Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Nakubali ila heri yangu ninanjaa lakini nikishibaga napanua mawazo, sijakutaja ila wazi umejishuku. Umefungwa kabisa mi sibishani na ukuta mzeeWewe jamaa umesema una njaa, ni proof tosha huwezi kuwa na mawazo yenye hoja, njaa huwa inavuruga unaweza kujikuta unaharisha badala ya kuongea.