Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Wewe jamaa umesema una njaa, ni proof tosha huwezi kuwa na mawazo yenye hoja, njaa huwa inavuruga unaweza kujikuta unaharisha badala ya kuongea.
Nakubali ila heri yangu ninanjaa lakini nikishibaga napanua mawazo, sijakutaja ila wazi umejishuku. Umefungwa kabisa mi sibishani na ukuta mzee
 
Narudia tena, nimejibu proofs zako, tena ya kwanza kwa kutumia sayansi. Huelewi maana ya entropy au umeitumia vibaya, unakubali? Swali la pili nimejibu kwa logic: Kama Mungu ni All-Capable, All-Knowing kwa nini unataka kumlimit? Yo want God to exist or behave in some form, that is not possible because he cannot be limited by anything.

Halafu uwe unakubali kuwa your knowledge is limited, hata knowledge yako ya sayansi unayotaka kuitumia kuprove kuwa Mungu hayupo, unabisha?
Nikikwambia Comrade Kipepe wa SANI ni Mungu, na huwezi kujua hilo kwa sababu huna akili za kuelewa hilo, utakubali au utakataa?
 
NDIO.

Nafahamu machache aliyonijalia kuyafahamu, mengine yasionihusu sifahamu walakini sio kwamba hawezi nifahamisha.
Unajuaje kwamba usiyofahamu hayakuhusu kabla hujayafahamu?

Utajuaje kwamba huyo Mungu yupo kweli, na si hadithi za kutungwa na watu kama wewe tu?
 
Links zimejibu wapi point by point points zote nilizoleta hapa?

Hujaweza kujibu contradiction hata moja ya suffering tu, hizo link hata kuzielewa unazielewa? Kitu gqni kitanipa confidence kwamba hizo links unazieleea kama hata hoja ya suffering tu umeshindwa kuipangua na unaishia kuipinga kwa deus ex machina?

Unaelewa hata deus ex machina ni nini?

Unaelewa hata contradiction ni nini?

Contradiction ni wewe ndio unaileta. Sifa ya Mungu ni hapangiwi na He is not limited, lakini wewe unataka asiexist pamoja na suffering. Halafu ukaleta hoja zingine nyepesi ambazo kwa mjadala huu nitaziita za kipuuzi, kwamba kutokuwepo kwa usawa uliouelezea kwa mtazamo wako wa umaskini na utajiri, ni proof kuwa Mungu hayupo. Unashindwa kutambua kuwa, kama Mungu angetaka usawa, Yeye angefanya kila kitu, badala ya kumpa binadamu uwezo wa kufanya maamuzi, angemuumba kama roboti na kum-execute kama atakavyo; hii maana yake wewe hata kutoa mawazo yako usingeweza. Hakutaka kufanya hivyo, kwa nini kwa sababu ana uwezo wa kufanya au kuamua lolote, He did otherwise.

Nasisitiza tena kuwa kwenye post #9 , kuna links 7, zina majibu yako yote.
 
Unaelewa sijauliza kuhusu Mungu kuingilia na nimeuliza kuhusu kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao kuteseka kunaweza kuwepo in the first place?

Unaelewa tofauti ya mawili hayo?

Unadhani unaweza kupata sababu ya kila jambo?
 
1. Kwa elimu yangu nafahamu pia kuna maarifa ya stashahada kadhaa wa kadha sifahamu lakini yapo. Nimesoma kiasi theolojia kujua kuna mengi nisiyo yajua lakini yapo; pia sio lazima kuyajua na kuyafahamu kama unajua yale yaliyo muhimu kuliko hayo menginge viz. Mungu yupo

2. Kwasababu naamini, pia ni vigumu kuthibitisha katika tafsiri za kimwili kwamba Mungu yupo.
Unajuaje kwamba usiyofahamu hayakuhusu kabla hujayafahamu?

Utajuaje kwamba huyo Mungu yupo kweli, na si hadithi za kutungwa na watu kama wewe tu?
 
Unajuaje kwamba usiyofahamu hayakuhusu kabla hujayafahamu?

Utajuaje kwamba huyo Mungu yupo kweli, na si hadithi za kutungwa na watu kama wewe tu?

Ndio uonyeshe kwamba ni hadithi kwa proof isiyokuwa na mashaka.
 
Unaelewa sijauliza kuhusu Mungu kuingilia na nimeuliza kuhusu kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao kuteseka kunaweza kuwepo in the first place?

Unaelewa tofauti ya mawili hayo?

Mungu aliumba ulimwengu kama ulivyo kwa sababu ndio form ya Ulimwengu aliyoridhika nayo. He is not thinking the same way like you regarding suffering.
 
Huyu hata haelewi swali ni lipi. Hivyo hawezi kulijibu.

Namuuliza. Kwa nini Baba mwenye uwezo wote, unuzi wote na uoendo wote kajenga nyumba akaiwekea mitego ya mabomu ya nyuklia yanayoweza kuua wanawe?

Anajibu mabomu ya nyuklia ni sehemu ya maisha ya watoto na hakuhusiani na baba kuingilia.

Hata swali hajalielewa.

Hivyo, hawezi kulijibu.

Kwani Mungu anasemaje kuhusu suffering? Usiniaminishe kuwa hujui.
 
1. Kwa elimu yangu nafahamu pia kuna maarifa ya stashahada kadhaa wa kadha sifahamu lakini yapo. Nimesoma kiasi theolojia kujua kuna mengi nisiyo yajua lakini yapo; pia sio lazima kuyajua na kuyafahamu kama unajua yale yaliyo muhimu kuliko hayo menginge viz. Mungu yupo

2. Kwasababu naamini, pia ni vigumu kuthibitisha katika tafsiri za kimwili kwamba Mungu yupo.
Swali la kwanza hujalijibu, umethibitisha hujui.

Swali la pili inaonekana hujui hata tofauti ya kujua na kuamini, hata kwa muktadha tu.
 
Nitakuuliza Comrade Kipepe ni nani na Mungu ni nani?
Nitakwambia ni Mungu tu, na Mungu huwezi kumjua.Kwa sababu akili yako haina uwezo wa kumjua. Utakubali?
 
Hawezi kufanya hivyo ila anaamini Mungu ni hadithi kama zingine tu.

Anataka kuprove Mungu hayupo kwa kutumia imani na hadithi, sijamwona sehemu anatumia sayansi.

Sayansi "employs empirical evidence and observations". Amejaribu kutumia logic vibaya, ameongelea entropy in relation to non-existent system.
 
Ndio uonyeshe kwamba ni hadithi kwa proof isiyokuwa na mashaka.
Proof hata ukiiona utaijua? Proof isiyo na mashaka unayoitaka ikoje?

Wewe unaweza kutoa proof isiyo mashaka kwamba Mungu yupo?
 
Proof hata ukiiona utaijua? Proof isiyo na mashaka unayoitaka ikoje?

Wewe unaweza kutoa proof isiyo mashaka kwamba Mungu yupo?

Siwezi kuprove kitu ambacho sijaclaim. Proof tunayoitaka hapa ni Mungu hayupo, which is proposed by the topic under discussion.
 
Anataka kuprove Mungu hayupo kwa kutumia imani na hadithi, sijamwona sehemu anatumia sayansi.

Sayansi "employs empirical evidence and observations". Amejaribu kutumia logic vibaya, ameongelea entropy in relation to non-existent system.
Kwa nini unakataa kutumia entropy kwenye non existent system?

Kwani non existent system haina entropy?

Unaelewa kwamba non existent system inaweza kuwa na zero entropy, na hiyo zero entropy ndiyo ikasababisha hiyo system kuwa non existent, therefore, by definition, non existent system ikawa na zero entropy kama vile non existent bank accounts zilivyo na zero dollars?
 
Mungu ni nini? Kwa sababu ukishasema ni Mungu, lazima unieleze Mungu ni nani?
Mungu huwezi kumuelewa kwa akili za kiutu hata nikikuelezea, nikikwambia hivyo utakubali?
 
Back
Top Bottom