess that you exist?
Kiranga do you know where the boundaries of the universe are located?Can science provide the answer to this question?
Assumptions,Assumptions with little truth may seem as truth to someone without the knowledge of God and that is how science is to those who do not believe there is God.They think science is the solution to their problem,am no saying scientists are completely wrong,they have just a piece of the whole knowledge unfortunately those who believe there is no God they think scientists have it all.
Kiranga mpokee Yesu leo,hizi elimu za duniania si mbaya kuzijua ila kama zitakufanya useme hakuna Mungu ni bora ungebaki kijijini kwenu unalima na kufuga ng'ombe.
 
Kwani Kuna andiko lolote Mungu alilosema kwakua yeye mjuzi wa yote,muweza wa yote,mwenye huruma ataumba dunia yenye usawa kwa watu wote?
Usawa tena??.... au umeshindwa kuelewa maana ya neno perfection mkuu??... ok lets go:Mungu hayupo kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye huruma yote na mkamilifu hawezi kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana!
 
Usawa tena??.... au umeshindwa kuelewa maana ya neno perfection mkuu??... ok lets go:Mungu hayupo kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye huruma yote na mkamilifu hawezi kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana!
Wapi Mungu anasema kwakua yeye muweza wa yote,mjuzi wa yote ameumba ulimwengu ambao mabaya hayatatokea?
 
Hakuna mji/mjengo usio na mjenzi.
Mwanafalsafa na msomi wa ki Greece Kreecha huyu jamaa alikuwa haamini uwepo wa Mungu alikuwa anatoa mahubiri mbalimbali kuhusu kutokuwepo kwa Mungu.Kuna siku kreecha alimtembelea rafiki yake alimkuta ameshika tufe lililofinyangwa kwa udongo mithili ya dunia, Anasetus Kreecha akamukiza yule rafiki yake ni nani aliyefinyanga tufe hili kwa ustadi mkubwa namna hii? Rafiki yake akamwambiya limejifanya lenyewe hili tufe, Kreecha akabisha sana akasema haiwezekani lijifanye lenyewe lazima Lina mfanyaji wake.Rafiki yake akamwambia hili umbo dhaifu tu la tufe mithili ya dunia unakataa halijajifanya lenyewe alafu unakazana katika mafundisho yako dunia imetoka from nothing. Kreecha hakuwa jibu
 
Wapi Mungu anasema kwakua yeye muweza wa yote,mjuzi wa yote ameumba ulimwengu ambao mabaya hayatatokea?
illogical a.k.a pumba!!....ni sawa na kuuliza wapi Magufuli alisema kwa sababu yeye ni raisi atakuwa amri jeshi mkuu?
 
Unajia bro sikifichi,kuukubali ukweli ni ujasiri mkubwa sana uliopo ndani ya uwezo wa mtu mwenyewe,ni yeye tu mwenyewe kuamua.

Haya yanatowakuta juu ya kuukubali si kosa lenu ni kosa la wa asisi wenu walipo amua kuikataa DINI ni kuzifanya AKILI zao kuwa ndio mizani ya kuujua ukweli. Kadhalika wakubwa wenu walijiona ya kuwa wao ni wana akiki sana kuliko wengine,wakaweka msamiati wa kuogofya na mfano wake.

Haya yaliona zamani na wanazuoni wa haki tena wakweli wenye kuchunga amana ya Elimu,wakadhibiti ukweli.

Mnatakiwa pia mjifunze namna ya kufikiri. Hivi ni mjinga pekee ambaye atamfanya Stephen Hawking kuwa marejeo yake.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujathibitisha roho ipo.

Hujathibitisha pepo ipo.

Kwa nini?

Kwa sababu huwezi.

Kwa nini huwezi?

Kwa sababu Mungu,roho na pepo havipo. Ni vitu vilivyotungwa na watu tu.

Kamaunabisha, thibitisha vipo.
 
Hakuna mji/mjengo usio na mjenzi.
Mwanafalsafa na msomi wa ki Greece Kreecha huyu jamaa alikuwa haamini uwepo wa Mungu alikuwa anatoa mahubiri mbalimbali kuhusu kutokuwepo kwa Mungu.Kuna siku kreecha alimtembelea rafiki yake alimkuta ameshika tufe lililofinyangwa kwa udongo mithili ya dunia, Anasetus Kreecha akamukiza yule rafiki yake ni nani aliyefinyanga tufe hili kwa ustadi mkubwa namna hii? Rafiki yake akamwambiya limejifanya lenyewe hili tufe, Kreecha akabisha sana akasema haiwezekani lijifanye lenyewe lazima Lina mfanyaji wake.Rafiki yake akamwambia hili umbo dhaifu tu la tufe mithili ya dunia unakataa halijajifanya lenyewe alafu unakazana katika mafundisho yako dunia imetoka from nothing. Kreecha hakuwa jibu
Unaelewa ukianza kwa kusema hakuna mji/ mjengo usio na mjenzi, umesema kwamba hakuna Mungu?
 
Huyo jamaa kwani ndo nani mbona mnatuletea reference za ajabu anyway Mkuu Kiranga unatakaga nini kwani na mambo/hoja yako ya kuwa Mungu hayupo.....????kama unajiona wewe na wenzio wachache ndo waerevu sana kujua Mungu hayupo hongereni kwa miakili yenu mingi iliyotukuka.
Wewe endelea kuvimba tu hapo nyuma ya batton hzoo kuwa Mungu hayupo walikuwepo wenzio wengi tu kama ww... Yahn ww sio wa kwanza na wala hautakuwa wa mwisho.
Nakushauri ingia Google tafuta watu waliomzihaki Mungu na mambo ya ovyo yaliyotukuka na utaona cha mtemakuni kilichowakuta......nakuanzia na huyu wa kwnza eng mkuu wa meli ya Titanic alisema kwa ubora wa meli hii hata Mungu hana uwezo wa kuizamisha kulichotokea unakijua.

Kweli kadri unavyozidi kusoma ndo unavyozidi kuwa mpumbavu.
Unauliza swali halafu kabla sijajibu umeshajijibu mwenyewe swali uliloniuliza mimi?
 
Back
Top Bottom