MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
[emoji448] hatunywi sumu , hatujinyongi CCM mbele kwa mbleJe! Unaujua umuhimu wa Nape kwenye Deal za Samia?
Unaujua umuhimu wa Nape kwenye kampeni na ushawishi ndani ya CCM wanapoingia kwenye harakati za ndani ya chama chao?
Kwako wewe Rais ni nani hata asiguswe na kupoteza jimbo kwa chama chake ambacho pia ni mwenyekiti wake.
Humu ndani tunashea na baadhi ya wapuuzi msiojua kinachoendelea ila mnaona raha k7chezea simu zenu.
Nape ni chawa tu kama kina mwijaku na takataka nyingineJe! Unaujua umuhimu wa Nape kwenye Deal za Samia?
Unaujua umuhimu wa Nape kwenye kampeni na ushawishi ndani ya CCM wanapoingia kwenye harakati za ndani ya chama chao?
Kwako wewe Rais ni nani hata asiguswe na kupoteza jimbo kwa chama chake ambacho pia ni mwenyekiti wake.
Humu ndani tunashea na baadhi ya wapuuzi msiojua kinachoendelea ila mnaona raha k7chezea simu zenu.
Huko Kusini CUF ilikuwa inazoa Majimbo mengi sana Kwa hiyo hakuna jipya.Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Kama ameenda Chadema, ameishapotea. Labda angebaki CCM.Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Hata Nape ni wa Mtama.... ubaguzi ni laana.....Membe ni mzawa, huyo kiribatumbo aende akagombee kwao Tukuyu