Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No tai chi method kwa upuuzi kama huuI am not gay, what has that got to do with the discussion here?
Are you a rapist?
Thibitisha Mungu yupo.
Kwa Baba na Mama yake.Yeye katoka wapi?
Kama watu kama hawa ndio watetezi wa huyo Mungu, huo ni ushahidi mwingine huyo Mungu hayupo.No tai chi method kwa upuuzi kama huu
Show the beast on You [emoji51]
Kanikera mpaka Mimi Ovyo kabisa
Sana tu mkuu, wiki mbili zilizopita milikuwa ninasibiri maamuzi is a ajira. Baada ya interview Sauti iliniambia hili swala linahitaji Salamu Maria 50. Nilianza kusali na baada ya siku mbili nilipata email ya hongera. Ni Mungu sana tu mkuuUshawahi shuhudia nguvu ya miujiza za mungu?
Na kama yote haya yanawezekanaKama watu kama hawa ndio watetezi wa huyo Mungu, huo ni ushahidi mwingine huyo Mungu hayupo.
Aangekuwepo asingeruhusu mataahira kama hawa kujinasibisha na watetezi wa Mungu.
Shem umekuja tena huku??!Sana tu mkuu, wiki mbili zilizopita milikuwa ninasibiri maamuzi is a ajira. Baada ya interview Saudi iliniambia hili swala last nahitaji Salamu Maria 50. Nilianza kusali na baada ya siku mbili nilipata email ya hongera. Ni Mungu sana tu mkuu
Wewe na kaka yako Hampo nyumbaniShem umekuja tena huku??!
Kwa hiyo umeona Kimbilio ni Kiranga eeeehh!Wewe na kaka yako Hampo nyumbani
Mimi ndoa yangu atafunga Kiranga!Ndoa yetu ilifungwa parokia ya Mwenge
Kule Las Vegas kuna wanaofunga ndoa “ in the name of Elvis Peasly”. SitashangaaMimi ndoa yangu atafunga Kiranga!
Wewe ulitoka wapi?Kwa Baba na Mama yake.
Swali la "katoka wapi" ukilifuatilia sana, uajikuta linakupeleka kuelewa kwamba hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Kwa sababu, ukisema yupo, utaulizwa, Mungu katoka wapi?
Parokia ya Mtakatifu Maximilian Kolbe, to be precise...Ndoa yetu ilifungwa parokia ya Mwenge